Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

Maneno ya Mungu yanasema wafu watafufuliwa siku ya mwisho,..!
Mkuu Mshana Jr , japo ni kweli siku ya mwisho kutakuwa na ufufuko wa miili, kwanza huo ufufuko sio wa miili hii ya nyama, ni wa miili ya roho!, spiritual bodies, hii miili ya nyama, physical body, roho ikiisha acha mwili, that is the end of it!. Mwili huu unageuka mavumbi na haina shughuli nyingine yoyote!.

Watakao fufuliwa siku ya mwisho ni wale waliokufa kwenye kama!. Hawa wanaokufa sasa wanahukumiwa, wa peponi wanakwenda peponi na kuanza kula raha, wa motoni nao wanakwenda motoni na kupata mateso ya jehanam ya ziwa la moto wa milele.

Mbinguni, ahera, peponi na motoni ni kwenye ulimwengu wa roho, kule hakuna distance and time, siku moja ni kama miaka elfu moja, na miaka elfu moja ni kama siku moja!. Hivyo anayeungua motoni miaka elfu iliyopita na sawa na anaye ingia leo!.
Hivyo JPM wetu yuko peponi akila good time!.
P
 
Mkuu Mshana Jr , japo ni kweli siku ya mwisho kutakuwa na ufufuko wa miili, kwanza huo ufufuko sio wa miili hii ya nyama, ni wa miili ya roho!, spiritual bodies, hii miili ya nyama, physical body, roho ikiisha acha mwili, that is the end of it!. Mwili huu unageuka mavumbi na haina shughuli nyingine yoyote!.

Watakao fufuliwa siku ya mwisho ni wale waliokufa kwenye kama!. Hawa wanaokufa sasa wanahukumiwa, wa peponi wanakwenda peponi na kuanza kula raha, wa motoni nao wanakwenda motoni na kupata mateso ya jehanam ya ziwa la moto wa milele.

Mbinguni, ahera, peponi na motoni ni kwenye ulimwengu wa roho, kule hakuna distance and time, siku moja ni kama miaka elfu moja, na miaka elfu moja ni kama siku moja!. Hivyo anayeungua motoni miaka elfu iliyopita na sawa na anaye ingia leo!.
Hivyo JPM wetu yuko peponi akila good time!.
P
JPM huyu aliyezuia tusikusanyike Makanisani kumuombea Tundu Lissu afya njema ,baada ya jaribio la kuuaea kama mnyama!
JPM Huyu huyu ambaye hakutia hata pole baada ya jirani yake Mawazo Nelson kuuawa kinyama Kwa mapanga kule Chato!
Kama ndivyo,basi the so Called Pepo it is a Relative Term/Phenomenal
 
JPM huyu aliyezuia tusikusanyike Makanisani kumuombea Tundu Lissu afya njema ,baada ya jaribio la kuuaea kama mnyama!
JPM Huyu huyu ambaye hakutia hata pole baada ya jirani yake Mawazo Nelson kuuawa kinyama Kwa mapanga kule Chato!
Kama ndivyo,basi the so Called Pepo it is a Relative Term/Phenomenal
Mungu ni pendo!. Hata dhambi zako ziwe nyeusi kama masizi, ukitubu, Mungu anakusamehe!. Zile siku za mwisho, JPM, changed for the better, mimi nilikuwa nasema humu from time to time,
  1. Magufuli is getting better and better, he is changing for the better. Hongera sana!
  2. Tusilalamike tuu, kulaumu na kulaani kila kitu, kwenye mazuri tupongeze! Rais Magufuli is changing for the better!.
  3. Tusikalie kumlaumu tu Rais Magufuli na Serikali yake wanapofanya mabaya, kwenye mazuri pia tupongeze!
  4. https://www.jamiiforums.com/threads/voices-from-within-jpm-ni-rais-msikivu-na-mwenye-huruma-1818712/
  5. Rais Magufuli, so far, is the best president this country has ever had. Msikivu, ana upendo na huruma. Atabarikiwa sana. Tanzania itabarikiwa!
  6. "Mimi ni Mwenzenu Hapa, Sijabadilika ni Yule Yule "KaJoni" - Ni Maneno Simple, Humble and Down to Earth Yenye Maana Kubwa
  7. Baadhi ya matendo yake ya ukatili yalikuja kufidiwa na matendo mema ya huruma na upendo kama kule kugawa mabulungutu, kutetea masikini, wamachinga etc
  8. hivyo ile siku yake ya mwisho kabla Mungu hajaichukua roho yake, alitubu dhambi zake zote, akasamehewa na ndio maana saa hizi yuko peponi, mbinguni kwa baba yake.
  9. Hata hili la katiba mpya, Mungu asinge mchukua, saa hizi tungekuwa kwenye mchakato Trends, Visions: Watanzania msitatizwe na kauli zake kuhusu Katiba, baada ya Nyerere, ni Magufuli ndiye ataacha legacy kubwa ikiwemo Katiba Mpya!.
P
 
