Vodacom, tiGO wapandisha tena bei za vifurushi vya Internet. Nape unafanya kazi gani?

Vodacom, tiGO wapandisha tena bei za vifurushi vya Internet. Nape unafanya kazi gani?

Hata sisi Airtel ile ya sh 500 Mb 285, sasa ni 245.

Kama kwenu Watumiaji maisha ni magumu hata sisi wa Mitandao maisha ni magumu pia, tunataka hela.
 
Kabla ya Nape, mama yenu nae anafanya kazi gani?

Chanzo cha matatizo kikiwa kule juu, huku chini matatizo hayatakaa yaishe.

Leo atalaumiwa Makamba, kesho Nape, keshokutwa Mwigulu....
Kwaiyo kazi ya Rais ni kusimamia mabando?
 
Katika hali inayoelekea kuonyesha ukosefu wa uthibiti wa bei za vifurushi, Mitandao ya simu imeendelea kupandisha bei za vifurushi.

Hadi jana shilingi 2500 ulikuwa unapata MB 1400, Sasa leo wameshusha tena, mtu unapata MB 1229

Hawa watu huenda wanafanya haya mambo kwa ridhaa ya serikali, maana TCRA ipo, wizara ya mawasiliano ipo lakini hizi bei zinapanda kila kukicha na Waziri mara kibao wananchi wakilalamikia gharama za vifurushi kupanda huwa anakuja hapa kuwapiga watu kiswahili
Mitandao iko mingi
 
Kabla ya Nape, mama yenu nae anafanya kazi gani?

Chanzo cha matatizo kikiwa kule juu, huku chini matatizo hayatakaa yaishe.

Leo atalaumiwa Makamba, kesho Nape, keshokutwa Mwigulu....
Anafanya kazi ya kupandishwa school bus kumzika mchawi aliyeitesa Afrika kwenye lindi la mateso ya ukoloni. Una swali lingine?
 
Go for Tigo Business Pack Data Only (Postpaid)!!

Kama sio Jini Mfyonza Data, hii inaweza kuwasaidia sana.

Binafsi, mimi ni Jini Mfyonza Data lakini pamoja na yote hayo, leo October 20, nimebakiwa na 14GB out of 80GB.

Of course, hazitanifikisha mwisho wa mwezi lakini majority 80GB zinawatosha, au hata kifurushi cha 30GB ambacho nadhani ni 25K bado wengi kinawatosha sana.

Na hiyo 80GB ni only 60K.

Changamoto ni speed lakini sio kwamba huwezi kufanya kazi!!
Nipe utaratibu kidogo boss..
 
Tatizo sio wao ndugu.Ngoma hiyo inatoka juu.Wao wanapopigwa kutoka juu nao wanaangalia nani yuko chini yao wampige ndo maana unaona Govt wako kimya wameuchuna kama hawaoni.
 
Go for Tigo Business Pack Data Only (Postpaid)!!

Kama sio Jini Mfyonza Data, hii inaweza kuwasaidia sana.

Binafsi, mimi ni Jini Mfyonza Data lakini pamoja na yote hayo, leo October 20, nimebakiwa na 14GB out of 80GB.

Of course, hazitanifikisha mwisho wa mwezi lakini majority 80GB zinawatosha, au hata kifurushi cha 30GB ambacho nadhani ni 25K bado wengi kinawatosha sana.

Na hiyo 80GB ni only 60K.

Changamoto ni speed lakini sio kwamba huwezi kufanya kazi!!

Mkuu hii ni lazima niende kwenye ofisi za tigo ?
 
Mimi nilikuwa napata mb 1200 kwa elf2 leo nakutana mb mia9 nikashangaa
 
Kama hicho ofa maaalum wameona tunafaid hizo dakika. Mwanzo ilikua 2000 unapata dk 100 na gb 1.kwa wik
Wakaona hapana.wakafuta dk 100 zikawa 30 na mb 1000.na kitu najiuliza kwanin kwenye vifurush vingine wanasema gb 1 ila hicho cha ofa wanaandika mb 1000 badala ya kusema gb.ni nini malengo?

No sawa sawa na kumwambia mtu nakupa laki kumi.kwa nin usiseme nakupa mil.1? Au inakua mb 1000 ila pale kunakua na boshen flan mana kinaenda sio poa ghafla mteja umefika 75%ya matumizi.

Ila mungu sio athuman japo wanatudhulum kwa kila hali mara salio limekatwa kwa kujiunga na game mara sijui mb zimeliwa na auto update anawakomesha hela hazina baraka
Kama wanatoa mb 1000 ni sahihi wakisema mb 1000 maana bado hazijafikia kiwnago cha gb. Gb 1 = mb 1024
 
Tanzania Ni nchi Africa ambao inaongoza watu wake kuwa na smart phone ,unakuta mpka muuza genge ,muuza uji ,muuza ngano ,Hadi mam lishe Ana simu ya smath phone nao pia wengi wamejuunga fb na Instagram wanapigwa hell mbaya
 
VODACOM Kifurushi cha tsh 3000 pia wameshusha.

Ilikuwa unapata GB 1.7

Lakini kwasasa unapata GB 1.5
 
Go for Tigo Business Pack Data Only (Postpaid)!!

Kama sio Jini Mfyonza Data, hii inaweza kuwasaidia sana.

Binafsi, mimi ni Jini Mfyonza Data lakini pamoja na yote hayo, leo October 20, nimebakiwa na 14GB out of 80GB.

Of course, hazitanifikisha mwisho wa mwezi lakini majority 80GB zinawatosha, au hata kifurushi cha 30GB ambacho nadhani ni 25K bado wengi kinawatosha sana.

Na hiyo 80GB ni only 60K.

Changamoto ni speed lakini sio kwamba huwezi kufanya kazi!!
Hata hao ni wezi tu, nilikuwa natumia cha 15k kwa mwezi ambapo wlijuwa wananipa GB 8 na dk.800 mitandao yote! Mpaka nimeachana na Tigo post paid kwa bei hiyo hiyo walikuwa wananipa Gb 7
 
Back
Top Bottom