Vladimir Putin amewataka wanajeshi wa Ukraine wajisalimishe wenyewe

Uchumi wa dunia Hii sio century ya Hitler .Putin need to be murdered
 
Na sisi tumshukuru MUNGU kwa tarehe 17/3/2021. Tulinyimwa misaada kwa sababu kadhaa za kipuuzi kabsa eti mtoto wa kike akipata ujauzito ni marufuku kurudi shule. Matokeo yake tukaanza kukopa kwa siri kwenye mabenki ya biashara deni la taifa likaongezeka maradufu huku tunadanganywa takwimu za uchumi na tunadanganywa miradi mikubwa inajengwa kwa pesa za ndani. ASANTE SANA MUNGU KWA COVID19
 

Tatizo lililopo ni kwamba Marekani na washirika wake waliidharau Urusi.

Hawakujua kwamba kwa kuidharau na kuipuuzia Urusi na jitihada zake za kutafuta ushirikiano, walimpa sababu ya kujijenga kivita na kiuchumi.

Haya yanayoendelea kwa sasa ni jitihada za Urusi kuionyesha dunia kwamba yeye siyo taifa la kupuuzwa kirahisi hivyo.

Anakusudia kuonyesha umwamba wake, nahisi anaenda kumng’oa yule rais wa Ukraine madarakani na kumuweka mwengine atakayemuelewa.

Hili likitokea, hakika Marekani na EU watakuwa wamepoteza sana kwa Urusi.

Bahati mbaya sana, NATO na Marekani hawawezi kuingia kijeshi Ukraine kwa sasa. Hivyo Ukraine inabidi ipigane kivyake sasa.

Ngoma hii mbaya.
 
Unajua madhara ya vita wao wamemuwekea vikwazo Russia na hakuna kitu kibaya kama vikwazo tatizo sisi waafrika tunaupeo mdogo sana nenda apo somalia au Kongo uone madhara ya vita usingeshadadia vita na watu wenye akili wanalijua hilo
NATO ya nn kama hawataki vita Mzee[emoji706]
 
All in All nimesoma thread sana sana ila mi naona hakuna umuhimu wa kumwaga damu.. coz hakuna maslahi yoyote katika umwagaji damu yaamin mtu yoyote anaye chochea vita ni punguani kabisa haijalishi history au nani anataka nin kwa nani kikubwa busara zitumike kumaliza choko choko kuna watu wanaongea point za kitumwa sana na haipendezi wewe unae jiita timamu ku promote vita lets speak Aman to those who do not see it pasipo Amani tuta umua na effect itakua dunia nzima kilio kitatokea umaskin utakithiri hakuta kua na amani tena hakuna life tena tuache uchochezi
 
USA tayari anayo Alaska sebleni kabisa kwa Russia na hajafanya lolote juu ya hilo,

Russia anajazwa tu, kuna mstari anasubiliwa auvuke

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
 
Hawataki vita lakini huko Syria, Iraq, Libya na kwingineko walipeleka majeshi yao kusaport vikundi haramu, kuna muda unajifanya uko neutral lakini mahaba yako kwa NATO yanaonekana waziwazi.
Dah... Ma do kama nyie mnao fwatilia National news na comment zenu kama hizi sijui mnapatikana wapi...[emoji23]

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Mpaka muda huu mafuta yameshapanda bei kwa zaidi ya dola 100 kwa pipa na pesa ya Urusi imeshuka thamani kwa kiwango kikubwa zidi ya dola na pound.
Vikwazo vilivyowekwa na nchi za magaribi juu ya Urusi yamelenga kuzuia pesa kutoka katika maduka ya fedha yaliyoko magaribi. kiufupi vikwazo vimeshaanza kuonesha madhara juu ya uchumi wa Urusi.
 
Mbona USA walifanya hivyo nchi nyingi zikiwemo Iraq, afrighanstan, Libya hamkusema hivyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…