Vodacom Premier League: Yanga yaibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Biashara

Yaani wachezaji kama Mwamnyeto, Ditram Nchimbi na Sarpong, eti wanasugua benchi! Huku ni kutokujitambua kabisa kwa baadhi ya wachezaji!

Anyway, nawatakia ushindi. Ingawa sijafurahishwa na matokeo ya mechi chache zilizopita.
 
Utopolo waoga sana, mpira dakika 20 lakini hapa hawajitokezi kwenye Uzi

Hawajiamini
 
...goli lilifungwa na mshambuliaji hatari kutoka Ghana Michael Sarpong😊😊😊
M
 
Lamine Moro tatizo ni nini? Mechi ya pili sasa haonekani hata benchi
 
Dk ya 43 mambo bado magum kwa team zote mbili japo business wamepaki bus
 
Yanga toeni draw bas mtupe nafas nasie tuongoze ligi hatujaongoza toka inaanza na huu ni mzunguko wa 26
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…