Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
Tema mate chini mamii. Mungu Anakuona ujue, astaghfirullah! Kikosi chote kipana kile unasema hamna kitu!Aah!! Simba hamna kitu pale.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tema mate chini mamii. Mungu Anakuona ujue, astaghfirullah! Kikosi chote kipana kile unasema hamna kitu!Aah!! Simba hamna kitu pale.
Mmmh!! Kikosi Kipana? 🤔🤔🤔🤔Tema mate chini mamii. Mungu Anakuona ujue, astaghfirullah! Kikosi chote kipana kile unasema hamna kitu!
Sio Point 100 pekee na Ubingwa pia...LOL. Nyie shida yenu Points 100 tu. [emoji848][emoji848][emoji848]
Hujui hata maana ya kumtegemea refa, timu inapambana kusaka ushindi hatimaye unapatikana, ingekuwa kama wachezaji hawapambani kila wakati ni wanamzonga mwamuzi, na kulalamika hivyo ingekuwa kweliHahahahahahahahah uone hata zAibu basi Mpira dk 90 uwe Fair sio dk 90 kila mechi unamtegemea refa.
Chukueni tumewaachia.Sio Point 100 pekee na Ubingwa pia...
Maneno yenu hayatusumbui..yenu hatuyasemi [emoji2][emoji2] Kombe tutachukua kihalali kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtani mbona kama mnasusa tena [emoji3][emoji3]Chukueni tumewaachia.
Hamjatuachia tukichukua ni kwa uwezo wetu...Makosa ya marefa yasifanye Simba kuonekana mbovu..Chukueni tumewaachia.
Shida yenu si ni huo ubingwa Mtani na ndio sababu mnatengeneza mazingira kila siku.
Sasa hutaki kuamini Shadeeya?Mmmh!! Kikosi Kipana? 🤔🤔🤔🤔
🤣🤣🤣 Umefanya nimkumbuke Manara na hizi kauli zako.Sasa hutaki kuamini Shadeeya?
Kama hujui kuwa walikuwa wamekosea au lah! maanake hujui sheria na kanuni za FIFA kuhusu offside. Ungekuwa unajua ungesema kuwa waamuzi walikuwa sahihi kwasababu ya moja, mbili, tatu. Au ungesema waamuzi hawakuwa sahihi kwasababu ya moja, mbili, tatu.Tuwe wakweli ushindi wa Simba wa hivi karibuni haufurahishi ,unafurahisha! yaani goli kama la kwanza la jana ,hadi sasa nashindwa kuelewa Refarii na kibendera wake walikosea au la! Ingawaje haraka haraka kubaini kuwa Boko aliotea au lah ni ngumu kidogo katika hali kama ile! Ila mimi kwa jicho langu beki aliyekuwa kushoto aliposogea ndipo alipo halalaisha kibendera kuona Boko hajaotea!
Nawasilisha/nawakilisha
😀 😀
haya niambie wewe mkuu ,hayo ni maoni yangu ! Utata kama huu wangu ndio ulilita VAR nafikiri!Kama hujui kuwa walikuwa wamekosea au lah! maanake hujui sheria na kanuni za FIFA kuhusu offside. Ungekuwa unajua ungesema kuwa waamuzi walikuwa sahihi kwasababu ya moja, mbili, tatu. Au ungesema waamuzi hawakuwa sahihi kwasababu ya moja, mbili, tatu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Wewe uliyeusoma ulivyo ' Mpumbavu Mwandamizi ' kabisa.
Shida yenu si ni huo ubingwa Mtani na ndio sababu mnatengeneza mazingira kila siku.
Chukueni tu.
V.A.Rhaya niambie wewe mkuu ,hayo ni maoni yangu ! Utata kama huu wangu ndio ulilita VAR nafikiri!
Mimi niliona wakati inapigwa Boko na mlinzi aliyekuwa kushoto naye alisogea akawa sambamba na Boko.Anyway hata iweje,Simba ilipata pointi mbili,hayo madhaifu ya Refa ni ubinadamu tu..!V.A.R
Kutokana na sheria ya offside ni kwamba inaangaliwa position ya mcheza alipokuwa, wakati pass inatoka kwa aliempa assist. Hivyo wakati mpira unapigwa kuelekea kwa Bocco, Bocco tayari alikuwa kwenye offside position.
View attachment 1347223View attachment 1347224
Sent using Jamii Forums mobile app