Vodacom Premier League VPL | Ruvu Shooting Vs Simba SC | Uwanja wa CCM Kirumba

Vodacom Premier League VPL | Ruvu Shooting Vs Simba SC | Uwanja wa CCM Kirumba

Admn
Screenshot_20210603-173337_Twitter.jpg
 
Sasa wanamtoaje Mugalu nao hawa? Mzamiru atafanya nini?
Ruvu walikuwa wanakuja kwa nguvu sana so pale katikati Lwanga alikuwa na kazi nzito peke yake sababu Bwalya sio mkabaji mzuri.
Hapo kaingia Muzamiru yeye atacheza 8 mbele ya Lwanga kisha Bwalya anaenda kushoto Kama winga 11 Luis anapanda namba 10 Kama second straiker na Morrison anacheza winga wa kulia 7 na Bocco 9

Sasa Bwalya ametoka kaingia Ndemla ambaye anapanda kucheza 10 nyuma ya Booco kisha Morrison anarudi kwake kushoto na Luis anarudi kwake kulia kule
 
82' Ametoka Bwalya na ameingia Ndemla upande wa Simba SC huku Morrison akionyeshwa Kadi Njano
 
Back
Top Bottom