Vodacom, tiGO wapandisha tena bei za vifurushi vya Internet. Nape unafanya kazi gani?

Vodacom, tiGO wapandisha tena bei za vifurushi vya Internet. Nape unafanya kazi gani?

Haya makampuni ni Cartels.

Ukiona Voda wamepiga Panga MB, tegemea in few days na makampuni mengine kufanya the same.

Hawa jamaa wanakaa kwenye meza wanakubaliana waminye kwa pamoja ili wasiharibiane biashara
aitel na tigo wameshapunguza
 
Kama hicho ofa maaalum wameona tunafaid hizo dakika. Mwanzo ilikua 2000 unapata dk 100 na gb 1.kwa wik
Wakaona hapana.wakafuta dk 100 zikawa 30 na mb 1000.na kitu najiuliza kwanin kwenye vifurush vingine wanasema gb 1 ila hicho cha ofa wanaandika mb 1000 badala ya kusema gb.ni nini malengo?

No sawa sawa na kumwambia mtu nakupa laki kumi.kwa nin usiseme nakupa mil.1? Au inakua mb 1000 ila pale kunakua na boshen flan mana kinaenda sio poa ghafla mteja umefika 75%ya matumizi.

Ila mungu sio athuman japo wanatudhulum kwa kila hali mara salio limekatwa kwa kujiunga na game mara sijui mb zimeliwa na auto update anawakomesha hela hazina baraka
1GB ina 1024MB.

Wao kuandika 100MB badala ya 1GB wako sahihi
 
Hii biashara yao huwa siielewi, wateja wanaongezeka, technologia kila siku inakua ila wao kila siku wanapandisha bei.
Ina maana economies of scale kwa haiapply?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vifurushi vya Data kila siku vinaongezwa gharama na hawa Providers kama wapendavyo na Nape na wizara yake pamoja na TCRA wako kimya.

Leo asubuhi TIGO wamekuja na menu mpya. Nape atupishe maana hata Rais hamuondoi kama vile anafanya kazi katika kampuni binafsi ya Rais.

Screenshot_20221028-065951_Phone.jpg
 
Vifurushi vya Data kila siku vinaongezwa gharama na hawa Providers kama wapendavyo na Nape na wizara yake pamoja na TCRA wako kimya.
Leo asubuhi TIGO wamekuja na menu mpya.
Nape atupishe maana hata Rais hamuondoi kama vile anafanya kazi katika kampuni binafsi ya Rais.View attachment 2400109View attachment 2400107View attachment 2400108

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Mawaziri mzigo ni 1. Makamba 2. Aweso 3. Mbarawa 4. Bashe. 5. Jafo 6. Mwigulu 7. Nape 8. Gwajima 9. Kairuki 10 Gwajima
 
Kazi imemshinda kwani aliwekwa hapo kufanya kazi ya kuhudumia Watanzania? Kama wangetaka kazi ya kuhudumia Watanzania ifanyike asingepata hiyo kazi, kwa hiyo unachokiona ndio kazi yake, hivyo haijamshinda!
 
Back
Top Bottom