Vodacom, tiGO wapandisha tena bei za vifurushi vya Internet. Nape unafanya kazi gani?

Haya makampuni ni Cartels.

Ukiona Voda wamepiga Panga MB, tegemea in few days na makampuni mengine kufanya the same.

Hawa jamaa wanakaa kwenye meza wanakubaliana waminye kwa pamoja ili wasiharibiane biashara
aitel na tigo wameshapunguza
 
1GB ina 1024MB.

Wao kuandika 100MB badala ya 1GB wako sahihi
 
Hii biashara yao huwa siielewi, wateja wanaongezeka, technologia kila siku inakua ila wao kila siku wanapandisha bei.
Ina maana economies of scale kwa haiapply?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vifurushi vya Data kila siku vinaongezwa gharama na hawa Providers kama wapendavyo na Nape na wizara yake pamoja na TCRA wako kimya.

Leo asubuhi TIGO wamekuja na menu mpya. Nape atupishe maana hata Rais hamuondoi kama vile anafanya kazi katika kampuni binafsi ya Rais.

 
Mawaziri mzigo ni 1. Makamba 2. Aweso 3. Mbarawa 4. Bashe. 5. Jafo 6. Mwigulu 7. Nape 8. Gwajima 9. Kairuki 10 Gwajima
 
Kazi imemshinda kwani aliwekwa hapo kufanya kazi ya kuhudumia Watanzania? Kama wangetaka kazi ya kuhudumia Watanzania ifanyike asingepata hiyo kazi, kwa hiyo unachokiona ndio kazi yake, hivyo haijamshinda!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…