Mungu ni pendo!. Hata dhambi zako ziwe nyeusi kama masizi, ukitubu, Mungu anakusamehe!. Zile siku za mwisho, JPM, changed for the better, mimi nilikuwa nasema humu from time to time,
  1. Magufuli is getting better and better, he is changing for the better. Hongera sana!
  2. Tusilalamike tuu, kulaumu na kulaani kila kitu, kwenye mazuri tupongeze! Rais Magufuli is changing for the better!.
  3. Tusikalie kumlaumu tu Rais Magufuli na Serikali yake wanapofanya mabaya, kwenye mazuri pia tupongeze!
  4. https://www.jamiiforums.com/threads/voices-from-within-jpm-ni-rais-msikivu-na-mwenye-huruma-1818712/
  5. Rais Magufuli, so far, is the best president this country has ever had. Msikivu, ana upendo na huruma. Atabarikiwa sana. Tanzania itabarikiwa!
  6. "Mimi ni Mwenzenu Hapa, Sijabadilika ni Yule Yule "KaJoni" - Ni Maneno Simple, Humble and Down to Earth Yenye Maana Kubwa
  7. Baadhi ya matendo yake ya ukatili yalikuja kufidiwa na matendo mema ya huruma na upendo kama kule kugawa mabulungutu, kutetea masikini, wamachinga etc
  8. hivyo ile siku yake ya mwisho kabla Mungu hajaichukua roho yake, alitubu dhambi zake zote, akasamehewa na ndio maana saa hizi yuko peponi, mbinguni kwa baba yake.
  9. Hata hili la katiba mpya, Mungu asinge mchukua, saa hizi tungekuwa kwenye mchakato Trends, Visions: Watanzania msitatizwe na kauli zake kuhusu Katiba, baada ya Nyerere, ni Magufuli ndiye ataacha legacy kubwa ikiwemo Katiba Mpya!.
P
Unanyambwa wewe, wewe ni nani umpamgie Mungu, lofa mmoja.
 
Unanyambwa wewe, wewe ni nani umpamgie Mungu, lofa mmoja.
Kwanza asante kwa hilo neno, ubarikiwe sana!. Pili Mungu hapangiwi bali huzungumza na sisi kupitia ndoto, maoni, revelations na Voices from within.
P
 
Mkuu Mshana Jr , japo ni kweli siku ya mwisho kutakuwa na ufufuko wa miili, kwanza huo ufufuko sio wa miili hii ya nyama, ni wa miili ya roho!, spiritual bodies, hii miili ya nyama, physical body, roho ikiisha acha mwili, that is the end of it!. Mwili huu unageuka mavumbi na haina shughuli nyingine yoyote!.

Watakao fufuliwa siku ya mwisho ni wale waliokufa kwenye kama!. Hawa wanaokufa sasa wanahukumiwa, wa peponi wanakwenda peponi na kuanza kula raha, wa motoni nao wanakwenda motoni na kupata mateso ya jehanam ya ziwa la moto wa milele.

