OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
utopolo kama uto lazima wafungweView attachment 1634584
Yanga leo wamekwea daladala kuelekea Chamazi wakipitia Mbagala kucheza na Azam FC. Mechi itaanza saa moja jioni. Dube atakuwepo. Sure Boy atakuwepo shimoni pale.
Usiondoke
huo mwiko huko nyuma mwaka huu tunauchomoaDaima mbele nyuma mwikooo...
Kila la kheri wananchii
Kila la kherii plateau utdView attachment 1634589
Hasara tupuDaima mbele nyuma mwikooo...
Kila la kheri wananchii
Kila la kherii plateau utdView attachment 1634589
Waliopo hapo mbele wanagoli ngapi?Leo Yanga watafunga zaidi ya bao Moja.
Hiki kikosi nimekipenda. Nchimbi Striker.
Anataka kubet aweke mzigo hapa.
Weka mzigoWaliopo hapo mbele wanagoli ngapi?
Acha aweke tu..maana tunaweza kosa kumbukumbu humu achilia mbali updates..Yanga wana mashabiki waoga Sana ,hapa wanachungulia Kama nguchiro kaoana mbwa!
Na wewe OkwiBoban Sunzu usiwe unawaanzia nyuzi Utopolo!
waliopo uwanjani wanarusha chupa tuYanga wana mashabiki waoga Sana ,hapa wanachungulia Kama nguchiro kaoana mbwa!
Na wewe OkwiBoban Sunzu usiwe unawaanzia nyuzi Utopolo!
Ila mechi za Simba wana viherehere wanajaa kwa wingiYanga wana mashabiki waoga Sana ,hapa wanachungulia Kama nguchiro kaoana mbwa!
Na wewe OkwiBoban Sunzu usiwe unawaanzia nyuzi Utopolo!