Rozanna Agro Africa
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 809
- 793
Kwani ni hela yake mkuu? Hizo ni hela watu zinaingia na kutoka...yake hapo ni kama 3M tu...
Huo ujinga sifanyi.
Mteja akitaka kutoa elfu 10 makato ni 1400
Natuma 11000 kwenye simu yangu yeye atakatwa 310.
Napata 1,000 iliyosimama.
Habari ya mwisho wa mwezi sina.
Ila hii ni riski
Miloni 3 ukifanya hata biashara ya mkaa unakunja faida zaidi ya hiyo laki 4 anayolipwa wakala[emoji3]
Nashukuru kujua tupo wengi....!!mimi nna wateja wangu nnaowajua ndo hua nawafanyia hvyo....!!na sifanyagi kwa mtu nisiyemjuaHuo ujinga sifanyi.
Mteja akitaka kutoa elfu 10 makato ni 1400
Natuma 11000 kwenye simu yangu yeye atakatwa 310.
Napata 1,000 iliyosimama.
Habari ya mwisho wa mwezi sina.
Ila hii ni riski
Huu upuuzi wa Mawakala wakuu ndio tatizo. Wakala mkuu anapata zaidi ya Wakala anayepigwa jua. Biashara ya kijinga sana hiiHivi hakuna namna mawakala wakawa na umoja kidai haki yao sbb mtaji ni wako angalau basi kwenye kila kato upate asilimia 35 au arobaini na hawa wanaoitwa wakala mkuu waondolewe kama mashirika yalivyowaondoa wenye nyumba wasioishi la sivyo bora kufanya kazi nyingine yaani 5000 mtu anakatwa ww unabaki na mia 600 ndo maana asilimia 80 kama siyo tisini ya mawakala hawapati hata laki kwa mwezi
Kuna kingine zaidi ya usemacho. Au we wakala mkuu. Ama umemix na business zingne otherwise ni uongo mtakatifu. Wakala?Nimesomesha wadogo zangu, nimejenga nyumba, sasa naanza ujenzi dar es salaam kwa kazi hii, nina shamba heka ishirini kwa kazi hii kikubwa hakikisha kila mteja aliyefika kwako kapata huduma siyo kujibu tu mteja sina salio,
Acha kuingiza watu mkenge kwa maslahi yako. Hiyo ni biashara ya kitumwa kabisa. Unaweza niambia kazi ya wakala mkuu kwa wakala mdogo ni ipi ? Na kwa mini kamisheni yake nikubwa kuliko ya wakala mdogo ambae ndie anatafuta wateja na kurisk pesa zake?Pamoja na mleta mada kuwa ameshapata malipo yake,naomba kumsaidia ili siku nyingine asije kulalamika. Commission huwa zinalipwa kuanzia tarehe 1-5. Hii ni kwa mitandao yote. Kwa hiyo unaweza kuwasiliana na wakala wako mkuu baada ya tarehe 5 km utakuwa hujapata. Na kwa wale wanaovunjwa moyo kufungua hii biashara msidanganywe,hakuna biashara rahisi na nzuri kufanya km hii ya miamala ya pesa. Kikwazo pekee kwenye hii biashara ni majambazi tu.
Kuna mtu hapo amesema alifanya miamala ya thamani ya milioni 33 na akapata laki 4 na 20. Lkn hajasema mtaji wake ulikuwa bei gani. Unaweza kufanya hata miamala ya thamani ya bilioni 1 Kwa mtaji wa laki 5 na ukapata milioni na nusu kwa mwezi. Hizo ni pesa za wateja wanaokuja ku-depost na ku-withdraw. Nimefanya hiyo biashara tangu mwaka 2011 hadi leo. Pesa zako muda wote zipo Salama,na ni pesa ambayo ukitaka ikusaidie inakusaidia hapohapo. Maana muda wote ama itakuwa kwenye simu au unayo cash. Na wakala ukitaka kutoa pesa zako hukatwi. Hiyo nyumba iliyopo kwenye avatar yangu,nimejenga kwa hiyo biashara. Na nilimvua mtu kwa milioni 14 nikaivunja nikajenga hiyo. Wale mnaotaka kufungua msikatishwe tamaa,karibuni tufanye biashara.
