G-Funk
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 2,398
- 5,554
Juzi asubuhi nilikwenda kwa wakala kutoa pesa kabla ya kuanza mihangaiko ya siku nikawa nimebakiza salio katika simu takribani Tshs.15,000+,,,, Cha ajabu jioni wakati natoka mishe mishe nikawa nataka nijiunge kifurushi cha kuongea na simu nikafanikiwa kujiunga kilikuwa cha Tsh.500. Ujumbe uliorudi MPESA kuja kwangu ulisoma kuwa salio lililobaki ni Tsh.10,000.
Hii inaashiria wameniibia sh.5000 nzima pasipo na sababu ya msingi.
Hili swala ni above and beyond halivumiliki napataje haki yangu kama mteja wakuu. Hawa jamaa naona mazoea yamezidi wanakwapua hela kwenye account za MPESA na kujikausha. Imenikera mno!!!
STATEMENTS HIZO TOKA VODA.
Hii inaashiria wameniibia sh.5000 nzima pasipo na sababu ya msingi.
Hili swala ni above and beyond halivumiliki napataje haki yangu kama mteja wakuu. Hawa jamaa naona mazoea yamezidi wanakwapua hela kwenye account za MPESA na kujikausha. Imenikera mno!!!
STATEMENTS HIZO TOKA VODA.