Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Weka namba ya tigo pesa hapa tukuchangie pesa ya wakili.., mi binafsi nakerwa sana na hawa wezi watakuja kuzoea. leo kwako kesho kwa mwingine.., pereka kotini hao mbwa..!!!
 
tayari watu washajitolea pesa ya wakili andaa nyaraka zote za ushahidi kabisa
 
sio voda tu mume wangu ametumia tigo line long time kama sio 6/7 years juzi imeanza kupoteza network mara haisomi
kwenda tigo shop wanasema sio line yake akawauliza ya nani wakasema ni ya mtu anaitwa ELIZABE
akawatupia line yao akaondoka akahamia kwingine
hawa voda ,tigo ,zantel na airtel hawajui kuwa kuna
viettel na Smart wamekuja wameshajiona sana subirini

wanajeuri sana. nahisi wamejisahau.
 
Voda badilikeni acheni ubabaishaji,hata mimi yalishanikuta laini yangu anatumia mtu mwingine
 
Voda voda voda
please you need to change
kila siku posts zenu tu
who the hell are you?!!
Mkiona hivi ujue mna tatizo kweli..!!
 
pia gharama zao za kupiga simu zimekuwa juu sana, jana nilipiga voda kwenda voda dakika 2 na nusu ikanigharimu shilingi 900!
 
...nimesha wasiliana na lawyer tunaenda kuandaa notification ya intention ya kwenda mahakamani endapo hawatakubali kuwajibika kwa uzembe huu, nitawapa mrejesho...
 
Cheka bombastick kila uchao wnapunguza dakika tu. Nimeiacha on kwa ajili ya kupokea tu, siku nikipata dharula na katika mazingira ambayo sina namna nyingine ya mawasiliano basi hukubali yaishe.
 
Senge sana hawa wapuuzi!ukijiunga Yana kataa then wanapulusa baada ya mda wanakutumia msg huna salio la lutosha!ukijiunga kifurushi kikiisha hawa Ku notify Una shangaa salio lime isha tu!Tigo mbona wana tutaarifu kama Bando yako ime isha???nyambavu kabisa vodacom!!!

Hawa jamaa wajinga sana kama TRA! Yaani unajiunga hela nyingine inabaki kwenye akaunti kuu, unatumia unastukia jiunge imeisha bila kupata taarifa kwamba kifurushi chako kimeisha kucheki salio na kwenyewe wamelamba! Salio kule likiisha ndo wanakutumia meseji kifurushi chako cha Cheka kimekwisha! Shen.zy kabisa hawa! Hivi nani anaweza kutuanzishia mgomo Wa kuwasusia hawa wajinga!
 
Duh... komaa nao hao, wamezidi utapeli hao jamaa.

Utapeli wao hauishii kwenye line za simu tu, ukija kwenye vifurushi vya Chekabombastik, hasa hasa kwenye vifurushi vya masaa 24, usishangae ukawa umenunua kifurushi cha masaa 24, baada ya nusu saa tu, na hujaongea na mtu yeyote yule, ukashtukia unapokea meseji ya kukujulisha kuwa kifurushi chako kimeisha muda wake!!

wadau mimi nilikua natumia voda miaka 2 iliyopita kwa ajili ya intanet,nilikua natumia kifurush cha wiki,ikatokea mara 2 voda wananikata zile bunde napo sign in tu,hasa huwa na-browse,from there nakiri,nilivunja line.......
 
du! kumbe hadi tigo na airtel?

ila najua huwa baada inactivity ya miezi 3 system zao huwa zinairudisha line sokoni. ila inatakiwa kama kuna hela wazitunze
Warudishe basi documents ulizosajilia.Likitokea la kutokea,usitiwe hatiani kama mmiliki wa line husika.
 
Ni upuuzi wa hali ya juu kuona kampuni kama hii inafanya kitu cha ajabu namna hii..! kijana wangu amenunua line ya voda kwa zaidi ya miaka mitano anaitumia, ameisajili kwa jina lake. Ghafla tunaona ile ile namba inaanza kutumiwa na mtu mwingine. Mbaya zaidi ameweza kuaccess m pesa account na kachukua hela zote na bado anaitumia na kapewa na line na vodacom.

Mpaka mahakama kuu na ya rufaa ntafika jiandaeni, meet you in court...!!
Habari Gefu, endapo namba hii aliitumia kwa muda kisha akaacha kuitumia kwa zaidi ya miezi 3 namba hufutwa taarifa za awali na pesa yake inatunzwa akaunti maalum ambapo mteja atatakiwa kwenda Vodashop kujaza fomu na atapatiwa pesa kwenye namba mpya atakayokuwa ameijaza katika fomu.

Tunaomba namba ya simu kwa msaada zaidi tafadhali.
 
Last edited by a moderator:
Habari Gefu, endapo namba hii aliitumia kwa muda kisha akaacha kuitumia kwa zaidi ya miezi 3 namba hufutwa taarifa za awali na pesa yake inatunzwa akaunti maalum ambapo mteja atatakiwa kwenda Vodashop kujaza fomu na atapatiwa pesa kwenye namba mpya atakayokuwa ameijaza katika fomu.

Tunaomba namba ya simu kwa msaada zaidi tafadhali.
Mmekuja eeeh, safi sana sasa anzeni kujibu hizi shutuma.
 
Last edited by a moderator:
Habari Gefu, endapo namba hii aliitumia kwa muda kisha akaacha kuitumia kwa zaidi ya miezi 3 namba hufutwa taarifa za awali na pesa yake inatunzwa akaunti maalum ambapo mteja atatakiwa kwenda Vodashop kujaza fomu na atapatiwa pesa kwenye namba mpya atakayokuwa ameijaza katika fomu.

Tunaomba namba ya simu kwa msaada zaidi tafadhali.

...nashukuru kwa mrejesho huu,namba hii si kwamba haitumiki,vinginevyo nisingelalamika na nisingepoteza fedha. Kilichotokea ni kuanza kupokea jina na taarifa za mtu ambaye hatumfahamu na yupo mwanza. Namba hii bado tunaitumia na ipo kwenye nyaraka zetu nyingi za muhimu. Nawatumia kwa pm namba na jina tulilosajili...
 
Last edited by a moderator:
mimi binafsi nishatoa post mbili kulalamika

KUHUSU VODA KIUKWELI mmejisahau sana
 
Back
Top Bottom