Mbinguni, ahera, peponi na motoni ni kwenye ulimwengu wa roho, kule hakuna distance and time, siku moja ni kama miaka elfu moja, na miaka elfu moja ni kama siku moja!. Hivyo anayeungua motoni miaka elfu iliyopita na sawa na anaye ingia leo!.
Hivyo JPM wetu yuko peponi akila good time!.
P
Mbinguni, ahera, peponi na motoni ni kwenye ulimwengu wa roho, kule hakuna distance and time, siku moja ni kama miaka elfu moja, na miaka elfu moja ni kama siku moja!.[emoji817][emoji818]
 
JPM huyu aliyezuia tusikusanyike Makanisani kumuombea Tundu Lissu afya njema ,baada ya jaribio la kuuaea kama mnyama!
JPM Huyu huyu ambaye hakutia hata pole baada ya jirani yake Mawazo Nelson kuuawa kinyama Kwa mapanga kule Chato!
Kama ndivyo,basi the so Called Pepo it is a Relative Term/Phenomenal
Magufuli aliye kula lambilambi za tetemeko!
 
Kwamba alitubu? We ulijuaje wakati nchi nzima ilikua kwenye taharuki hata maaskofu tu walifichwa kinachoendelea!!

Mara alitubu, mara alikua anachapa kazi ofisini, mwingine akadai alikua busy kwenye maombi ya mfungo kuombea taifa!!!

Mnatuchanganya tu wananchi, Bora mkae kimya
Soma, sauti ya ndani inasema na Pascal.
Kumbuka siku sauti hiyo itakapo kusemesha nawe utatuambia.
 
Aliua, kuteka, kupora na kutesa watu bila sababu zozote za maana.
Mungu muweza wa yote akapindua meza.
Laana ya kijana wa makambako aliyepigwa na polisi, Tiss na jeshi kwa amri yake itamuandama popote alipo.
Mungu hasamehi waovu
Huyu alikuwa muovu
Imeandikwa"Hata kama dhambi zako zitakuwa nyekundu kama damu, lakini wewe ukazitubu hizo dhambi, hakika utakuwa mweupe kama theluji"
 
Imeandikwa"Hata kama dhambi zako zitakuwa nyekundu kama damu, lakini wewe ukazitubu hizo dhambi, hakika utakuwa mweupe kama theluji"
Alitubu wapi? [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Bora hata mara mia Mzee Ben alitubu kwa kuandika kwenye Kitabu pia mbele ya watu wakati wa uzinduzi wa Kitabu! Ila Jiwe hadi anakata Roho wapambe wake hawakuamini kama jamaa anadanja! [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Suala la wapi mtu anaenda baada ya kifo ni la kiimani zaidi. Ni kati ya Muumba wake na mhusika. Sio ndugu, Rafiki, jamaa Wala mpenzi wa marehem anajua au anaamua marehem anaenda wapi au anakua wapi baada ya kifo.

Cha msingi ni angalizo ulilolitoa tu kwamba Mtu akishafariki, aachwe apate kamisheni sawasawa na matendo yake.
Ni kweli, pia urais ni taasisi, tumemuacha yeye ila taasisi ya awamu yake bado ina la kujibu na jina lake litatumika tu likibeba hiyo awamu ya taasisi
 
Aliua, kuteka, kupora na kutesa watu bila sababu zozote za maana.
Mungu muweza wa yote akapindua meza.
Laana ya kijana wa makambako aliyepigwa na polisi, Tiss na jeshi kwa amri yake itamuandama popote alipo.
Mungu hasamehi waovu
Huyu alikuwa muovu
Rais gani hajaua?
Unapopewa madaraka makubwa kama ya Urais utaua tu!
Unaweza ukaua directly au indirectly. Vinginevyo kataa tu hayo madaraka.
 
