mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake apewe! Hongereni sana utopolo!! Naona sasa mmeanza ligi!! Komaa mtani hapo kileleni, angalau hadi mwisho wa wiki ijayo, baada ya hapo tuheshimiane!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unajua kama point za Yanga sawa na goal difference ya Simba?Umewasikia wanaume?
Chuma kililambwa na CoronaOKW BOBAN SUNZU ameumia ingawa roho ilisuuzika alipokufa JPM
Wagosi walishaitatua bikra kitambo tuHahaha wakulya wamekuja na baiskeli za mayai mkumtoa mtu bikira
Umuenzi magu kwa lipi? Kaharibu uchumi kiasi kwamba kuna watu hawajalipwa Mishahara au pensheni yao mpaka leo. Watu waliuawa au kupigwa risasi bila kosa lolote. Matumizi mabaya ya madaraka na mali za ummaNawaombea heri Yanga wajitahidi kupambana wapate japo point moja...
Hii ni timu ya wananchi wanyonge.... tuiunge mkono kumuenzi Magufuli
Hii sio timu ya kumuuingua mkono magufuli maana wanawachama wake wengine ni wanachama wa vyama vya upinzaniNawaombea heri Yanga wajitahidi kupambana wapate japo point moja...
Hii ni timu ya wananchi wanyonge.... tuiunge mkono kumuenzi Magufuli
Yocouba SogneNi mchezaji gani aliyebabatiza huo mpira akasababisha goli?
nani alimteka tajiri mwekezaji Mo,hii ni mada nyingineUmuenzi magu kwa lipi? Kaharibu uchumi kiasi kwamba kuna watu hawajalipwa Mishahara au pensheni yao mpaka leo. Watu waliuawa au kupigwa risasi bila kosa lolote. Matumizi mabaya ya madaraka na mali za umma
Kwani ninyi mnaonajeHahahahaaa!! Halafu kwa hali hii Mtani mnasema eti nyie ni level za Al Ahly na VPL sio saizi yenu. Kweli? 😂
Wapinzani sio wananchi? Wasukuma mlitaka kuifanya hii nchi mali yenu. Sisi tukamwachia Mungu akamtwaa Mungu wenu...Hii sio timu ya kumuuingua mkono magufuli maana wanawachama wake wengine ni wanachama wa vyama vya upinzani
unajua kama point za Yanga sawa na goal difference ya Simba?