Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

Kama unaamini Mungu hasamehi basi wewe shetani ndio mungu wako.
Hata Yuda hakusamehewa, japo alitembea na Yesu mika takriban 3, alibusu Mbingu, akawa kwenye utukufu wa hali ya juu, .........alitubu kwa machozi!......lkn hakusamehewa kwa nini?? km haitoshi..

akafa kifo kibaya sana, weye fikiria tu hata kamba aliyojitundikia kwayo ilimkataa! ikakatika,!...tawi la mti nalo lilimkataa!...akaanguka chini poooo!

Tena hakuangukia pazuri, kwenye udongo laini, bali bondeni hukooo! kwenye korongo lenye Mawee na miamba akapasuka pwaaa!...ilibidi askari wakaokote vipande vipande hukoo bondeni!...unaonaaaa!

Mungu anakupa muda maalum wa kutubu, ukipita huo????? heee!, tena aliwahi sema ivi namnukuu ''Ukishupaza shingo yako utakatika ghafla wala hutapata dawa'' baaaasi!..unalo....na ulikubali! kwa sababu yeye akisema amesema!

Na kweli kile kifo cha jiwe kilikuwa cha ghafla mnoo!!..... hakukumbuka hata kutubu!...kwanza hakuamini kuwa atakufa faster ivo!...na ndo style ya wadhambi wanavo kufa!...hata dawa za madaktari Bingwa zilimkataa!

Vitanda vya Hospitla vilimkataa! sindano zikawa zinapinda au kuziba kabisa kila akipewa dawa! ulishawahi ona wapi Drip haitembei??....Nacho sema hapa ni kuwa kuna Dhambi zilizo vuka mipaka, hazisamehewi!

Mdhambi uliye kithiri km Yuda ukitubu....Ni unamkejeli Mungu ! yamkini huenda jiwe aliua/dhurumu watakatifu wa Mungu, bila kujali, je?? Mungu akuache tu? Lkn pia je unatubu kwa haki/kumaanisha siyo unatamka tu!!!
 
Hata Yuda hakusamehewa, japo alitembea na Yesu mika takriban 3, alibusu Mbingu, akawa kwenye utukufu wa hali ya juu, .........alitubu kwa machozi!......lkn hakusamehewa kwa nini?? km haitoshi..

akafa kifo kibaya sana, weye fikiria tu hata kamba aliyojitundikia kwayo ilimkataa! ikakatika,!...tawi la mti nalo lilimkataa!...akaanguka chini poooo!

Tena hakuangukia pazuri, kwenye udongo laini, bali bondeni hukooo! kwenye korongo lenye Mawee na miamba akapasuka pwaaa!...ilibidi askari wakaokote vipande vipande hukoo bondeni!...unaonaaaa!

Mungu anakupa muda maalum wa kutubu, ukipita huo????? heee!, tena aliwahi sema ivi namnukuu ''Ukishupaza shingo yako utakatika ghafla wala hutapata dawa'' baaaasi!..unalo....na ulikubali! kwa sababu yeye akisema amesema!

Na kweli kile kifo cha jiwe kilikuwa cha ghafla mnoo!!..... hakukumbuka hata kutubu!...kwanza hakuamini kuwa atakufa faster ivo!...na ndo style ya wadhambi wanavo kufa!...hata dawa za madaktari Bingwa zilimkataa!

Vitanda vya Hospitla vilimkataa! sindano zikawa zinapinda au kuziba kabisa kila akipewa dawa! ulishawahi ona wapi Drip haitembei??....Nacho sema hapa ni kuwa kuna Dhambi zilizo vuka mipaka, hazisamehewi!

Mdhambi uliye kithiri km Yuda ukitubu....Ni unamkejeli Mungu ! yamkini huenda jiwe aliua/dhurumu watakatifu wa Mungu, bila kujali, je?? Mungu akuache tu? Lkn pia je unatubu kwa haki/kumaanisha siyo unatamka tu!!!
Chuki, upofu, na mzaa kwa muumba ndio maana unafinyanga kila neno ili tu uaminishe tabia za Mungu za uongo kuonesha JPM alikuwa muovu kiasi cha kutostahili msamaha. Ngoja nikusaidie ili ufahamu na kufanya uamuzi wa toba kwa upotoshaji wa injili.

