Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Naona wamekaziwa first halfutasikia Biashara wamepewa hela na Simba wakaze
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona wamekaziwa first halfutasikia Biashara wamepewa hela na Simba wakaze
Anashinda njaaSina shaka yoyote leo Yanga anashinda
Salamu zangu zimwendee ShadeeyaNaona humu wekundu aka mnyama,wazee wa champs lg ndo tumejaa.
Utopolo wanasubiria matokeo kwanza. [emoji1787][emoji1787]
Kweli akili ni nyweleNyie simba acheni mpira wa kichawi
Yanga tuna kikosi kizuri shida ni huyo babu mliye naye siku hizi alivyoamuliwa awafunge kichawi straikers wetu wote wawe wazito kufunga
Kisa eti hampendi tubebe kikombe/tuongoze ligi
Ukweli ndio huo
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Usiwatishe sana, naamini leo watashinda hata kama kwa taabunampigia mkuu wa kituo cha polisi Chang'ombe asogeze jeshi. hali ni mbaya
hawana uhakika,subiri zibaki 10Wanayanga mnaongoza mukuje sasa kwenye uzi
hawana uhakika,subiri zibaki 10Wanayanga mnaongoza mukuje sasa kwenye uzi
Utopolo wamepata kagoli ka kulalia,sijui kama katafika asubuhiNasikia kelele za vyura ...wamefunga au wamefungwa!!?
Umewasikia wanaume?hawana uhakika,subiri zibaki 10
Goli moja bila km kumi vle. Utopolo hovyo snUmewasikia wanaume?
OKW BOBAN SUNZU ameumia ingawa roho ilisuuzika alipokufa JPMGoli moja bila km kumi vle. Utopolo hovyo sn