VODACOM naomba mnisaidie kwanini Mb zangu zinakwisha Haraka pasipo matumizi utafikiri kuna jini linakula?

VODACOM naomba mnisaidie kwanini Mb zangu zinakwisha Haraka pasipo matumizi utafikiri kuna jini linakula?

Namuungaje wakati sina hata shilling 50?
Btw Lucas hana njaa kama mnavyofikiria
Heri kutoa kuliko kupokea, ukimuunga sio kwamba ana njaa, la hasha. Inakua katika kutekeleza kupata baraka kupitia utoaji.

Kingine, maneno huumba. Jizoeshe kujitamkia maneno mazuri. Mambo ya kusema hauna hata 50 sio mazuri.

Basi ntamuunga kwa niaba Yako wewe toa idhini tu.
 
Nasema kuwa siwekagi bando la jero bali niliweka kuangalia hali hiyo ya mabadiliko ya ghafla.sasa wewe umeona hali isiyo ya kawaida unaanzaje kujiunga bando la bei kubwa kabla ya kupata ufumbuzi na majibu?
Akili za kiccm hzi .wewe ni mjinga tuu na uko ccm unatumika TU kwa maslai ya mabwana zako ..mbaya zaid hawakulambishi asali upo upo tuu.. idiot
 
Heri kutoa kuliko kupokea, ukimuunga sio kwamba ana njaa, la hasha. Inakua katika kutekeleza kupata baraka kupitia utoaji.

Kingine, maneno huumba. Jizoeshe kujitamkia maneno mazuri. Mambo ya kusema hauna hata 50 sio mazuri.

Basi ntamuunga kwa niaba Yako wewe toa idhini tu.
Asante the Monk! Umenikumbusha kitu cha muhimu sana, kujinenea mema
Nimekupa ruhusa kuhusu Lucas
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mimi ni mtumiaji na mteja wa miaka mingi wa mtandao wa voda ,lakini Haijawahi kutokea na sijawahi kushuhudia hali hii katika simu yangu ya ulaji wa mb utafikiri kuna jini limepiga kambi kula mb zangu. Hali hii imejitokeza tangia jana jioni ambapo nilikuwa na mb mia mbili na 34 lakini ghafla nikashangaa naletewa sms kuwa zimekwisha.

Nilipigwa na mshangao mkubwa sana.baadaye nikasema ngoja nijaribu niweke mb za mia tano.nikaweka nikapewa mb 246 cha kushangaza nikaingia jamii forum na kukaa kama dakika tatu au nne hivi bila kufungua video ya aina yoyote ile.lakini nikaletewa sms kuwa zimebaki mb 61.

Lakini cha kushangaza baada kama tena ya dakika 2 hivi nikaletewa sms kuwa kifurushi chako cha JKU kimekwisha.Nilishangaa sana na kusikitika sana hali hiyo.

Nimepiga sana huduma kwa wateja bila kupata msaada wa aina yoyote ile,kwa kuwa sikupata nafasi ya kuongea na wahudumu wa voda zaidi ya kupewa maelekezo ya kujihudumia mwenyewe.

Sasa muda huu tena nimejiunga bando la mia tano na kupewa mb 246 hivi lakini cha kushangaza nimeingia tu JF na kukaa kama dakika mbili bila kufungua video au kuandika chochote wala kusoma habari hata moja zaidi ya kuangalia nyuzi tu.nikasema ngoja nikaangalie salio,nikakuta tena salio eti ni mb 110 .

Wakati hali hiyo haijawahi kutokea. Sasa najuwa humu jukwaani wapo voda nataka kujuwa shida ni nini?
Cc. MWIGULU NCHEMBA, NAPE NAUYE, NDUMBARO
 
Huyu kapuku atakimbiza sana upepo humu.

Kuna member mmoja humu miaka ile ya 2010 alikuja kukiri baada ya uchaguzi kuwa alinunuliwa modem na laptop kuwaponda washindani wa maboss wake ila walipoukwaa ubunge wakamfungia vioo.

Sasa sijui ni uchumi wa huko bongo umeshuka kama hadi member mtiifu wa Lumumba buku 7 hawezi kuafford kununua data walau hata GB 1 ila kila siku humu kumsifia chura wa kizimkazi ni hatari sana naamimi hata afya yake itakuwa ni mgogoro.
Siishi kwa kutegemea fadhila za kulipwa mimi na wala sipo humu jukwaani kwa ajili ya kumtumikia mtu yeyote yule.nipo humu na kuandika niandikayo kwa kuchochea na uzalendo pamoja na kusimamia UKWELI tu,hata kama unakuwa ni mchungu kwa baadhi ya watu
 
Kwanini unajiunga GB za kimasikini Lucas Mwashambwa wakati wenzio chawa wanakula shushu, why GB 1 ? Inamaana hata Mwijaku na doto magari wamekuzidi Lucas Mwashambwa, 🤣. Kwanini unakaribisha umasikini in your life L. M?
Mimi siyo chawa
 
Siishi kwa kutegemea fadhila za kulipwa mimi na wala sipo humu jukwaani kwa ajili ya kumtumikia mtu yeyote yule.nipo humu na kuandika niandikayo kwa kuchochea na uzalendo pamoja na kusimamia UKWELI tu,hata kama unakuwa ni mchungu kwa baadhi ya watu
Lucas Achana nao hao! Wewe ndiye unajijua kuliko mtu yeyote, malengo na matamanio yako unayajua wewe
Fanya kinachokupa furaha muhimu hauvunji sheria
Mimi namuomba Mungu akupe kila unachokitamani, ndoto zako zikawe kweli na wewe uziishi.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mimi ni mtumiaji na mteja wa miaka mingi wa mtandao wa voda ,lakini Haijawahi kutokea na sijawahi kushuhudia hali hii katika simu yangu ya ulaji wa mb utafikiri kuna jini limepiga kambi kula mb zangu. Hali hii imejitokeza tangia jana jioni ambapo nilikuwa na mb mia mbili na 34 lakini ghafla nikashangaa naletewa sms kuwa zimekwisha.

Nilipigwa na mshangao mkubwa sana.baadaye nikasema ngoja nijaribu niweke mb za mia tano.nikaweka nikapewa mb 246 cha kushangaza nikaingia jamii forum na kukaa kama dakika tatu au nne hivi bila kufungua video ya aina yoyote ile.lakini nikaletewa sms kuwa zimebaki mb 61.

Lakini cha kushangaza baada kama tena ya dakika 2 hivi nikaletewa sms kuwa kifurushi chako cha JKU kimekwisha.Nilishangaa sana na kusikitika sana hali hiyo.

Nimepiga sana huduma kwa wateja bila kupata msaada wa aina yoyote ile,kwa kuwa sikupata nafasi ya kuongea na wahudumu wa voda zaidi ya kupewa maelekezo ya kujihudumia mwenyewe.

Sasa muda huu tena nimejiunga bando la mia tano na kupewa mb 246 hivi lakini cha kushangaza nimeingia tu JF na kukaa kama dakika mbili bila kufungua video au kuandika chochote wala kusoma habari hata moja zaidi ya kuangalia nyuzi tu.nikasema ngoja nikaangalie salio,nikakuta tena salio eti ni mb 110 .

Wakati hali hiyo haijawahi kutokea. Sasa najuwa humu jukwaani wapo voda nataka kujuwa shida ni nini?
Zinaenda kwenye mfuko wa CCM. Kaa kwa kutulia
 
Back
Top Bottom