Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

Magufuli ni Mkatoliki.

Wakatoliki tunaamini katika aina mbili za hukumu baada ya kifo:
  • Hukumu binafsi mara tu unapokufa; ambapo utaenda ama mbinguni, toharani au motoni
  • Hukumu ya jumla au ya pamoja siku ya kiama; ambapo utaenda ama mbinguni ama motoni

Kwa kuwa Magufuli alipokea masakramenti kabla ya kifo chake, maana yake alikufa katika hali ya neema ya utakaso, ambapo;
  • Ameenda mbinguni moja kwa moja kama hakuwa na dhambi ndogo (which is more likely)
  • Ameenda toharani kutakaswa kabla ya kwenda mbinguni kama alikufa akiwa na dhambi ndogo alizozitenda baada ya kupokea masakramenti (which is less likely)

Uwezekano mkubwa ni yupo mbinguni anafurahi na malaika na watakatifu wengine wa Bwana.

Huu ni ukweli unaowauma sana CHADEMA, Mafisadi, vyeti feki, wauza madawa ya kulevya na vibaraka wa mabeberu.

Poleni.
 
Hkna pepo ya hovyo hovyo Jehova haruhusu kbsa Ile kenge iingie mbinguni mafiii ya chato
 
Kati yake na wewe; ni nani anateseka na kulialia? 😁
 
Wee wakili vipi! Huyo hatarudi tena hata ukikata rufaa na ukawa na mashahidi kibao vikojozi harudi ng'o.
 
Amekutuma umsemee? Atashughulikiwa according to matendo yake kama nae alivyowashughulikia watu wakaishi kama mashetani.👇
 
Pascal Mayalla , Mbinguni yuko Mungu, walio hai wanne, wazee ishirini na nne na malaika wengi wengi.

Waliotangulia roho zao zipo huko hewani kungojea parapanda ya mwisho ambapo kila mtu atapewa mwili mpya na kupewa sehemu yake kulingana na matendo yake.

Na roho nyingine za hao walio huko hewani (I.e mtu wako) zinaweza pewa viumbe wengine kama simba au chui etc. kabla hata ya parapanda ya mwisho

Huu ni unabii mkubwa Mshana Jr prove me wrong.
 
Loo! Haya maneno mazito yanafaa sana tukiwa makaburini tunakuzika wewe.
 
Ile kunguni inaoza Mzee, achana na hii pakacha
 

Mbingu ya Lubambagwe. Voice from within inanikumbusha Magufuli alisema Mayala kwa kisukuma ni njaa.
 
Uwezekano mkubwa ni yupo mbinguni anafurahi na malaika na watakatifu wengine wa Bwana.[emoji23]
Hivi unajitambua kweli wewe? Unawajua watakatifu wakoje? Labda ulimaanisha watakakitu
 
Bora ukae kimya asije kukuzaba vibao usiku mpaka usiamke. Hizo voice zako within nibora ukae kimya maana naona unabomya kifungo chekundu. Mmesema hakuwa mesiha nawengine wamesema Mungu ameamua, wengine wamesimama nakuongea walio ongea Thanks God Mungu anasikia nakujibu kwa sauti kama mtu anavyo payuka. Mungu hatopita Tz kimya yani.... 🤐
 
Kwa hivyo mtu anapofariki ndiyo amesamehewa?
 
Unahubiri ushetani we kibaraka mkubwa ukatoliki gani unaruhusu kuteka na kuua wengine halafu utakaswe kirahisi hivyo.
Lipo motoni linagugumia au lilikuwa shetani lililogeuka binadamu kwa muda mfupi sasa hivi ni shetani pure linye mikia na pembe huko jehanam.
 
Naunga mkono hoja!! Ile TAKATAKA haiwezi kufika peponi kamwe!! Mahali lake ni jehanamu tu.

Wao wenyewe chini ya Kassim Majaliwa walimdhihaki. Kumtembeza mitaani kwenye miji ya Dodoma, Zanzibar, Mwanza na Geita kiasi hicho ni UDHALILISHAJI wa hali ya juu sana.

Kumbeukeni Magufuli alikuwa analindwa na kikosi Maalum cha Askari wenye sare na wasii na sare, Askari wenye mabastola na AK 47, Askari wenye ving'amuzi vya kwenye laptop, magari ya Internet Jammer na utambuzi wa vilipuzi. Na mwisho alikuwa na Helicopter juu angani!! Majaliwa alimtembeza kama samaki wa feri waliochina, ndiyo aende Pepo gani huyo?
 
Majaliwa alimtembeza kama samaki wa feri waliochina, ndiyo aende Pepo gani huyo?[emoji24][emoji24][emoji24]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…