Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huo mwiko huko nyuma mwaka huu tunauchomoa
HT Azam 0-0 Yanga
Azam you let me down jikazeni tupate hata draw tu
unanilipa? uzi nianzishe mwenyewe halafu unipangie vya kupostUshauri: Siku nyingine kama unaandika uzi wa Live Updates jitahidi kwenye heading usiweke utani.
Weka utani huku kwenye comments.
Siyo powa kimichezo.
Hajielewi huyooUshauri: Siku nyingine kama unaandika uzi wa Live Updates jitahidi kwenye heading usiweke utani.
Weka utani huku kwenye comments.
Siyo powa kimichezo.
unanilipa? uzi nianzishe mwenyewe halafu unipangie vya kupost
Hajielewi huyoo
Haelewii huyoo...hajui hizo updates kuna baadhi ya watu ni chanzo chao rasmi cha matokeoThread ya Live Updates huwa inatakiwa kufunguliwa moja, na sote Yanga na Simba tunatakiwa kuchangia humo humo, sasa kama unaweka maneno ya utani kwenye heading siyo powa.
Kama vipi awaachie Yanga waweke uzi kama hawezi kuwa mstaarabu kwenye heading.
onyesha kifungu cha JF regulations. Huna mamlaka ya kunipangia weweThread ya Live Updates huwa inatakiwa kufunguliwa moja, na sote Yanga na Simba tunatakiwa kuchangia humo humo, sasa kama unaweka maneno ya utani kwenye heading siyo powa.
Kama vipi awaachie Yanga waweke uzi kama hawezi kuwa mstaarabu kwenye heading.
wewe ndio hujielewiHaelewii huyoo...hajui hizo updates kuna baadhi ya watu ni chanzo chao rasmi cha matokeo
Lakini dogo una roho ya kichawionyesha kifungu cha JF regulations. Huna mamlaka ya kunipangia wewe