Yuda alijutia dhambi yake lakini hakutubu bali alijinyonga! Kujinyonga ni kumkufuru Roho Mtakatifu yaani kukataa huruma ya Mungu mwenyewe! Mungu hatukutuumba ili atawale nafsi zetu, nafsi zetu ni huru si Mungu wala shetani anayeingilia nafsi zetu bali sisi wenyewe ndio wenye uamuzi huru wa kuchagua huruma ya Mungu ama la.

Kusema Mungu ana muda wa msamaha ukipita hata ulie vipi husamehewi hiyo sio injili! Huo ni uzushi na kinyume na mafundisho ya Kikristo! Ipo mifano lukuki kwenye maandiko ku refute uongo wako. Dhambi isiyo na msamaha ni kumkufuru Roho Mtakatifu! Sasa kumkufuru Roho Mtakatifu si jambo rahisi pia, mfano kukataa huruma ya Mungu ukiwa na akili timamu hadi kifo mfano kujiua!

Mtu anapokuwa katika hatari ya kifo akaomba Padri aende kwaajili ya toba na mpako wa wagonjwa (Viaticum au kwa kimombo Last Rites, Apostolic Pardon) huyo mtu tayari amejuta na anatubu na kuondolewa dhambi na kupakwa mafuta. Padri anaondoa dhambi kwa mamlaka hii 23 Wo wote mtakaowaondolea dhambi, wameondolewa; na wo wote mtakaowafungia dhambi, wamefungiwa.
Yohana 20:23

Tusipende siasa na chuki kila mahali hadi kwenye mambo ya ki Mungu! Ni hatari kwa roho zetu! Huko kwingine porojo sawa. Kama JPM alipewa huduma hiyo kwa hiari yake mwenyewe yupo sehemu salama, ndio tumaini letu Wakristo.
 
Mkuu Mnaso, asante kwa taarifa hii, tena inawezekana kilicho muingiza peponi ni hii sala ya toba toka kwa mlokole na sio yale mafuta ya mpako wa mwisho toka askofu Mkuu wa dhehebu lake.

Amen.

Asante kuwaeleza watu hili!. Kuna wenzetu humu wana moyo wa ibilisi shetani Lucifer mwenyewe. Angalizo kwa Wana JF: Tuwaepuke "Prophets Of The Doom", kauli zao huumba!

Naomba hili lifanye siri usiliseme tena, lina kiuka the right to privacy ya marehemu!. Kwa vile huyu ni Mkatoliki na amezikwa Kilatoliki, hii inamaani alianza kwanza kufanyiwa sala ya toba akaokoka, ndipo yakafuatia mafuta ya mpako wa mwisho ya Katoliki!, ila kilochomuingiza peponi ni ile sala ya toba na sio yale mafuta!.

Mimi pia ni Mkatoliki, kanisa letu lina vitu fulani vya kijinga jinga ambavyo havitendi haki.
  1. Zamani waligoma kufungisha ndoa kanisani na Muislamu, siku hizi wanakubali ila unatakiwa usile ostia bila kuungama kwanza!.
  2. Ukioa mtu wa dini nyingine yoyote isiyo Katoliki, watoto lazima wawe Katoliki.
  3. Mtoto akizaliwa nje ya ndoa wanagoma kumbatiza, mtoto anakosa gani?!.
  4. Ukiwa hushiriki Jumuiya ndogo ndogo, siku ukifa hawakuziki!.
  5. Ukifa huku ulikuwa na nyumba ndogo, wanakugomea kukuzika!.
  6. Ukijulikana umehamia makanisa ya wokovu unatengwa!, hivyo hiyo issue ya sala ya toba ifanye siri, ili tukikamilisha cannonization ya Nyerere akiishatangazwa Mwenye Heri, tuanze ya Mkapa kisha Magufuli!, siri hii ya sala ya toba ikitua on wrong hands, JPM will never be a saint!.
P
Mkuu mtoto wa nje anabatizwa ila masharti pengine huwa kikwazo kwa wengi na kukimbia. Pia ukihamia makanisa mengine maana yake umeikana imani! Huo ndio ukweli. Sharti lililopo ni kama unataka kurudi Kanisa Katoliki lazima ukiri upya imani ile ya mitume ambayo kila misa tunaikiri then unapokelewa!

