Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa huwaletea makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Mada ya leo ni a bit abstract, ambapo Nimesikia sauti ya Voices From Within ikiniambia JPM yuko Mbinguni kwa Baba, hivyo nauliza swali, jee wajua kuwa JPM yuko peponi, Mbinguni, Kwa BABA YAKE?. Why watu wengine waendelee kumshutumu, kumsakama na kumsimanga?. Kwa nini asiachwe ajipumzikie zake kwa amani!. Mtu ameisha tangulia mbele ya haki, kwanini watu waendelee kumsema sema kwa ubaya.

Mimi mwana jf mwenzenu ni Mzee wa Sauti za Ndani "the inner voice", unafanya kitu fulani na mara unasikia sauti from within ikikuambia jambo fulani.

Angalizo kuhusu Abstract Topics.
Issues na mtu akiisha kufa, we all knows what happens to the body, but roho huwa inakwenda wapi, no one knows for sure, hivyo tunategemea mafundisho ya dini zetu.
Kuna sisi dini za wana wa Nabii Ibrahim, Wakristo na Waislamu tumefunzwa kuhusu mbinguni, peponi, ahera, jehanam ya moto wa milele, na kuna siku ya mwisho siku ya hukumu ya mwisho ya kiama atakapo rudi Mwana wa Adamu, ambapo kutakuwa na ufufuko wa miili na uzima wa milele.

Kuna wenzetu wa Buddhism na Hindu ambao ni waumini wa karma, wao wanaamini kwenye after life na incarnation.

Hakuna yeyote awaye yote aliwahi kufa akayashudia hayo na kurejea duniani kututhibitishia mbingu ipo, peponi kupo na motoni kupo, wala waumini wa reincarnation no one can say for sure alikuwa nani before, zaidi ya ushahidi wa deja vu, hakuna uthibitisho wowote wa reincarnation Ila kwa vile na mimi niliishi India, I know for sure karma ipo and it's for real!.
Hivyo hii mada ni mada ya imani, kama wewe huamini, please keep your faith nakuomba usibeze imani za wengine, ukijiona huamini, nakuomba jipitie zako kimya kimya, tuache sisi waumini.

Leo asubuhi nilikuwa nasoma michango ya wachangiaji wa bandiko langu hili,

Kuna mtu akachangia kitu, katika kumjibu nikatumia link hii

Sasa ni wakati nasoma bandiko lenyewe, na naomba nililete hapa bandiko lenyewe lote kwa faida ya wavivu to follow links.

Ndipo nikaisikia sauti, voices from within kuwa JPM yuko peponi, ahera, mbinguni kwa Baba!.

Kwa kawaida ya sauti, huwa inakuambia tuu kitu na haikupi sababu, hivyo naomba msiniulize sababu, hapa kazi yangu ni moja tuu kuwaeleza kile nilichosikia Leo ni JPM yuko peponi!.

Hivyo baada ya kuisikia hiyo sauti nikamsikiliza tena JPM kwa makini sana katika video hii
Nimejirisha bila chembe ya shaka, huyu mtu yuko mbinguni kwa Baba yake!.

Hapa simaanishi kuwa JPM yuko peponi kwasababu he is perfect kama malaika, no!. JPM was a human being hivyo he is not perfect and no one is perfect, kilichofanya hiyo sauti ni despite his human mistakes JPM alitubu kabla ya umauti na kusamehewa makosa yake yote, na ndio maana nimeambiwa, sasa he is in heaven now!.

Kwa bandiko hili, sasa ningewaomba watu humu, kutoendelea kumsakama, kumshutumu, kumsimanga na kuendelea kumsema vibaya, na badala yake tumwache apumzike kwa amani. Kama Mungu mwenyewe amemsamehe na kumuita kwake, who are you kuendelea kumsema sema vibaya?.

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali.

Kwa jinsi mnavyombandika hapa ndivyo walioumizwa naye wanavyokosa uvumilivu. Wewe ndiye ungeacha ama sivyo sitaacha kukumbuka madhila ya shetani. The devil incarnation!
 
Mungu si athumani na hukumu zake ni za haki. Mungu si binadamu, wala hatazami mambo kwa namna yetu, daima mapenzi ya Mungu yatimie kila wakati. Tuendelee kumuombea pumziko analo stahili.
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa huwaletea makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Mada ya leo ni a bit abstract, ambapo Nimesikia sauti ya Voices From Within ikiniambia JPM yuko Mbinguni kwa Baba, hivyo nauliza swali, jee wajua kuwa JPM yuko peponi, Mbinguni, Kwa BABA YAKE?. Why watu wengine waendelee kumshutumu, kumsakama na kumsimanga?. Kwa nini asiachwe ajipumzikie zake kwa amani!. Mtu ameisha tangulia mbele ya haki, kwanini watu waendelee kumsema sema kwa ubaya.

