OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
isipokuwa mechi 1 ya Polisi,watarudi MwanzaMechi zote zilizobaki si birian linapigiwa kwa mkapa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
isipokuwa mechi 1 ya Polisi,watarudi MwanzaMechi zote zilizobaki si birian linapigiwa kwa mkapa?
sijui kocha kwa nini hamwamini Beno,mbona yupo sawa tuNivizur tupate kombe mapema ili kunawachezaji nao wacheze wamesugua bechi chaba.Miraji Ndemla Ame Duchu Kakolanya.
Tutakuwa tushaanza kupigiwa makofiisipokuwa mechi 1 ya Polisi,watarudi Mwanza
Labda kama Yanga akifunga mechi zake 2 basi KMC ndo watapiga makofiTutakuwa tushaanza kupigiwa makofi
mkuu naomba unipe ratiba mechi ngapi zimebaki , kuna uwezekano hawa utopolo wakaandika historia ya kutupigia makofi ?Labda kama Yanga akifunga mechi zake 2 basi KMC ndo watapiga makofi
mkuu naomba unipe ratiba mechi ngapi zimebaki , kuna uwezekano hawa utopolo wakaandika historia ya kutupigia makofi ?Labda kama Yanga akifunga mechi zake 2 basi KMC ndo watapiga makofi
mkuu naomba unipe ratiba mechi ngapi zimebaki , kuna uwezekano hawa utopolo wakaandika historia ya kutupigia makofi ?
Hivi jamaa huwa ana bifu na kapombe? Maana hii si mara ya kwanza, yani huwa hatuko fair kabisa kwa kapombe.72' Kadi Nyekundu kwa Juma Nyosso.. Baada ya kumpiga Kapombe
13Huyu Boko ana mabao mangapi eti?
Kocha Sven naye aliishiwa mbinu alikuwa na kambinu kamoja tu, sasa akibanwa tu hakuwa na pa kutokea tofauti na huyu.Hawa paka shume walitubahatisha kale kagoli kamoja leo wamekula jeuri yao, Massau Bwire akatafute pakujificha, hilo kombe TFF waanze kulitanguliza Msimbazi taratibu, sasa namtaka uto tu.
13 anaweza kuchukua kiatu. Dude 14Huyu Boko ana mabao mangapi eti?
Nimecheka kweliii
wote watakula goli TATU TATU hadi ifike hiyo tarehe TATU
Mtch na coastal ingewahi
siyo yeye tu kuna wachezaji waliondoka simba kwa dharau leo wana wivu mkali kuna huyo,humoud wa namungo na banda asiye na team ambaye aliisagia simba kunguni vya kutosha huko south africa ila baada ya ile display ya mechi ya pili wa south wenyewe walijua simba ni team ya aina ganiHivi jamaa huwa ana bifu na kapombe? Maana hii si mara ya kwanza, yani huwa hatuko fair kabisa kwa kapombe.
Safari yetu ya kwenda sehemu sahihi inaendelea.
Hata DomayoHivi jamaa huwa ana bifu na kapombe? Maana hii si mara ya kwanza, yani huwa hatuko fair kabisa kwa kapombe.