Imani yoyote lazima iwe na misingi ya kujilinda ili isiwe holela kama sokoni! Hata walokole ukienda kwao watakupa mafundisho mapya ili usirudi Katoliki ikiwemo ubatizo wa maji mengi, mafundisho juu ya Bikira Maria, maombezi ya watakatifu ( wao wanawaita wafu), meza ya Bwana kama ukumbusho na alama tu na si Yesu aliyehai ktk Ekaristi n.k Hivyo ukiacha Ukatoliki kurudi kuna taratibu ambayo ni kawaida hata kwa wenzetu Waislamu.
 
mzaa kwa muumba ndio maana unafinyanga kila neno
Mkuu Baba neno ''Mizaa'' hiyo ni akili na mawazo yako! ni weye wasema!...hata Yesu Wayahudi walimuona ivo! ivo! hujakosea weye kuniona ivo alivyoonwa Kaka yangu! so unanihukumu mara ya pili!...ni sawa tu!
kuonesha JPM alikuwa muovu kiasi cha kutostahili msamaha
Aliua? aliiba hela ajili ya kujifurahisha tu! Chato intr. airport!...aliwafukuza wafanya kazi wa sirikali ka tuhuma kuwa walifoji bila kuwapa stahili zao! kwa kuwa walitumikia serikali, kwa ruhusa ya serikali hiyo hiyo ata de same time anaiba kura!........hayo yoote na mengine meeengi! hakukumbuka kutubu yule! aliamini atapona!
Yuda alijutia dhambi yake lakini hakutubu bali alijinyonga!
Umetamka vizuri kwa kuwa dhambi zake zilizidi mnoo! kwanza alikuwa mwizi wa mfuko wa sadaka! hakumu
amini Yesu kuwa ni Mwana wa Mungu...alichotaka yeye ni km Yesu angepindua utawala wa Warumi Basi angepata cheo ili abwiye zaidi, awe mkubwa kimadaraka! kicheo! lkn haikutokea so akaona Yesu kampiga changa la macho!
Mungu ana muda wa msamaha ukipita hata ulie vipi husamehewi hiyo sio injili! Huo ni uzushi na kinyume na mafundisho ya Kikristo!
Biblia inasema nanukuu ''Tubuni mkabatizwe maana hamjui siku wala saa atakapo kuja Mwana wa Adamu''.....Mie hakuna sehemu nilipo sema nafuata/sifuati Mafundisho ya kikiristo! Binafsi nasema Mungu anavyotaka iwe!
Dhambi isiyo na msamaha ni kumkufuru Roho Mtakatifu! Sasa kumkufuru Roho Mtakatifu si jambo rahisi pia, mfano kukataa huruma ya Mungu ukiwa na akili timamu hadi kifo mfano kujiua!
Dhambi ni dhambi tu, hakuna dhambi kubwa wala ndogo!! wooote ni ziwa liwakalo Moto!
Mtu anapokuwa katika hatari ya kifo akaomba Padri aende kwaajili ya toba na mpako wa wagonjwa (Viaticum au kwa kimombo Last Rites, Apostolic Pardon) huyo mtu tayari amejuta na anatubu na kuondolewa dhambi na kupakwa mafuta
Mkuu!!! Hivi unasema kweli hawa! Mapadre hawa! wa Vatican??...wauza Watumwa wale? tena walishindwa kukemeaa tukauzwa weeee!!, tukaijenga Vatican yoote! na Ulaya yake? kabisaaa! na

wewe Africa nyeusi tii unakubali? kirahisi kabisa?...tena mbaya zaidi wamekuja na Kakijana kazuriii kazungu maarufu km -yesu kazungu, eti kanaondoa dhambi kale?? Mweee!..

