NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Wapigwe wapigwe wapigwe wanatusumbuga sana hawa tukipata nafasi kqma hii tunawapiga nyingi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
13 kama sikoseiHivi boko itakuwa amefikisha goli ngapi?
Hivi boko itakuwa amefikisha goli ngapi?
[emoji23][emoji1787]Morison katoka kwenye kizazi cha mzee Yakobo kwenye yale mataifa 12.
Ili kuwakera Utopolo sasahivi tunatumia lugha ya"Simba tumewapora Yang BM.Wakati Simba "wamemuiba" Morrison kiukweli nilikua mmoja wa watu ambae nilishangaa sana na kuwaza kuwa kwani jamaa kuna kipi anaenda kuongeza pale ambacho Simba haina kwa wachezaji walio nao?
Morrison has recently been proving how wrong i was.
Warudishe sasa
Woyoooooooo.Imeishaaaaaaaaa hyoooo
WoyoooooooWoyoooooooo.
Mechi zote zilizobaki si birian linapigiwa kwa mkapa?Hawa paka shume walitubahatisha kale kagoli kamoja leo wamekula jeuri yao, Massau Bwire akatafute pakujificha, hilo kombe TFF waanze kulitanguliza Msimbazi taratibu, sasa namtaka uto tu.
Nivizur tupate kombe mapema ili kunawachezaji nao wacheze wamesugua bechi chaba.Miraji Ndemla Ame Duchu Kakolanya.Bado point 8, tuchukue kombe letu, bado mechi tatu tu