Mimi mwana jf mwenzenu ni Mzee wa Sauti za Ndani "the inner voice", unafanya kitu fulani na mara unasikia sauti from within ikikuambia jambo fulani.

Angalizo kuhusu Abstract Topics.
Issues na mtu akiisha kufa, we all knows what happens to the body, but roho huwa inakwenda wapi, no one knows for sure, hivyo tunategemea mafundisho ya dini zetu.
Kuna sisi dini za wana wa Nabii Ibrahim, Wakristo na Waislamu tumefunzwa kuhusu mbinguni, peponi, ahera, jehanam ya moto wa milele, na kuna siku ya mwisho siku ya hukumu ya mwisho ya kiama atakapo rudi Mwana wa Adamu, ambapo kutakuwa na ufufuko wa miili na uzima wa milele.

Kuna wenzetu wa Buddhism na Hindu ambao ni waumini wa karma, wao wanaamini kwenye after life na incarnation.

Hakuna yeyote awaye yote aliwahi kufa akayashudia hayo na kurejea duniani kututhibitishia mbingu ipo, peponi kupo na motoni kupo, wala waumini wa reincarnation no one can say for sure alikuwa nani before, zaidi ya ushahidi wa deja vu, hakuna uthibitisho wowote wa reincarnation Ila kwa vile na mimi niliishi India, I know for sure karma ipo and it's for real!.
Hivyo hii mada ni mada ya imani, kama wewe huamini, please keep your faith nakuomba usibeze imani za wengine, ukijiona huamini, nakuomba jipitie zako kimya kimya, tuache sisi waumini.

Leo asubuhi nilikuwa nasoma michango ya wachangiaji wa bandiko langu hili,

Kuna mtu akachangia kitu, katika kumjibu nikatumia link hii

Sasa ni wakati nasoma bandiko lenyewe, na naomba nililete hapa bandiko lenyewe lote kwa faida ya wavivu to follow links.

Ndipo nikaisikia sauti, voices from within kuwa JPM yuko peponi, ahera, mbinguni kwa Baba!.

Kwa kawaida ya sauti, huwa inakuambia tuu kitu na haikupi sababu, hivyo naomba msiniulize sababu, hapa kazi yangu ni moja tuu kuwaeleza kile nilichosikia Leo ni JPM yuko peponi!.

Hivyo baada ya kuisikia hiyo sauti nikamsikiliza tena JPM kwa makini sana katika video hii
Nimejirisha bila chembe ya shaka, huyu mtu yuko mbinguni kwa Baba yake!.

Hapa simaanishi kuwa JPM yuko peponi kwasababu he is perfect kama malaika, no!. JPM was a human being hivyo he is not perfect and no one is perfect, kilichofanya hiyo sauti ni despite his human mistakes JPM alitubu kabla ya umauti na kusamehewa makosa yake yote, na ndio maana nimeambiwa, sasa he is in heaven now!.

Kwa bandiko hili, sasa ningewaomba watu humu, kutoendelea kumsakama, kumshutumu, kumsimanga na kuendelea kumsema vibaya, na badala yake tumwache apumzike kwa amani. Kama Mungu mwenyewe amemsamehe na kumuita kwake, who are you kuendelea kumsema sema vibaya?.

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali.

Waache wa endelee kumsakama kwani kadri wanavyo endelea kumsakama ,mwisho wa siku watu watu wanazidi kupima aliyo yafanya ktk awamu yake na sasa au watu wanzidi kupima wanayo yafanya wao ambao wanamsakama na aliyo ya fanya mwisho wa siku ndipo unajua jamaa alikuwa yupo vizuri.

Hao wanao mponda sasa hivi wamepewa nafasi badala ya kufanya kazi wamebaki kuwa walalamikaji,nazani mmoja wao unamuona yupo kanda ya ziwa anadai wanamuonea na kumsakama na wese lina safiri kwa speed ya Escape Velocity na umeme pamoja na mvua zote lkn haueleweki unaktk kama zaidi ya Yondo Sister.
 
Siungi mkono huo upumbavu wako unaosema kwamba aliua watu sababu huu ndio ujinga wenu mlio bakinao kichwani.

Nacho takakukuambia nikwamba Magu hakuwa mkamilifu kama wewetu hapo ulipo.

Madhambi yako Mungu anayasamehe ukitubu.

Kama unaamini Mungu hasamehi basi wewe shetani ndio mungu wako.
 
Watakatifu wakoje mkuu?
Mtakatifu ni binadamu aliye hai au aliyekufa wa kaliba ya juu sana ambaye dini fulani au watu mbalimbali wanamheshimu kwa namna ya pekee kwa jinsi alivyoonekana kuwa karibu zaidi na Mungu hata akashirikishwa utakatifu wake. Kwa hiyo hutazamwa kama kielelezo cha uadilifu na pengine kama mwombezi pia.
 