.Kwani Ile dhambi ya kuuza watu, Vatican walisha tubu kwanza?? tuanzie hapo....halafu ndo tuje kwa jinsi wanavo ondolea watu weusi dhambi!!...wkt wazungu ndg zao hawataki hata kuyasikia hayo Makanisa yenu!

siku hizi yanakuwa misikiti! tena waziiiii!!...yaani km ni hivi? Mtafika Mbinguni mmechoka sana!!...hakuna cha kusema eti mie MTAZAMO nilidanganywa!!..... Noooo!!
Kama JPM alipewa huduma hiyo kwa hiari yake mwenyewe yupo sehemu salama, ndio tumaini letu Wakristo.
Acha utani bana weeee!! yaani yalee!.... yooote aliyo tenda kwa muda wooote ule!.... akumbuke toba ya kweli??..nzuri zaidi eti alitubu kwa padre! Padre wa Vatican ana uwezo wakusamehe samehe zambiiiii????!........

sikia sasa watafute wasabato walipo, usibatizwe weye nenda tu kakae kanisani hukooooo! then Pima imani yao at least utaondoka na kitu........narudia tena, utafika Mbinguni umechoka sana Mkuu!
 
JPM alipewa huduma hiyo kwa hiari yake mwenyewe yupo sehemu salama, ndio tumaini letu Wakristo.
Baada ya Mimi kuwapiga Madongo weeeee!!...kwamba rijamaa rire! halikukumbuka toba sasa mnaanza kuruka ruka!! Mara alitubu kwa Padre, mara kwa Mwamposa!! mara sijui naniliu............!

Nyie watu!! toba haziendi hivooo! sasa mtakuja na lingine!!....ni Neema sana kuikumbuka toba ya kweli yule alikomaza shingooo!! ni wachache sana tutakao pewa hiyo nafasi na tunajijua siyo siri kiviile!

TOba unatubu kwa imani yako haswaaa!! na siyo kwa mutu aliyeumbwa kwa damu na nyama binafsi.....Tundu Lisu huyo hapoa alikuwa anamwinda km digi digi ni lini, alimwita kwa maridhiano ya kusameheana????

japo tulimwambia afanye ivo akapinga mbaya hata kumsalimia tu!...aseme '''bana wee pole unajua siasa hizi'' hakutaka yule mzee!! fikiria tu tundu Lisu Risasi mia mbili lkn hakufa!

Yeye Jiwe Atrial fibrillation tu, ilimuondoa tena dawa zipo kibao hapo Temeke Hospt...watu wanapona kila siku, lkn jiwe aka vuta bila toba!...ile inaua faster tu!

Lkn pia mnakosea sana hivi?? Naomba kuwauliza hiyo toba ni lazima usamehewe na Mungu??...yaani tumlazimishe Mungu atusamehe au si ndiyo.........hivi tunaiomba au tunaitaka!!

km Tunaoimba toba toka kwa Mungu kuna mawili kukubaliwa au kukataliwa!.....Yuda ana mambo mawili kunamoja inasema alijuta na ya pili alitubu chunguza uone!!

Na injili fiche ya Yuda inasema aliandaliwa Maksudi ili Maksudi ya Mungu yatimie ina maana asingekuwa Yuda kumsaliti Mwana, Yesu angekuwa Bado yuko hapa Duniani! ivo alijua anacho kifanya!

Ndo maana Biblia ikasem yuko mahali pake.....
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa huwaletea makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Mada ya leo ni a bit abstract, ambapo Nimesikia sauti ya Voices From Within ikiniambia JPM yuko Mbinguni kwa Baba, hivyo nauliza swali, jee wajua kuwa JPM yuko peponi, Mbinguni, Kwa BABA YAKE?

Why watu wengine waendelee kumshutumu, kumsakama na kumsimanga?. Kwa nini asiachwe ajipumzikie zake kwa amani!. Mtu ameisha tangulia mbele ya haki, kwanini watu waendelee kumsema sema kwa ubaya.

Mimi mwana jf mwenzenu ni Mzee wa Sauti za Ndani "the inner voice", unafanya kitu fulani na mara unasikia sauti from within ikikuambia jambo fulani.

