Vladimir Putin amewataka wanajeshi wa Ukraine wajisalimishe wenyewe

Vladimir Putin amewataka wanajeshi wa Ukraine wajisalimishe wenyewe

Yaan hata Putin akichukua Ukraine watakachofanya ni kuwekea vikwazo eneo Zima la Ukraine yaan hakuna kiwanda au kampuni itakayokubali kuoperate eneo Zima la Ukraine, mwisho wa siku uchumi wa eneo husika una collapse kwa hiyo work done inakua equal to zero ndo maana Putin ni kiongozi anayetumia nguvu kuliko akili
Ko wewe unahis una akili kuliko Putin?
 
Wanawezaje kutengeneza silaha kali na wakati Wana uchumi hafifu?? Maana hii wengi hamjiulizagi
Wana akili hiyo Sasa [emoji16][emoji16] hao huwa wanamezesheshwa tu ujinga ni brain washed hao bendera fuata upepo

Wao huwa Wana Amini kila wanacholishwa na vyombo vya habari vya west , hawako critical ,hawana desturi ya kujiuliza kwanini hivi na sio vile , kwisha habari yao [emoji706][emoji706]
 
Kuna thread nimeona unapewa elimu ya uhalisia sana kuhusu huu mgogoro lakini huelewi... Potelea mbali watu kama nyinyi inatakiwa mjifunze kwenye matendo kama ilivyo sasa.

Urusi aliweka wazi matakwa yake ila NATO wakawa wanamtishia eti mara wamepeleka silaha hatari Ukraine, mara watamsaidia kijeshi, mara watampa kila msaada unaohitajika... Leo hii mwanaume Putin anaongea kivitendo zaidi huku wale makuwadi wa Magharibi wakijifungia ndani eti wanawaombea waukrine juu ya madhila yatakayowapata.

Victoire naomba utafute historia ya Urusi kabla ya vita vya kwanza vya dunia, vya pili na mpaka kuvunjika USSR ndipo uweze kuelewa maswala mengi ya dunia
Nimecheka sana baada ya kuona tweet ya mdoli biden eti anawaombea.

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukraine analia peke yake waliompa kichwa kikuu wapo mbali nae sana ...ss kama kweli NATO ni wanaume watie mguu wao hapo mwanaume ashasema na yeyote asaidie na aone nini kitamkuta
 
Wewe ndo hutaki vita....Watu kama hawataki vita..military alliances ni za nini...NATO mpinzani wake alikua SOVIET UNION na warsaw pact...vyote hivi havipo....unafikiri ni kwa nini bado NATO ipo na inazidi kuexpand....NATO ndo chanzo cha haya matatizo
Wanajilinda sababu ya hawa wehu kama Putin .
 
Kuna thread nimeona unapewa elimu ya uhalisia sana kuhusu huu mgogoro lakini huelewi... Potelea mbali watu kama nyinyi inatakiwa mjifunze kwenye matendo kama ilivyo sasa.

Urusi aliweka wazi matakwa yake ila NATO wakawa wanamtishia eti mara wamepeleka silaha hatari Ukraine, mara watamsaidia kijeshi, mara watampa kila msaada unaohitajika... Leo hii mwanaume Putin anaongea kivitendo zaidi huku wale makuwadi wa Magharibi wakijifungia ndani eti wanawaombea waukrine juu ya madhila yatakayowapata.

Victoire naomba utafute historia ya Urusi kabla ya vita vya kwanza vya dunia, vya pili na mpaka kuvunjika USSR ndipo uweze kuelewa maswala mengi ya dunia
Naijua sana historia.Sasa tunaongelea hali halisi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukraine analia peke yake waliompa kichwa kikuu wapo mbali nae sana ...ss kama kweli NATO ni wanaume watie mguu wao hapo mwanaume ashasema na yeyote asaidie na aone nini kitamkuta
Unajua madhara ya vita wao wamemuwekea vikwazo Russia na hakuna kitu kibaya kama vikwazo tatizo sisi waafrika tunaupeo mdogo sana nenda apo somalia au Kongo uone madhara ya vita usingeshadadia vita na watu wenye akili wanalijua hilo
 
Leo hii Crimea hakuna kampuni itakayoenda kufungua biashara kwanin eneo Zima limepigwa sanction in short Crimea Haina faida kwa Russia
Soma hiyo report msiwe hyped by western medias
Screenshot_20220224-120811_Search.jpg
 
Bila shaka maamuz aliyofanya Putin hayatofautian na maamuz aliyoyafanya Bush nchin Iraq na Afghanistan
Sababu hazilingani sana lakini uko sawa kwamba yote yalikuwa na kiwango kikubwa cha uongo na unafiki. Kurefusha mission ya Afghanistan Bush alipanga kupiga pesa za walipa kodi wa US kupitia kampuni binafsi. Kuvamia Iraq alidanganya ulimwengu kuwa kuna silaha za maangamizi ya halaiki.

Putin anatumia uongo kutaka kuichukua Ukraine kuwa ndani ya mipaka ya Russia. Hakubali kuwa Ukraine ni sovereign country. Anadai tangu awali ilikuwa sehemu ya Urusi iliyojitenga “kienyeji”!
Kama sisi leo tudai Burundi ni sehemu ya Tanganyika.
 
Unajua madhara ya vita wao wamemuwekea vikwazo Russia na hakuna kitu kibaya kama vikwazo tatizo sisi waafrika tunaupeo mdogo sana nenda apo somalia au Kongo uone madhara ya vita usingeshadadia vita na watu wenye akili wanalijua hilo
Wewe ndio unaupeom mdogo sio wote.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukraine analia peke yake waliompa kichwa kikuu wapo mbali nae sana ...ss kama kweli NATO ni wanaume watie mguu wao hapo mwanaume ashasema na yeyote asaidie na aone nini kitamkuta
NATO anaingiaje hapo wakati Ukraine si mwanachama wa NATO ?
 
Soma hiyo report msiwe hyped by western mediasView attachment 2129497
Haisaidii sababu kote huko kunaekewa vikwazo hakuna meli itakayoenda hivi unajua maana ya vikwazo nisije nikawa napoteza mda

Venezuela ni nchi inayoongoza kwa reserve ya oil lakin angalia baada ya vikwazo Hana wa kumuuzia oil Leo hii Venezuela ni fail state Hana pa kukimbilia, wananchi wake wanakimbilia Colombia na Brazil
 
Watu hawataki vita. Hakuna alieufyata. Hakuna anaetaka kuanguka kwenye mtego wa huyo Schezophrenic Putin. Watu wanaangalia humanity kwanza. Hakuna anaemwogopa Putin. Sema watu wenye akili hawataki vita.
Mmebadilisha tena
 
Leo hii Urusi sio tishio kwa USA. Ni tishio kwa nchi za jirani tu. China ndio tishio hasa kwa Marekani.
Mkuu Usa,russia,chyna hawa wote wana silaha nzito za mangamizi,..
Hakuna yeyote anayeweza kuingilia operation za mwingine kichwa kichwa..
Watu wanafanya risk assessment..
Ni bora ukraine ipotee kwenye ramani kuliko matatzo atakayosababishia raia wake bwana biden kama ata step inn this war..
Sidhani kama pentagon ina maafsa wapumbavu kias wamshauri jamaa ajiingize kwenye iyo vita
 
Back
Top Bottom