Vipi sisi ndugu, jamaa na marafiki wa waliouawa? Tumemsamehe?

Vipi sisi wenyewe pamoja na ndugu, jamaa na marafiki wa waliotekwa, waliojeruhiwa, waliofilisiwa na walioporwa? Tumemsamehe? Kama bado basi peponi atapasikia tu.

Imeandikwa kinachobarikiwa duniani na mbinguni kinapata baraka. Kwa mantiki hiyo JPM yuko motoni, pepo hataiona.
 
Kuna mtu flani yupo mkoa flani huyo yeye atakwenda kuzimu kuishi na shetani maana anapenda mno pesa na madaraka.

Yaani akienda huko kuzimu kwa rafiki yake shetani angalau itakua afadhali.
 
Vipi sisi ndugu, jamaa na marafiki wa waliouawa? Tumemsamehe?

Vipi sisi wenyewe pwmoja na ndugu, jamaa na marafiki wa waliotekwa, waliojeruhiwa, waliofilisiwa na walioporwa? Tumemsamehe? Kama bado basi peponi atapasikia tu.

Imeandikwa kinachobarikiwa duniani na mbinguni kinapata baraka. Kwa mantiji hiyo JPM yuko motoni, pepo hataiona.
Huyu njaa ananikumbusha machungu yan ni kiaz sana.
Mayalla kwa ishu hii ya kumtetea shetan na ushetan you are a notorious axis of evil.
 
Kama una kipaji hicho basi hongera sana, binafsi siwezi kumhukumu ni kazi ya MUNGU lakini unasema alitubu basi na kwa Watanzania angeomba radhi kwa baadhi ya aliyofanya kutubu huku uliowakosea umewachunia sio sawa
 
Siungi mkono huo upumbavu wako unaosema kwamba aliua watu sababu huu ndio ujinga wenu mlio bakinao kichwani.
Nacho takakukuambia nikwamba Magu hakuwa mkamilifu kama wewetu hapo ulipo.
Madhambi yako Mungu anayasamehe ukitubu.
Kama unaamini Mungu hasamehi basi wewe shetani ndio munguwako.
Toa upumbavu wako hapa..yan wewe uuwe na kutesa wenzio kimakusudi tu bila hata sababu yoyote ya maana afu utegemee eti utasamehewa tu kilain hiv hiv!!! Hivi wajua maana ya damu ya mtu wewe?! Au wafikiri kumua binadam ni kama kuchinja tu jogoo au beberu la krismas?!!
Shetwan kwake ni jehanam moton tu na tunasema achomwe sana, tena saaana.
 
Siungi mkono huo upumbavu wako unaosema kwamba aliua watu sababu huu ndio ujinga wenu mlio bakinao kichwani.
Nacho takakukuambia nikwamba Magu hakuwa mkamilifu kama wewetu hapo ulipo.
Madhambi yako Mungu anayasamehe ukitubu.
Kama unaamini Mungu hasamehi basi wewe shetani ndio munguwako.
Jifunze kuandika vizuri yakhe
 
Kama una kipaji hicho basi hongera sana, binafsi siwezi kumhukumu ni kazi ya MUNGU lakini unasema alitubu basi na kwa Watanzania angeomba radhi kwa baadhi ya aliyofanya kutubu huku uliowakosea umewachunia sio sawa

Makosa gani aliowatendea watanzania, hebu yataje hapa.
Nyinyi watu mnao jaribu kumchafua magu haiitaji akili nyingi kugundua ujuha wenu, inaonyesha wazi Magu aliwakatia mirija sawasawa.
Ushahidi wenu mnao utoa kuhusu ubaya wa magu ni wakijinga na hamna dhamira ya kutetea uovu, vinginevyo mnge mlalamikia mkapa pia kwa vurugu za uchaguzi zanziba.

Mna kaza mafuvu kwa Magu sababu ya ushabiki wa kijinga na wengine nikwaajili ya kutumbuliwa kwa ufisadi na vyeti feki.
 
Toa upumbavu wako hapa..yan wewe uuwe na kutesa wenzio kimakusudi tu bila hata sababu yoyote ya maana afu utegemee eti utasamehewa tu kilain hiv hiv!!! Hivi wajua maana ya damu ya mtu wewe?! Au wafikiri kumua binadam ni kama kuchinja tu jogoo au beberu la krismas?!!
Shetwan kwake ni jehanam moton tu na tunasema achomwe sana, tena saaana.

We jitoe akili tu kama juha, lakini kaaukijua swala la motoni ama peponi Mungu mwenyewe ndio anamaamuzi.

Mahasirayako kama nyati hayana nafasi kwenye maamuzi ya Mungu, kunywa maji utulie.
 
Back
Top Bottom