Angalizo kuhusu Abstract Topics.

Issues na mtu akiisha kufa, we all knows what happens to the body, but roho huwa inakwenda wapi, no one knows for sure, hivyo tunategemea mafundisho ya dini zetu.

Kuna sisi dini za wana wa Nabii Ibrahim, Wakristo na Waislamu tumefunzwa kuhusu mbinguni, peponi, ahera, jehanam ya moto wa milele, na kuna siku ya mwisho siku ya hukumu ya mwisho ya kiama atakapo rudi Mwana wa Adamu, ambapo kutakuwa na ufufuko wa miili na uzima wa milele.

Kuna wenzetu wa Buddhism na Hindu ambao ni waumini wa karma, wao wanaamini kwenye after life na incarnation.

Hakuna yeyote awaye yote aliwahi kufa akayashudia hayo na kurejea duniani kututhibitishia mbingu ipo, peponi kupo na motoni kupo, wala waumini wa reincarnation no one can say for sure alikuwa nani before, zaidi ya ushahidi wa deja vu, hakuna uthibitisho wowote wa reincarnation Ila kwa vile na mimi niliishi India, I know for sure karma ipo and it's for real!

Hivyo hii mada ni mada ya imani, kama wewe huamini, please keep your faith nakuomba usibeze imani za wengine, ukijiona huamini, nakuomba jipitie zako kimya kimya, tuache sisi waumini.

Leo asubuhi nilikuwa nasoma michango ya wachangiaji wa bandiko langu hili.

Kuna mtu akachangia kitu, katika kumjibu nikatumia link hii

Sasa ni wakati nasoma bandiko lenyewe, na naomba nililete hapa bandiko lenyewe lote kwa faida ya wavivu to follow links.


Ndipo nikaisikia sauti, voices from within kuwa JPM yuko peponi, ahera, mbinguni kwa Baba!

Kwa kawaida ya sauti, huwa inakuambia tuu kitu na haikupi sababu, hivyo naomba msiniulize sababu, hapa kazi yangu ni moja tuu kuwaeleza kile nilichosikia Leo ni JPM yuko peponi!

Hivyo baada ya kuisikia hiyo sauti nikamsikiliza tena JPM kwa makini sana katika video hii
Nimejirisha bila chembe ya shaka, huyu mtu yuko mbinguni kwa Baba yake!

Hapa simaanishi kuwa JPM yuko peponi kwasababu he is perfect kama malaika, no!. JPM was a human being hivyo he is not perfect and no one is perfect, kilichofanya hiyo sauti ni despite his human mistakes JPM alitubu kabla ya umauti na kusamehewa makosa yake yote, na ndio maana nimeambiwa, sasa he is in heaven now!.

Kwa bandiko hili, sasa ningewaomba watu humu, kutoendelea kumsakama, kumshutumu, kumsimanga na kuendelea kumsema vibaya, na badala yake tumwache apumzike kwa amani. Kama Mungu mwenyewe amemsamehe na kumuita kwake, who are you kuendelea kumsema sema vibaya?

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali.


Kuna watu wana pata nafasi ya uangamo kabla ya yote(wanatengeneza na Muumba)),akumpike kwa AMANI JPM,
 
Mkuu Mag3, kiukweli kila nikikutana na mchango wangu kwenye nyuzi yangu yoyote huwa nafarijika sana kwasababu jf was meant to be home of great minds, wewe ni among the few real and true GT humu na una hoja za msingi sana.

Mwanzo shetani alikuwa malaika mkuu akaasi ndio akawa shetani, siku akitubu itakuwa ni furaha kuu mbinguni mwenye dhambi mmoja akitubu. Hili nimelizungumza vizuri hapa Malaika akijiunga na mashetani, anageuka shetani? Shetani akijiunga na malaika anageuka malaika?! na hapa Elections 2015 - Nani hatari zaidi kati ya malaika aliyegeuka shetani, Au shetani aliyegeuka malaika?!

Haya ndio type ya maswali mimi ninayo yapenda.

