Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Inakata tozo zake usijasahulishe kaka lucaKwani CCM inahusika vipi hapo ndugu yangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inakata tozo zake usijasahulishe kaka lucaKwani CCM inahusika vipi hapo ndugu yangu.
Kwa hiyo hizo tozo zimeanza kukatwa jana jioni na kutegeshea jini kwenye simu yangu la kuanza kunyonya mb zangu kama vile lina njaa ya wiki nzima.Inakata tozo zake usijasahulishe kaka luca
Lilikuwa linakulia mingo hatimaye limekufikia na unabubujikwa 😂😂Kwa hiyo hizo tozo zimeanza kukatwa jana jioni na kutegeshea jini kwenye simu yangu la kuanza kunyonya mb zangu kama vile lina njaa ya wiki nzima.
Siishi kwa kutegemea fadhila za kulipwa mimi na wala sipo humu jukwaani kwa ajili ya kumtumikia mtu yeyote yule.nipo humu na kuandika niandikayo kwa kuchochea na uzalendo pamoja na kusimamia UKWELI tu,hata kama unakuwa ni mchungu kwa baadhi ya watu
Naomba acha kumsumbua waridi wangu ephen.muda siyo mrefu utaanza kumsoma ephen kama Platinum member
Asante kwa ushauri wakoBro uwe unafanya Mambo ya msingi yaani uchawa wote unajiunga bando la jero jero 😂😂😂..hii nchi ngumu bado hujasema
Ushauri wangu Jitahidi kushusha speed ya mtandao wa simu, Hakikisha huja hotspot mtu kupitia simu yako na angalia application katika simu yako zinavofanya kazi inaweza kuwa chanzo cha kuisha bando lako
Bado hajatumia pointi za TUZO.Pointi 500 MB 35.Msemaji Mkuu wa CCM JF anajiunga bundle la mia tano?
Sahihi Lucas Mwashambwa. Some days nione jina lako kwenye PDF za state house kwenye ile page ya Ikulu Mawasiliano.Siishi kwa kutegemea fadhila za kulipwa mimi na wala sipo humu jukwaani kwa ajili ya kumtumikia mtu yeyote yule.nipo humu na kuandika niandikayo kwa kuchochea na uzalendo pamoja na kusimamia UKWELI tu,hata kama unakuwa ni mchungu kwa baadhi ya watu
Msamehe tu ndugu yangu Lucas ana wivu sanaSawa kiongozi. Hapa tunajadili suala Zima la kifurushi Cha internet na mie sijawahi kabisa sumbua waridi lako.
Mambo ya platinum membership Yana Uzi wake unawezakwenda kuweka mambo hadharani kule
Msamehe tu ndugu yangu Lucas ana wivu sana
Nakupenda sana ephen mpaka natamani usiwe unapita kwenye misongamano ya watu kwa kuwa naona ni kama watakumalizia hewa safi ya oksijeni.Msamehe tu ndugu yangu Lucas ana wivu sana
Nimeona hilo pia! Muda mwingi nakua speechlessKaka wa watu anakupenda mno
Lucas una maneno utanivunja mbavu zangu😂Nakupenda sana ephen mpaka natamani usiwe unapita kwenye misongamano ya watu kwa kuwa naona ni kama watakumalizia hewa safi ya oksijeni.
Msikilize, utafika mbali. Ana kitu afisa mwandamizi.Nimeona hilo pia! Muda mwingi nakua speechless
Mimi namsikiliza! Lakini ukweli tunaujua mimi na yeyeMsikilize, utafika mbali. Ana kitu afisa mwandamizi.