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa huwaletea makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Mada ya leo ni a bit abstract, ambapo Nimesikia sauti ya Voices From Within ikiniambia JPM yuko Mbinguni kwa Baba, hivyo nauliza swali, jee wajua kuwa JPM yuko peponi, Mbinguni, Kwa BABA YAKE?
Mayala nakuhakikishia hiyo sauti ni ya shetani tena lucifer mwenyewe!
Labda ile 'mbingu' nyingine na sio hii tunayoijua nwanaokwenda kule
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa huwaletea makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Mada ya leo ni a bit abstract, ambapo Nimesikia sauti ya Voices From Within ikiniambia JPM yuko Mbinguni kwa Baba, hivyo nauliza swali, jee wajua kuwa JPM yuko peponi, Mbinguni, Kwa BABA YAKE?

Why watu wengine waendelee kumshutumu, kumsakama na kumsimanga?. Kwa nini asiachwe ajipumzikie zake kwa amani!. Mtu ameisha tangulia mbele ya haki, kwanini watu waendelee kumsema sema kwa ubaya.

Mimi mwana jf mwenzenu ni Mzee wa Sauti za Ndani "the inner voice", unafanya kitu fulani na mara unasikia sauti from within ikikuambia jambo fulani.

Angalizo kuhusu Abstract Topics.

Issues na mtu akiisha kufa, we all knows what happens to the body, but roho huwa inakwenda wapi, no one knows for sure, hivyo tunategemea mafundisho ya dini zetu.

Kuna sisi dini za wana wa Nabii Ibrahim, Wakristo na Waislamu tumefunzwa kuhusu mbinguni, peponi, ahera, jehanam ya moto wa milele, na kuna siku ya mwisho siku ya hukumu ya mwisho ya kiama atakapo rudi Mwana wa Adamu, ambapo kutakuwa na ufufuko wa miili na uzima wa milele.

Kuna wenzetu wa Buddhism na Hindu ambao ni waumini wa karma, wao wanaamini kwenye after life na incarnation.

Hakuna yeyote awaye yote aliwahi kufa akayashudia hayo na kurejea duniani kututhibitishia mbingu ipo, peponi kupo na motoni kupo, wala waumini wa reincarnation no one can say for sure alikuwa nani before, zaidi ya ushahidi wa deja vu, hakuna uthibitisho wowote wa reincarnation Ila kwa vile na mimi niliishi India, I know for sure karma ipo and it's for real!

Hivyo hii mada ni mada ya imani, kama wewe huamini, please keep your faith nakuomba usibeze imani za wengine, ukijiona huamini, nakuomba jipitie zako kimya kimya, tuache sisi waumini.

Leo asubuhi nilikuwa nasoma michango ya wachangiaji wa bandiko langu hili.

Kuna mtu akachangia kitu, katika kumjibu nikatumia link hii

Sasa ni wakati nasoma bandiko lenyewe, na naomba nililete hapa bandiko lenyewe lote kwa faida ya wavivu to follow links.


Ndipo nikaisikia sauti, voices from within kuwa JPM yuko peponi, ahera, mbinguni kwa Baba!

Kwa kawaida ya sauti, huwa inakuambia tuu kitu na haikupi sababu, hivyo naomba msiniulize sababu, hapa kazi yangu ni moja tuu kuwaeleza kile nilichosikia Leo ni JPM yuko peponi!

Hivyo baada ya kuisikia hiyo sauti nikamsikiliza tena JPM kwa makini sana katika video hii
Nimejirisha bila chembe ya shaka, huyu mtu yuko mbinguni kwa Baba yake!

Hapa simaanishi kuwa JPM yuko peponi kwasababu he is perfect kama malaika, no!. JPM was a human being hivyo he is not perfect and no one is perfect, kilichofanya hiyo sauti ni despite his human mistakes JPM alitubu kabla ya umauti na kusamehewa makosa yake yote, na ndio maana nimeambiwa, sasa he is in heaven now!.

Kwa bandiko hili, sasa ningewaomba watu humu, kutoendelea kumsakama, kumshutumu, kumsimanga na kuendelea kumsema vibaya, na badala yake tumwache apumzike kwa amani. Kama Mungu mwenyewe amemsamehe na kumuita kwake, who are you kuendelea kumsema sema vibaya?

