Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari Gefu, endapo namba hii aliitumia kwa muda kisha akaacha kuitumia kwa zaidi ya miezi 3 namba hufutwa taarifa za awali na pesa yake inatunzwa akaunti maalum ambapo mteja atatakiwa kwenda Vodashop kujaza fomu na atapatiwa pesa kwenye namba mpya atakayokuwa ameijaza katika fomu.
Tunaomba namba ya simu kwa msaada zaidi tafadhali.
Habari Gefu, endapo namba hii aliitumia kwa muda kisha akaacha kuitumia kwa zaidi ya miezi 3 namba hufutwa taarifa za awali na pesa yake inatunzwa akaunti maalum ambapo mteja atatakiwa kwenda Vodashop kujaza fomu na atapatiwa pesa kwenye namba mpya atakayokuwa ameijaza katika fomu.
Tunaomba namba ya simu kwa msaada zaidi tafadhali.
Habari Gefu, endapo namba hii aliitumia kwa muda kisha akaacha kuitumia kwa zaidi ya miezi 3 namba hufutwa taarifa za awali na pesa yake inatunzwa akaunti maalum ambapo mteja atatakiwa kwenda Vodashop kujaza fomu na atapatiwa pesa kwenye namba mpya atakayokuwa ameijaza katika fomu.
Tunaomba namba ya simu kwa msaada zaidi tafadhali.
mimi binafsi nishatoa post mbili kulalamika
KUHUSU VODA KIUKWELI mmejisahau sana
Hata mimi niliporwa namba kizembe hivyohivyo na inaniuma sana.
Ilianza kusumbua sumbua network hadi nisimame makaburini, nikataka kurenew jamaa wakasema hawana uwezo labda niende Njombe.
Baada ya siku kadhaa najaribu kupiga anaitika mdada wa Iringa, kwa hasira nikamtongoza na akakubali na mpaka sasa ni mchepuko wangu.
Voda hawa! Wameniletea mchepuko.
Habari Gefu, endapo namba hii aliitumia kwa muda kisha akaacha kuitumia kwa zaidi ya miezi 3 namba hufutwa taarifa za awali na pesa yake inatunzwa akaunti maalum ambapo mteja atatakiwa kwenda Vodashop kujaza fomu na atapatiwa pesa kwenye namba mpya atakayokuwa ameijaza katika fomu.
Tunaomba namba ya simu kwa msaada zaidi tafadhali.
wachomwe moto hawa voda dawa ni kuhamasisha watu wote tuandamane hadi ofsi zao ni kupiga na kuchoma wote kama viongozi wa deci nairobi walivyotupwa dirishani gorogani wajinga hawa nina hasira nao naibiwa kila siku na nikipiga simu nazungushwa hata kama kosa ni lao hela hairudi shenz.....k......ma..y.