Vodacom Premier League Lipuli FC 1-1 Simba SC, Uwanja wa Samora Mkoani Iringa

Vodacom Premier League Lipuli FC 1-1 Simba SC, Uwanja wa Samora Mkoani Iringa

Nakutakia kila raheli Mtani. Minipo kimataifa zaidi Ili Mwakani tuiwakilishe vyema nchi
 
Uwanja umejaa mno hapa uwanja wa Samora mkoani Iringa
 
Okwi.. Bocco lakini mabeki wa Lipuli FC wamejaa
 
32 'Goooooaaal...Adam salamba anaandika bao la kwanza baada ya kumzidi maarifa beki wa Simba
 
Simba msitutanie dakika hizi. Tutawapandia ndege kuwafuata na kurejesha utaratibu wa kuwachapa viboko kama zamani. Hii sio kasi ya Simba kabisaaaa
 
Back
Top Bottom