Sasa humu ndiyo ofisi za Vodacom!!!???Hata kama sitegemei si haki yangu lakin?
Kwanini nisipewe
Kwa hiyo wewe ni customer care wa Voda au?Sasa humu ndiyo ofisi za Vodacom!!!???
Tatizo wewe unakuwa na wivu bila hata kujua kile anachopata unayemuonea wivu. Wakala mkuu anapata 20% ya commission yako wewe. Yaani wewe ukipata laki 1 baada ya kodi ya zuio,wakala mkuu anapata elf 20. Kwa hiyo wakala mkuu anapata km nyie mawakala wake pia mnapata. Msipende kulalamika sana,hii biashara unaweza kuwa na mtaji wa milioni 1 km upo eneo lenye mzunguko Mkubwa wa watu,hiyo milioni inaweza kukuletea zaidi ya milioni kwa mwezi. Hizi biashara zinategemea mzunguko yaani uwe na wateja wa kufanya. Mm nna wastani wa kufanya miamala 90 mpaka 120 kwa siku kwenye tigo. Voda nafanya miamala 25 hadi 40 kwa siku. Airtel 15 hadi 35. Comission,tigo napata laki 9 hadi 1ml. Voda laki 2 na Airtel laki 1 na 20. Mtaji wangu ni milioni moja na nusu. Hebu niambie biashara nyingine ambayo unaweza kupata hiyo faida kwa huo mtaji.Acha kuingiza watu mkenge kwa maslahi yako. Hiyo ni biashara ya kitumwa kabisa. Unaweza niambia kazi ya wakala mkuu kwa wakala mdogo ni ipi ? Na kwa mini kamisheni yake nikubwa kuliko ya wakala mdogo ambae ndie anatafuta wateja na kurisk pesa zake?
Kwahiyo wataka kutuambia kuwa waliosema kwamba commission inayolipwa ni ndogo ni waongo? au sio mawakala? Mfano mtu kaja kaweka sh laki mbili je wakala anapewa commission sh ngapi? Na ikitokea mtu katoa sh laki mbili pia je commission anapewa sh ngapi wakala?Tatizo wewe unakuwa na wivu bila hata kujua kile anachopata unayemuonea wivu. Wakala mkuu anapata 20% ya commission yako wewe. Yaani wewe ukipata laki 1 baada ya kodi ya zuio,wakala mkuu anapata elf 20. Kwa hiyo wakala mkuu anapata km nyie mawakala wake pia mnapata. Msipende kulalamika sana,hii biashara unaweza kuwa na mtaji wa milioni 1 km upo eneo lenye mzunguko Mkubwa wa watu,hiyo milioni inaweza kukuletea zaidi ya milioni kwa mwezi. Hizi biashara zinategemea mzunguko yaani uwe na wateja wa kufanya. Mm nna wastani wa kufanya miamala 90 mpaka 120 kwa siku kwenye tigo. Voda nafanya miamala 25 hadi 40 kwa siku. Airtel 15 hadi 35. Comission,tigo napata laki 9 hadi 1ml. Voda laki 2 na Airtel laki 1 na 20. Mtaji wangu ni milioni moja na nusu. Hebu niambie biashara nyingine ambayo unaweza kupata hiyo faida kwa huo mtaji.
Mimi baba yako.Kwa hiyo wewe ni customer care wa Voda au?
Hawa wanatetea ni wakala wakuu wanakula bila jashoKwahiyo wataka kutuambia kuwa waliosema kwamba commission inayolipwa ni ndogo ni waongo? au sio mawakala? Mfano mtu kaja kaweka sh laki mbili je wakala anapewa commission sh ngapi? Na ikitokea mtu katoa sh laki mbili pia je commission anapewa sh ngapi wakala?
Yap huwa nafanya hivyo pia mtu nisiyemjua huwa ninanunua vocha moja kwa moja kupitia VODAFASTA OFFICIAL inakuja kwangu kama vocha so hawezi rudisha hii ina 8% zaidi faidaNashukuru kujua tupo wengi....!!mimi nna wateja wangu nnaowajua ndo hua nawafanyia hvyo....!!na sifanyagi kwa mtu nisiyemjua
Sina namba ya wakala ila natoa pesa mitandao yote