Tumefunzwa tusihukumu tusije kuhukumiwa!, Tuacheni ramli chonganishi: Tusihukumu tusije tukahukumiwa. Karma ndio pekee hutoa hukumu ya haki hapa duniani! siku ya mwisho unaweza usiamini Osama, Saddam na Gadafi kuingia peponi halafu Bush, Blair na Osama ukawakuta motoni!.

Shetani watu wanamchora tuu vibaya, mnaweza kukuta triple 666 ni yule mzee wetu wa lile dhehebu kubwa kuliko yote!. Nasisitiza tusihukumu, no one knows alizungumza nini na muumba wake kabla roho haijachukuliwa.

Kuna watu mmeaminishwa ukifa unashukia kuzimu kusubiria ile siku ya kiama ya ufufuko wa miili na hukumu ya mwisho!. Its not!.

Ukifa tuu, mara baada ya mwili kupandishwa, unakwenda hukumuni na pale wanatumia mzani kupima mema na mabaya, mema yakizidi unaingia peponi hata kama ulifanya uovu mkubwa kiasi gani, ukafanya wema mkubwa kabisa kuliko ule uovu, unaingia mbinguni.

Siku za mwisho za Blaza alikuwa mtu mwema sana akitembea na mabulungutu ya minoti!, kusema ukweli kwa baadhi ya makabila hata usome vipi, ushamba haukutoki, tena zile za kutembea na mabulungutu ya fedha na kugawa zilikuwa ndio zangu!. Nilikuwa nikishuka kijijini kumcheki Maza, kijiji kizima kinajua!. Na huku mjini kwa ajili ya yale mambo yetu yale, kiukweli watu wamefaidika sana!.

Nikitolea tuu mfano kuwa ni mimi ndio nimempoteza Ben Saanane, Azori Ganda, Lujwabe na kuamuru zile pyu pyu za Lissu na ile miili kwenye viroba!.

Uovu huo unategeneza a negative karma forces ili kuufidia uovu wangu napata mapigo.

Nikaamua kubadilika kuwa mwema, nikaanza kutembea na mabulungutu ya minoti na kuwagawia masikini, fungulia mahabusu wenye fedha, samehe wafungwa hata wabakaji. Ile negative karma inakuwa reversed into positive, hivyo wema ulioufanya ni mwingi na mkubwa kuliko ubaya, then kwa vile ulikula kichwa, hivyo karma ni lazima ile kichwa, hivyo wakati karma inakula kichwa chako, uko kitandani unagalagala kupigania uhai wako, utatambua kuwa zile powers, pesa, madaraka, mamlaka, cheo, and everything is nothing!, unajutia uliyoyatenda, unatubu dhambi zako kwa mola wako, unajikabidhi Roho yako ichukuliwe, Mungu ni mwenye huruma na anasamehe 7×70!.

By the time Ziraeli mtoa roho anakufikia, anakukuta wewe ni clean kabisa, anaichukua roho yako, roho inaacha mwili, anaikabidhi kwenye mzani wa kupima mema na mabaya, mema yakizidi, naingia peponi!.

Hivyo Mkuu Mag3, nakuomba uniamini!. Hizi the voices within, some ni sauti yake YEYE mwenyewe and they never be wrong!, huyu jamaa yuko peponi!. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

Japo humu jf tunadharauliana sana, mimi nimeamua kila nikisikia sauti naileta humu, 2025 tutaheshimiana sana maana ni mimi nimeshauri Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye! lakini nikaisikia hii sauti Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke, sasa tusubiri 2025 tutaheshimiana tuu!.

Unaweza kuziangalia baadhi ya trends zangu za kauli umba "Ombeni Mtapewa", "Tafuteni Mtapata", "Bisheni Hodi Mtafunguliwa" Je Wajua Kuna "Kauli" na "Kauli Umba" Ambazo Huumba?. Shuhudia.., angalia zipi zimetokea!.
Vijikauli vidogo vidogo hivi kutoka kwa watu wa dogo who are nobody, sio vya kupuuzia, na mtu akiforce king, karma haina mswalie Mtume, wala hatujui au kujali nani ni nani, inakula tuu kichwa!.

