ngakotecture
JF-Expert Member
- Dec 30, 2014
- 2,569
- 2,847
bora maamuzi ya putin kwa sababu ukraine mashariki ina warusi wengi na wanaongea kirusi uko middle east marekani alifata niniBila shaka maamuz aliyofanya Putin hayatofautian na maamuz aliyoyafanya Bush nchin Iraq na Afghanistan
Mkuu comon sense tu achana na ubishani wa simba na yanga kwenye vitu kama ivi,USA tayari anayo Alaska sebleni kabisa kwa Russia na hajafanya lolote juu ya hilo,
Russia anajazwa tu, kuna mstari anasubiliwa auvuke
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Hata Hitler alitetea maslahi ya nchi yake!Hitler wa kisasa anayetetea maslahi ya nchi yake
Hua kushabia nchi moja kuivamia nchi nyingine unapata fahari gani?Hong Kong na Taiwan zijiandae , China anakuja huko soon .
Kumbe na wewe umemsoma?Hawataki vita lakini huko Syria, Iraq, Libya na kwingineko walipeleka majeshi yao kusaport vikundi haramu, kuna muda unajifanya uko neutral lakini mahaba yako kwa NATO yanaonekana waziwazi.
Wanaume wao hawaumii mkuu au wana miili ya vyuma?Tatizo lako ni mshabiki vita ni vita no one final outcome itakuaje, hakuna mtu alikua mbabe kama Hitler putin Cha mtoto lakin mwisho alianzisha vita akaja akashindwa vimwenyewe vita havinaga mwenyewe
Marekani na manguvu yake yote ameshindwa vita Afghanistan na Vietnam hiyo ni mifano michache
Na sio nchi nyingine wameufyata hapana vikitokea vita watakaoumia ni watoto, wanawake na wazazi, Ukraine kujiunga ni tishio kwa urusi kumbuka Ukraine ni nchi huru huwezi ipangia kipi Cha kufanya na kipi sio Cha kufanya
Urussi mwanzoni mwa mwezi huu aliwaambia romani na Bulgaria wajiondoe NATO, walimjibu vizuri urussi sisi ni nchi huru huwezi tupangia kipi cha kufanya au aina ya marafiki wa kuwa nao
Huyo dada anajiita Yuko nyutro wakati ni pro west.Kuna thread nimeona unapewa elimu ya uhalisia sana kuhusu huu mgogoro lakini huelewi... Potelea mbali watu kama nyinyi inatakiwa mjifunze kwenye matendo kama ilivyo sasa.
Urusi aliweka wazi matakwa yake ila NATO wakawa wanamtishia eti mara wamepeleka silaha hatari Ukraine, mara watamsaidia kijeshi, mara watampa kila msaada unaohitajika... Leo hii mwanaume Putin anaongea kivitendo zaidi huku wale makuwadi wa Magharibi wakijifungia ndani eti wanawaombea waukrine juu ya madhila yatakayowapata.
Victoire naomba utafute historia ya Urusi kabla ya vita vya kwanza vya dunia, vya pili na mpaka kuvunjika USSR ndipo uweze kuelewa maswala mengi ya dunia
Utumiaji wenu wa akili kama taifa umewafikisha wapi nyie watanzania? Sindio kila siku mnatiwa ugumu wa maisha tu na mmebung’aa...Yaan hata Putin akichukua Ukraine watakachofanya ni kuwekea vikwazo eneo Zima la Ukraine yaan hakuna kiwanda au kampuni itakayokubali kuoperate eneo Zima la Ukraine, mwisho wa siku uchumi wa eneo husika una collapse kwa hiyo work done inakua equal to zero ndo maana Putin ni kiongozi anayetumia nguvu kuliko akili
Iraq na Afghanistan #Russia.US hataki vita? Alienda kufanya nini Iraq na Afghan?
'Nord stream 2' ishapigwa pini tiyari😊Russia ina supply gas karibia Europe yote ...Je unajua hiyo Gas inatoka wapi?
Nipo Neutro. Hivi kwani Ukraine kishaingia NATO?Jibu ni Non.Sasa kwa nini Russia anawavamia ?Huyo dada anajiita Yuko nyutro wakati ni pro west.
Ok sio kosa kuwa na upande.
Lakini kosa ni kufanya maamuzi ya upendeleo .
USA kamponza Ukraine.
Urusi an haki ya kujilinda.
Hebu cheki kama unachangia kwenye jukwaa sahihi.Si za kwao wew inakuhusu nn kuongelea hela za wanaume kwa hiyo wew unakila kumzidi putin wew nyenyew huna hata ubalozi wa nyumba kumi unahojije mtu mwenye kuiendesha linchi likubwa
Trump angeingia kichwa kichwa ila bidden naona kaufyataMkuu Usa,russia,chyna hawa wote wana silaha nzito za mangamizi,..
Hakuna yeyote anayeweza kuingilia operation za mwingine kichwa kichwa..
Watu wanafanya risk assessment..
Ni bora ukraine ipotee kwenye ramani kuliko matatzo atakayosababishia raia wake bwana biden kama ata step inn this war..
Sidhani kama pentagon ina maafsa wapumbavu kias wamshauri jamaa ajiingize kwenye iyo vita
Ina maana uovu Marekani kwa nchi ndogo kunahalalisha uovu wa Urusi kwa jirani yake..?Mbona USA walifanya hivyo nchi nyingi zikiwemo Iraq, afrighanstan, Libya hamkusema hivyo?
Trump ana ukichaa ndio ila refer issue ya kiduku tu kila siku alikua anapiga mkwala mzito ila hamvamii..Trump angeingia kichwa kichwa ila bidden naona kaufyata
Katika Karne hii ya 21 Marekani aliivamia Iraq bila sababu ya msingi.Putin sio mzima kichwani - kama alivyokuwa Hitler. Itadhihirika muda sio mrefu.
Katika karne ya 21 kiongozi wa taifa kubwa kama Urusi hawezi kufanya uamuzi wa kipumbavu kiasi hicho usiokuwa na manufaa yeyote kwa taifa lake.
He’s gone completely nuts. Bado ana medieval mind set ya akina Alexander the Great na Gengis Khan!
Unafikiri kwa Nini Russia hapendi NATO?Tatizo lako ni mshabiki vita ni vita no one final outcome itakuaje, hakuna mtu alikua mbabe kama Hitler putin Cha mtoto lakin mwisho alianzisha vita akaja akashindwa vimwenyewe vita havinaga mwenyewe
Marekani na manguvu yake yote ameshindwa vita Afghanistan na Vietnam hiyo ni mifano michache
Na sio nchi nyingine wameufyata hapana vikitokea vita watakaoumia ni watoto, wanawake na wazazi, Ukraine kujiunga ni tishio kwa urusi kumbuka Ukraine ni nchi huru huwezi ipangia kipi Cha kufanya na kipi sio Cha kufanya
Urussi mwanzoni mwa mwezi huu aliwaambia romani na Bulgaria wajiondoe NATO, walimjibu vizuri urussi sisi ni nchi huru huwezi tupangia kipi cha kufanya au aina ya marafiki wa kuwa nao
Hayo yote yalikuwa majimbo yake mwamba anataka yarudi kwenye himaya yake hakuna cha vikwazo wala kitu chakumtisha. Atakae jaribu atakiona. V Putin.Kama anataka kufanana na Stalin, Alexander, Julius Caesar, Khan nayeye awe mstar wa mbele huyu akiachwa aivamie Ukraine atanogewa ataivamia Georgia na korashia
Kwani usa anapigana hadi awe chali?Chaliii [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 2129452