Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Mkuu kwa usalama wa Taifa mimi naona hilo ni jambo la muhimu sana kuwa-tag watu wanaoshukiwa kuhatarisha Taifa letu, mtu kama huna cha kuficha au unaitakia mema Taifa lako kwa nini utumie simu au SMS kuwasiliana na watu wenye walakini? Mbona kuna magazeti na Social Networks ambazo unaweza kusema/kuandika lolote lenye nia ya kujenga na ukaeleweka bila ya kujali kama baadhi ya Viongozi hawatapenda comments zako i.e watakuchukulia kivipi.
 
Ni upuuzi wa hali ya juu kuona kampuni kama hii inafanya kitu cha ajabu namna hii..! kijana wangu amenunua line ya voda kwa zaidi ya miaka mitano anaitumia, ameisajili kwa jina lake. Ghafla tunaona ile ile namba inaanza kutumiwa na mtu mwingine. Mbaya zaidi ameweza kuaccess m pesa account na kachukua hela zote na bado anaitumia na kapewa na line na vodacom.

Mpaka mahakama kuu na ya rufaa ntafika jiandaeni, meet you in court...!!
 
Hawa voda wapuuzi,nimenunu kifurushi mitandao yote,bado nina dakika 8 zimebaki,sms 180 na 100mb!natwanga simu nashangaa hata dakika hawajagusa wamekomba salio lililobaki!nimewachoka
 
Hawa voda wapuuzi,nimenunu kifurushi mitandao yote,bado nina dakika 8 zimebaki,sms 180 na 100mb!natwanga simu nashangaa hata dakika hawajagusa wamekomba salio lililobaki!nimewachoka

....yaani mkuu haya majamaa mapuuzi kweli, tumeripoti tataizo kuwa kuna mtu amepewa namba yetu,yakasema yanashughulikia mpaka leo tumeibiwa hela hayajaifunga ile line, dadeki zao lazima tukamuane kisnyeri hapa.....
 
Duh... komaa nao hao, wamezidi utapeli hao jamaa.

Utapeli wao hauishii kwenye line za simu tu, ukija kwenye vifurushi vya Chekabombastik, hasa hasa kwenye vifurushi vya masaa 24, usishangae ukawa umenunua kifurushi cha masaa 24, baada ya nusu saa tu, na hujaongea na mtu yeyote yule, ukashtukia unapokea meseji ya kukujulisha kuwa kifurushi chako kimeisha muda wake!!
 
Asee pole sana..mi nilinusurika kufanyiwa huo mchezo juzi juzi..voda inabidi wajipange kwa hilo. Namba inapotea ghafla hewani at the same time kunakuwa na mtu anaitumia....huyo mtu akipata namba ya siri ya mpesa andika umeliwa.. Ukipiga na kutuma SMS inakuwa inafanyakazi ila kwako huipati..wanaofanya huo mchezo ni baadhi ya wafanyakazi wa voda wakishirikiana na wahalifu...komaa nao mkuu Gefu ili hii mambo iishe.
 
wapeleke kabisa majambazi waliokubu,sema sitaki kujikumbushia ya kwangu
 

usiwaachie gepu hata kidogo,watakulipa vizuri tu! itachukua muda, lakini watakulipa!
 
Tumechoka na hawa watu sijui hawajisikii vibaya komaa mpaka kieleweke mkuu gefu
 
Aisee poleni hamieni uku

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 

good goog good.. nakuunga mkono mkuu... na mimi wamenitenda hivyo hivyo.....
 
Hawaa jamaa ni wezi sana mkuu mimi mwenyewe washanipiga sana
Nitachangia gharama za mawakili mkuu
 
comrade usiwape hata nukta hao washenzi komaa nao hadi kieleweke usiwaachie iwe fundisho tena usije shangaa kukuta ni mfanyakazi wao hao wahuni comrade pambana hadi dk ya mwisho usiwaaaaaaaaaaache
 
Hawa jamaa nadhani wanahitaji kukemewa au kutoa mwongozo wa katika mazingira gani laini inatolewa kwa mtu mwingine maana hizi line kwa wabongo ndio contact zetu kuanzia bank yaani kila idara nyeti, heri zamani ilikuwa ukiweka salio unaambiwa na expiry date ya line yako just in case hujaitumia kwa kipindi hicho walichokupa, binafsi hata line yangu ilikuwa hivyo hovyo tofauti tu yenyewe haikuwa hewani kwa wiki 2 na nilikuwa naitumia mara chache chache kwa kuwa ilikuwa ni ya moderm, kutia timu voda nikakuta imegawiwa kwa mwingine
 
sio voda tu mume wangu ametumia tigo line long time kama sio 6/7 years juzi imeanza kupoteza network mara haisomi
kwenda tigo shop wanasema sio line yake akawauliza ya nani wakasema ni ya mtu anaitwa ELIZABE
akawatupia line yao akaondoka akahamia kwingine
hawa voda ,tigo ,zantel na airtel hawajui kuwa kuna
viettel na Smart wamekuja wameshajiona sana subirini
 
Hata mimi yamenikuta sana ila mama yangu jana amesikitika sana baada ya kuweka cheka zogo ili anipigie, badala yake mimi nikapiga tulipokata na msg ikaingia kwake eti cheka zogo imeisha, hata nusu saa haijaisha na hajapiga hata simu moja.

akanipigia kuniuliza kama ni yeye aliepiga na amesahau! alisema sana hadi hela mpya alioweka ikaisha kwa hasira!!!
 
du! kumbe hadi tigo na airtel?

ila najua huwa baada inactivity ya miezi 3 system zao huwa zinairudisha line sokoni. ila inatakiwa kama kuna hela wazitunze
 
Hawaa jamaa ni wezi sana mkuu mimi mwenyewe washanipiga sana
Nitachangia gharama za mawakili mkuu

Key board imeteleza au unamaanisha utachangia mawazo maana mie ndio mkusanyaji wa hela za wakili, kwa ujumla jamaa wasanii hawa alafu ukiwaendea wanachulia simple kabisa line yako amepewa mtu mwingine ingia hapo andikisha line nyingine. Alafu vitu vingine si lazima kwenda mahakamani ifike mahala serikali itusimamie kwa kuweka dawati maalumu za case hizi kujadiliwa na watu maamlumu kisha wanafanya maamuzi maana na mahakama zetu milolongo kibao ukichanganya na wakili wetu kupenda kuangalia weakness point wakati wa kufungua madai na kuikomalia ili mradi siku ziende na wewe ukate tamaa
 

Senge sana hawa wapuuzi!ukijiunga Yana kataa then wanapulusa baada ya mda wanakutumia msg huna salio la lutosha!ukijiunga kifurushi kikiisha hawa Ku notify Una shangaa salio lime isha tu!Tigo mbona wana tutaarifu kama Bando yako ime isha???nyambavu kabisa vodacom!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…