Kama hicho ofa maaalum wameona tunafaid hizo dakika. Mwanzo ilikua 2000 unapata dk 100 na gb 1.kwa wik
Wakaona hapana.wakafuta dk 100 zikawa 30 na mb 1000.na kitu najiuliza kwanin kwenye vifurush vingine wanasema gb 1 ila hicho cha ofa wanaandika mb 1000 badala ya kusema gb.ni nini malengo?
No sawa sawa na kumwambia mtu nakupa laki kumi.kwa nin usiseme nakupa mil.1? Au inakua mb 1000 ila pale kunakua na boshen flan mana kinaenda sio poa ghafla mteja umefika 75%ya matumizi.
Ila mungu sio athuman japo wanatudhulum kwa kila hali mara salio limekatwa kwa kujiunga na game mara sijui mb zimeliwa na auto update anawakomesha hela hazina baraka