Sawa. Naomba Weka hiyo screenshot inayoonesha wakati pasi inapigwa kuelekea kwa Bocco mlinzi na Bocco walikuwa Sambamba.Mimi niliona wakati inapigwa Boko na mlinzi aliyekuwa kushoto naye alisogea akawa sambamba na Boko.Anyway hata iweje,Simba ilipata pointi mbili,hayo madhaifu ya Refa ni ubinadamu tu..!
Ili nikufurahishe zaidi hilo lilikuwa bao la Mungu!
Kama si tu matatizo ya waamuzi yanayoendelea kwenye mechi kadha kila siku, na kama si tu mapenzi ya mshika kibendera kwa Simba, basi mimi nahisi labda mshika kibendera alihisi wakati mpira unapigwa na Chama kuna beki alitia mguu pale hivyo kwenye macho yake alihisi ule mpira ulimgusa yule alienyoosha ule mguu kuintasepti hivyo kuvunja offside. Allah yaalam.Nitashabgaa sana kama kuna Mwana Simba SC Mwenzangu ataupinga huu Ukweli. Sijazoea Unafiki, japo siipendi Yanga FC ila Mimi pia ni Mwanamichezo na Msema Ukweli daima hata kama uhauma au utanigharimu. Nami naendelea Kusisitiza na Kukazia hapo hapo kuwa lile Goli la jana la Nahodha Wetu John Boko japo ' Kiusimba ' wangu nalifurahia kwakuwa ukilijumlisha na lile la Ajib limetupa Ushindi katika Mechi ile ngumu na ambayo Simba SC imecheza vibaya kabisa lakini Kiutaalam na Kiufundi ni Goli la Kuotea ( Offside ) waziwazi. Ni kheri nichukiwe na Wengi lakini niseme Ukweli ambao kwa Mwenyezi Mungu utaniongezea ' Thawabu ' zangu.
Kama si tu matatizo ya waamuzi yanayoendelea kwenye mechi kadha kila siku, na kama si tu mapenzi ya mshika kibendera kwa Simba, basi mimi nahisi labda mshika kibendera alihisi wakati mpira unapigwa na Chama kuna beki alitia mguu pale hivyo kwenye macho yake alihisi ule mpira ulimgusa yule alienyoosha ule mguu kuintasepti hivyo kuvunja offside. Allah yaalam.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena hawa Kamwene tuna hamu nao sana yaani kwani hatujasahau walichotufanyia msimu uliopita.
Sio kukata tamaa Mkuu wangu bali mwenendo wa namna waamuzi wanavyofanya maamuzi kwenye mechi zenu (tena si moja) basi najikuta tu naona ni bora wawape kombe lenu mukae nalo huku mukiwa munatafuta 100 points.
AiseeeMtani mpewage tu kombe lenu sasa. π
Peweni tu Mtani.Aiseee
Hali imekua Nkhumu
Simba nguvu moja
Mwenye kisu kikali ndiye mla nyamaππPeweni tu Mtani.
Mkuu basi umeshinda ...kama Simba alivyoshinda jana ! mimi hata screenshot siujui ,sembuse kuiweka hapa! πSawa. Naomba Weka hiyo screenshot inayoonesha wakati pasi inapigwa kuelekea kwa Bocco mlinzi na Bocco walikuwa Sambamba.
Sent using Jamii Forums mobile app