P
Paskali hivi Mungu anaweza kukusamehe ikiwa uliemkosea hujamwomba msamaha?? Yani umemlala mke wangu, hujaniomba msamaha Mimi halafu unaenda kumuomba msamaha muumba kweli???
 
Je shetani naye anaweza kutubu akasamehewa? Je siku shetani akitubu na akaweza kusamehewa ina maana hakutakuwa tena na dhambi duniani?

Ona sasa ulivyonilazimisha kuuliza maswali ambayo sitakiwi kuuliza wala kupata majibu yake. Huko aliko shetani lazima hata yeye kashtuka, ama kashtukizwa?

Ndugu zangu nawaomba hizo sauti zenu from within ni vizuri kukaa nazo huko huko within. JPM kuwa peponi kunaweza kumfikirisha sana hata shetani mwenyewe!
Dah!

Kwamba umemuweka JPM kwenye kundi la mashetani ambao hawawezi kusamehewa kamwe!

Nijuavyo, mashetani ni malaika walioasi mbinguni, wakafukuzwa ndipo wakaja duniani, huku wanasubiri siku yao ya hukumu.

Sasa kwa hiki ulichoandika hapo unataka kutuambia na JPM nae aliwahi kufukuzwa mbinguni?!

Inaonekana mnamuhukumu Magufuli kwa kiwango cha juu kabisa cha kutisha, mpaka mnasahau kama nae alikuwa mwanadamu!.
 
Padri anaondoa dhambi kwa mamlaka hii 23 Wo wote mtakaowaondolea dhambi, wameondolewa; na wo wote mtakaowafungia dhambi, wamefungiwa.
Yohana 20:23
Mkuu! yesu Mzungu haji ng'oo!.........mtasubiri sana na Ma-padre wenu hao! mie nakusaidia bure!..tena Mapadre weusi walio wengi siku hizi!! ni wajanja sana, wanakwenda huko Makanisani kwenu kubwia sadaka tu! lkn ukweli wanaujua!

wana-chomokamo humo! wanapotelea hukooo kusikojulikana! kwa toba za machozi ya damu, nzito nzito!....nina-ona ajabu sana weye Mwana JF, unawaheshimu sana hao wauza Watumwa!!

Usije sema hukujua unachofanya!...Jehanum inakuhusu kwa hamu!! Tubu leo. Sasa! tena wazi wazi!...usitubu kunako shuka umejifungia Noooo!!....hata km Yesu Mweusi haji km mnavo dhania, nyie ...

Ukimuheshimu na kuzifuata Amri kumi km zilivo, huna cha kupeteza!........lkn sasa akija na wkt umebeza ujio wake, Amri kumi za babake je utafanyaje??...usiseme utajinyonga km Yuda Noooo!!....kamaba zitakukataa pia!
 
Mkakati wa kumchafua JPM ulifeli na unaendelea kufeli. Mwendazake hakuwa malaika na alivuruga mengi tena mengine kwa nia nzuri sio wizi!

Kuendelea kumtusi na kumbagaza mtu asiyeweza kujitetea sio sawa, angekuwa hai hata kama mstaafu ni sawa maana anayo fursa ya kujitetea.
 
Kama kuna mlala hoi anamlaumu JPM basi damu yake ina chembechembe nyingi za ufisadi, amekosa tu sehemu ya kuufanyia huo ufisadi.
 
