Vodacom Premier League: Yanga yaibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Biashara

Ila yanga jamani tuangalie tu namna ya kuisaidia maana hatua ambayo inapitia ni huruma
 
nampigia mkuu wa kituo cha polisi Chang'ombe asogeze jeshi. hali ni mbaya
 
Kweli akili ni nywele
 
Nasikia kelele za vyura ...wamefunga au wamefungwa!!?
 
Jamani watani msiwewaoga njooni Jf....!
Mbona siku walipocheza wanaume Simba na Al Ahl mlikuwa wengi hapa!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…