Vodacom Tanzania
Official Account
- Aug 12, 2013
- 324
- 126
- Thread starter
- #1,821
Naitwa kilua nawapenda sana vodacom na pia mimi niwakala wenu ila kitendo cha kunikata pesa ninapojazafloat kinatuumiza sana hasa ukizingatia kuwa hamtoi mitaji bali mitaji tunayoikopa ktk vikundi ndio hiyo hiyo inayoleta faida vodacom bila nyinyi kuchangia chochote leo hii tena mnazichota bila sababu yoyote badala ya kutusaidia kama wapinzani wenu wanavyotoa gawio mbali ya kamisheni nyinyi ni kinyume iinahuzunisha
Ahsante kwa mrejesho BUGE na tumelifikisha suala hili idara husika.