Baada ya Mimi kuwapiga Madongo weeeee!!...kwamba rijamaa rire! halikukumbuka toba sasa mnaanza kuruka ruka!! Mara alitubu kwa Padre, mara kwa Mwamposa!! mara sijui naniliu............!
chuki zako kuu kwa yule jamaa zinafanya unanuka harufu mbaya,toba ni kati yake na Mungu wake sio wewe kahaba aliyekutana nawe guest.
Nyie watu!! toba haziendi hivooo! sasa mtakuja na lingine!!....ni Neema sana kuikumbuka toba ya kweli yule alikomaza shingooo!! ni wachache sana tutakao pewa hiyo nafasi na tunajijua siyo siri kiviile!
hata kama kweli alikufanyia maovu kiasi cha kuhitaji toba,kitendo cha kusema mniombee akiwa hai ni toba tosha.hii huwezi jua sababu una upumbavu mwingi lakini umejibanza nyuma ya chuki.
TOba unatubu kwa imani yako haswaaa!! na siyo kwa mutu aliyeumbwa kwa damu na nyama binafsi.....Tundu Lisu huyo hapoa alikuwa anamwinda km digi digi ni lini, alimwita kwa maridhiano ya kusameheana????
hata kumruhusu tu arudi kugombea ilikuwa ni ishara kumwonea huruma.
yeye lissu ndiye alitakiwa akatae ofa hiyo akiomba maridhiano kwanza.kwa kiburi cha jpm alikuwa na uwezo wa kumzuia,na hakuna mbwa yeyote angefurukuta.angali namna uchaguzi ulivyopigwa kama ulivyo washkaji zenu wakabaki wanakimbilia nchi za watu.
japo tulimwambia afanye ivo akapinga mbaya hata kumsalimia tu!...aseme '''bana wee pole unajua siasa hizi'' hakutaka yule mzee!! fikiria tu tundu Lisu Risasi mia mbili lkn hakufa!
acha ufaler risasi 200 unazijua wewe!!!
Yeye Jiwe Atrial fibrillation tu, ilimuondoa tena dawa zipo kibao hapo Temeke Hospt...watu wanapona kila siku, lkn jiwe aka vuta bila toba!...ile inaua faster tu!
jiwe amekufa akiwa rais wa 5 familia itatunzwa mpaka miongo kadhaa,wewe kahaba utafia guest ukiwa hujalipwa,na hakuna hata mtu atajua taarifa ndugu zako watazipatia manispaa.
Lkn pia mnakosea sana hivi?? Naomba kuwauliza hiyo toba ni lazima usamehewe na Mungu??...yaani tumlazimishe Mungu atusamehe au si ndiyo.........hivi tunaiomba au tunaitaka!!
unajifanya kuizungumzia toba kumbe hata huijui,Mungu ni msikivu sio mpuuzi kama wewe.
km Tunaoimba toba toka kwa Mungu kuna mawili kukubaliwa au kukataliwa!.....Yuda ana mambo mawili kunamoja inasema alijuta na ya pili alitubu chunguza uone!!
wewe unayejifanya mke wa Mungu ndiye unataka kutwambia kifo cha jpm ni adhabu kutoka kwa Mungu,lakini Mungu hajaainisha popote kwamba watu wema hawata kufa.
acha ujinga bana.
Na injili fiche ya Yuda inasema aliandaliwa Maksudi ili Maksudi ya Mungu yatimie ina maana asingekuwa Yuda kumsaliti Mwana, Yesu angekuwa Bado yuko hapa Duniani! ivo alijua anacho kifanya!
sasa je,Mungu alikumchukia yuda!!!
Ndo maana Biblia ikasem yuko mahali pake.....
haya kaa kwa kubana miguu,chupi yako chafu.
 
Mkakati wa kumchafua JPM ulifeli na unaendelea kufeli. Mwendazake hakuwa malaika na alivuruga mengi tena mengine kwa nia nzuri sio wizi!

Kuendelea kumtusi na kumbagaza mtu asiyeweza kujitetea sio sawa, angekuwa hai hata kama mstaafu ni sawa maana anayo fursa ya kujitetea.
Kazikwe nae alitufilisi sana ss wavuvi ziwatanganyika kutuita tunavua uvuvi haram wakati tunaleseni halali alawama anazopata anastahili kuzipata
 
Mkakati wa kumchafua JPM ulifeli na unaendelea kufeli. Mwendazake hakuwa malaika na alivuruga mengi tena mengine kwa nia nzuri sio wizi!

Kuendelea kumtusi na kumbagaza mtu asiyeweza kujitetea sio sawa, angekuwa hai hata kama mstaafu ni sawa maana anayo fursa ya kujitetea.
Mkuu MTAZAMO , asante sana for this.
Ubarikiwe.
P
 
Back
Top Bottom