kweli kabisa wenyewe hua hawachukui chao kama umeunga mapema kabla ya kuisha muda.Utamu wa halotel ni kuwa, muda wa bando ukiisha bando linaonekana limeisha, ila ukinunua lingine lile bando lililobaki(mf MB) zigajumlishwa na hizi ulizonunua upya.
Hapa nilipo nina SMS 58,875 ambazo muda wake unaisha kesho(huwa nanunua kwa wiki kwa 475/= kupitia Halopesa, kwa salio la kawaida ni 500/= unapata sms 3,000).
Kesho sms zikiisha halafu nikinunua zingine zitajumlishwa na hizi 58k ambazo bado zipo(lakini sitaweza kuzitumia endapo muda wake ukiisha).
nani sasa anamuokoa hapaTCRA Haiwezi kukuokoa
Utamu wa halotel ni kuwa, muda wa bando ukiisha bando linaonekana limeisha, ila ukinunua lingine lile bando lililobaki(mf MB) zigajumlishwa na hizi ulizonunua upya.
Hapa nilipo nina SMS 58,875 ambazo muda wake unaisha kesho(huwa nanunua kwa wiki kwa 475/= kupitia Halopesa, kwa salio la kawaida ni 500/= unapata sms 3,000).
Kesho sms zikiisha halafu nikinunua zingine zitajumlishwa na hizi 58k ambazo bado zipo(lakini sitaweza kuzitumia endapo muda wake ukiisha).
Hata kama muda umeisha zilizobaki zinakuwa domant(inactive) kwa sababu zipo nje ya muda wa matumizi na kwenye salio zinaonekana hamna ila utakaponunua zingine zinajumlishwa zinakuwa active tena na zitatumika kwa muda wa bando jipya kutumikakweli kabisa wenyewe hua hawachukui chao kama umeunga mapema kabla ya kuisha muda.
ila voda sasa.......🤣🤣🤣Hata kama muda umeisha zilizobaki zinakuwa domant(inactive) kwa sababu zipo nje ya muda wa matumizi na kwenye salio zinaonekana hamna ila utakaponunua zingine zinajumlisha zinakuwa active tena na zitatumika kwa muda wa bando jipya kutumika
Hapo ni kwa pande zote, ingawa nimetaja MB mwanzoni halafu nikatolea mfano SMS."Convert Sms into Mb's "
Wachunaji sanaila voda sasa.......[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lissu ameniambia nikuulize mataga ni lini mnaanza kutoa bima ya afya bure kwa kila mtanzania kama mlivyoahidi??[emoji23] lisu kakushtua nini mkuu
Halotel pia waduwanzi kichizi. Royal bundle walikuwa wanatoa 4Gb plus 2Gb bonus ikiwa na speed kali. Ukimaliza hizo, wanaaza kukupa 500Mb daily kwa speed ya kawaida hadi mwezi unaisha. Ila sasa hivi wanatoa 7Gb tu, after that bundle linakata.Halotel sihami
TCRA wakusaidie kufanya nini? Kwani bei za vifurushi kwenye mitandao ya simu zinapangwa na TCRA?Nilizoea kujiunga Vifurushi vya aina mbili vya wiki 2Gb kwa Tsh.3,000/= au 4Gb kwa Tsh.5,000/= Leo nimekutana na hali tofauti, 1Gb kwa 3,000/= na 2GB kwa 5,000/= kwa kweli nimechanganyikiwa kidogo hasa ukiangalia hali tunayoipitia mtaani.
Mbona hii mitandao imekuwa na upandishaji wa gharama kiholela tu? Huku tunakokwenda sio kuzuri jamani.
Hebu TCRA ingilieni kati na Mamlaka za kulinda haki za wateja.
It's a processLissu ameniambia nikuulize mataga ni lini mnaanza kutoa bima ya afya bure kwa kila mtanzani kama mlivyoahidi??
Hapo ni kwa pande zote, ingawa nimetaja MB mwanzoni halafu nikatolea mfano SMS.
Maelezo niliyoelezea sms, ni sawa na nikitaka kuelezea MB.
Halotel wana lipi la maana spidi ya konokono na unakuwa na miGB kibaoo haina kaziiHalotel sihami
Nchi inakusanya mapato kwanzaNilizoea kujiunga Vifurushi vya aina mbili vya wiki 2Gb kwa Tsh.3,000/= au 4Gb kwa Tsh.5,000/= Leo nimekutana na hali tofauti, 1Gb kwa 3,000/= na 2GB kwa 5,000/= kwa kweli nimechanganyikiwa kidogo hasa ukiangalia hali tunayoipitia mtaani.
Mbona hii mitandao imekuwa na upandishaji wa gharama kiholela tu? Huku tunakokwenda sio kuzuri jamani.
Hebu TCRA ingilieni kati na Mamlaka za kulinda haki za wateja.