VOA: Zaidi ya Wanajeshi 80 wa Burkina Faso wauawa na Wanajihadi. Rais Traore akimbia Ikulu na kujificha ikihofiwa Uasi wa Jeshi

Trump alipotueleza ukweli tukasema katutukana. Hivi watu weusi Hasa Central /West Africa huwa wanataka nini??? Mara Jihad mara Uasi hivi hawawezi kabisa kuishi kwa amani??!!! Tumshukuru Sana Mwl JK nyerere Wallah kwa kutengeneza Foundation iliotuleta mpaka hapa tulipo
 
Nordic countries (Dernmark, Sweden and Norway) ni nchi za kijamaa mbona hazijawa masikini Kama Tanzania?
Hawa walifanikiwa sababu ya uchapakazi (hardworking) na uaminifu(trust).

China wamefanikiwa na wanazidi kufanikiwa sababu ya uchapa kazi na uaminifu (trust) kwenye mambo mengi hasa mali za umma.

Kitu cha kushangaza wajamaa (USSR) ndio binadamu wa kwanza kupeleka spaceship kwenye outer orbit ikiwa na binadamu ndani. Wakati huo mabepari wanahangaika jinsi ya kuvusha spaceship kwenye anga la dunia.
 
Yuko wapi Sasa 😂😂
Sijui umefikiria Mara mbili kabla ya kuandika hivi!
Alikaa madarakani miaka mingapi?
Alileta maendeleo?
Nani walimuondoa madarakani na midege?
NATO walitumia article gani kwenye katiba yao kuivamia nchi ambayo haija ivamia nchi mwanachama wa NATO?
Huwezi kugundua tatizo au chanzo hapo ni nani?
Walipofanikiwa kumtoa madarakani nchi Sasa ipo katika Hali gani kiuchumi na kiusalama?
Hao waliomshambulia na midege ya kivita lengo waingize vibaraka wao waibe utajiri wa mafuta wa Libya na wamefanikiwa.
 
Unaandika kishabiki sana..andiko lako linakuwa biased..Unashanga BurkinaFaso mbona Congo hapo jirani kabisa wanauana kila siku???
Huyu ni wale Pro Western wanapenda kudanganywa na propoganda.

Burkino faso ipo safi kabisa hakuna lolote hizo ni propoganda za Western
 
Mifano mitatu katika nchi ngapi!?..isitoshe Sweden ujamaa ulifeli, Norway haikufanikiwa kisa ujamaa Bali uwekezaji kwenye nishati, uwekezaji ambao nabii wako wa ujamaa hapa hakuutaka, USSR ingefika mbali ikiwa wangeachana na ujamaa,lakini hata hivyo mwisho wa siku ilifeli na kuparaganyika
 
USA,France vs Russia=USA and France win.
 
Hakuna kitu kinaitwa Ubepari wala wala ujamaa hizi sera mbili zilishachangamana na sasa tuna mixed economy ndio mfumo unao endesha dunia
 
Nordic countries (Dernmark, Sweden and Norway) ni nchi za kijamaa mbona hazijawa masikini Kama Tanzania?
Hawa walifanikiwa sababu ya uchapakazi (hardworking) na uaminifu(trust).
Kwanza jifunze kutofautisha ujamaa na Ukomunisti, pili nchi za Nordic sio za kijamaa, ni mixed economies ambapo kuna mfumo imara wa soko huria huku serikali ikitoa bure baadhi ya huduma muhimu na kuyajali zaidi makundi fulani muhimu.
 
Ujamaa ulikuwepo na bado upo Korea kaskazini,ubepari upo USA
Kaka unaweza kufafanua maana ya ubepari na maana ya ujamaa kinachotokea sasa hivi ni utofauti wa viwango vya kuaply hizo sera hakuna taifa linalo operate fully Capitalism ama Socialism
 
Kaka unaweza kufafanua maana ya ubepari na maana ya ujamaa kinachotokea sasa hivi ni utofauti wa viwango vya kuaply hizo sera hakuna taifa linalo operate fully Capitalism ama Socialism
Tofautisha capitalism na free market economy,free market economy ipo kitambo, capitalism ni wenye pesa kuilekeza serikali Cha kufanya,ndiyo ilivyo marekani,ndiyo maana palikua na maandamano juzi kati ya wamarekani kuitaka nchi yao toka kwa matajiri ambao ni 1% ya wamarekani
 
Nyie ndiyo mnazidi kujichelewasha na kujipoteza na hiyo Africa yenu. Hapo Soth Africa tu wametema bungo na kuanua kumrudisha Kaburu, hala ninyi huko mnabaki kujitutumua na kudanganyana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…