Vladimir Putin amewataka wanajeshi wa Ukraine wajisalimishe wenyewe

Tatizo lako ni mshabiki vita ni vita no one final outcome itakuaje, hakuna mtu alikua mbabe kama Hitler putin Cha mtoto lakin mwisho alianzisha vita akaja akashindwa vimwenyewe vita havinaga mwenyewe

Marekani na manguvu yake yote ameshindwa vita Afghanistan na Vietnam hiyo ni mifano michache

Na sio nchi nyingine wameufyata hapana vikitokea vita watakaoumia ni watoto, wanawake na wazazi, Ukraine kujiunga ni tishio kwa urusi kumbuka Ukraine ni nchi huru huwezi ipangia kipi Cha kufanya na kipi sio Cha kufanya

Urussi mwanzoni mwa mwezi huu aliwaambia romani na Bulgaria wajiondoe NATO, walimjibu vizuri urussi sisi ni nchi huru huwezi tupangia kipi cha kufanya au aina ya marafiki wa kuwa nao
 
North Korea? Economically, that's a failed state.
Wanachoweza ni kutengeneza tu silaha, basi!
Wameachwa mbali mno na South Korea
Yaan hata Putin akichukua Ukraine watakachofanya ni kuwekea vikwazo eneo Zima la Ukraine yaan hakuna kiwanda au kampuni itakayokubali kuoperate eneo Zima la Ukraine, mwisho wa siku uchumi wa eneo husika una collapse kwa hiyo work done inakua equal to zero ndo maana Putin ni kiongozi anayetumia nguvu kuliko akili
 
Kwani Ukraine ni koroni la urusi?
Hata juzi juzi iliwaambia Bulgaria na Romania wajiondoe NATO walimwambia sisi ni nchi huru huwezi tupangia kipi Cha kufanya na kipi sio Cha kufanya

Putin anatakiwa azishawishi zile nchi kujiondoa NATO na sio kutumia nguvu lakin inaoneka uwezo wa kufikiri umefika mwisho kwa hiyo option aliyobaki nayo ni kutumia nguvu
 
Kama hawataki kuweka Silaha chini basi tia Rungu waachie
 
Nani anamkubali wakati umeona mikoa miwili fastafasta imejitngaza kuungana na Urusi?
Ukitaka kujua maslahi ya Urusi kwa Ukraine tafuta historia. Urusi ipo tayari kufa na yeyote anayejaribu kuitengnisha na Ukraine
Sijui umezama kiasi gani kwenye hiyo elimu yako ya Urusi. Unaelewa hata nini hasa kilichofanyika huko Donbas region? Au Crimea au nchi ya Georgia for that matter?

Lakini kama kweli una background sahihi ya geopolitical power strategies za dunia hii, utaelewa kuwa Putin anafanya kitendo cha kipumbavu sana.

Hana support ya wananchi wa Russia wala Ukraine. Hawa ni ndugu. Anachofanya ni kudhoofisha nchi zao jambo ambalo litafanya nchi za EU, Marekani na China zawapite kiuchumi kwa kasi zaidi. Kudidimia kwa Urusi China ndiye mnufaika mkubwa zaidi kiuchumi na kijeshi.

Bahati mbaya sana, utawala wake huko Russia ni wa “one man show”. Hakuna mhimili mwingine wa kumdhibiti. He’s simply running down the once mighty Russia.
 
Leo hii Urusi sio tishio kwa USA. Ni tishio kwa nchi za jirani tu. China ndio tishio hasa kwa Marekani.
 
Uko na akili ndogo hadi naona nikikujibu napoteza muda bure...propaganda za Marekani zimejaza fuvu lako
 
Watu wengi humu wanaongelea kuhusu Putin kiubaya lakini hamjui nia yake nini! Je anajilinda dhidi ya maadui wake kumkaribia?

Kwann Crimea ilichukuliwa na Russia? Because of the potential oil/gas reserves ya black sea.
 
Warusi ni maskini mno japo wamewekeza sana katika jeshi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…