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali.
Wewe umejuaje yuko peponi?ulipanda huko kuona?Mbona lipo kuzimu huko linaungua? Sukuma gang mtateseka sana kama vipi kazikwe naye
 
Alitubu wapi? [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] hadi anakata Roho wapambe wake hawakuamini kama jamaa anadanja! [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Mkuu Alfred Daud Pigangoma , much respect for being verified!.
  1. Mungu ni nani na yuko wapi- Mungu ni Sprint ambaye ndie pekee Alfa na Omega hukaa kila mahali, Omnipresence
  2. Binadamu ni nani, ni kiumbe Mungu alichokiumba kwa udogo na kukipulizia pumzi ya uhai yenye Umungu ndani yake kwa lengo moja tuu kumtii. Hivyo Mungu yuko yuko ndani yetu na sisi tuko ndani yake.
  3. Mkataba wa uhai na kifo ni mkataba baina ya wawili tuu!. Wewe na Mungu wako. Hakuna yoyote mwingine mwenye uwezo wa kuumba na hakuna yeyote mwenye uwezo wa kuutoa uhai isipokuwa YEYE!.
  4. Amri za Mungu ni mkataba baina ya wawili tuu wewe na Mungu wako. Ukivunja amri yoyote ya Mungu anayeandika ni dhambi au sio dhambi ni mmoja tuu YEYE !.
  5. Unaweza kuvunja amri ya 5 kwa kuua na ukaandikiwa baraka na unaweza kuua ukaandikiwa dhambi anayejua nani ni mdhambi na nani ni Mtakatifu ni YEYE tuu ndio maana tunafundishwa tusihukumu ili tusihukumiwe!.
  6. Kama ilivyo kutenda dhambi ni baina yako na Mungu wako, vivyo hivyo kutubu dhambi zako ni baina yako na Mungu wako.
  7. Hakuna ajuaye mtu yoyote kabla ya kifo alizungumza nini na Mungu wake hivyo hakuna ajuaye.
  8. Tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo.
  9. Kwa vile Mungu yuko ndani yetu huongea nasi kwa vision kutokewa, kwa ndoto za maono na kwa kusema na wewe kwa sauti ya ndani, Voices from within, wengi hawajui kuisikiliza sauti Mungu iliyo ndani yake iitwayo consciousness.
  10. Mimi nimeisikia sauti hii kuwa JPM alitubu dhambi zake zote na akasamehewa sasa yuko peponi mbinguni kwa Baba yake yuko na Baba yake.
P
 
Mkuu Alfred Daud Pigangoma , much respect for being verified!.
  1. Mungu ni nani na yuko wapi- Mungu ni Sprint ambaye ndie pekee Alfa na Omega hukaa kila mahali, Omnipresence
  2. Binadamu ni nani, ni kiumbe Mungu alichokiumba kwa udogo na kukipulizia pumzi ya uhai yenye Umungu ndani yake kwa lengo moja tuu kumtii. Hivyo Mungu yuko yuko ndani yetu na sisi tuko ndani yake.
  3. Mkataba wa uhai na kifo ni mkataba baina ya wawili tuu!. Wewe na Mungu wako. Hakuna yoyote mwingine mwenye uwezo wa kuumba na hakuna yeyote mwenye uwezo wa kuutoa uhai isipokuwa YEYE!.
  4. Amri za Mungu ni mkataba baina ya wawili tuu wewe na Mungu wako. Ukivunja amri yoyote ya Mungu anayeandika ni dhambi au sio dhambi ni mmoja tuu YEYE !.
  5. Unaweza kuvunja amri ya 5 kwa kuua na ukaandikiwa baraka na unaweza kuua ukaandikiwa dhambi anayejua nani ni mdhambi na nani ni Mtakatifu ni YEYE tuu ndio maana tunafundishwa tusihukumu ili tusihukumiwe!.
  6. Kama ilivyo kutenda dhambi ni baina yako na Mungu wako, vivyo hivyo kutubu dhambi zako ni baina yako na Mungu wako.
  7. Hakuna ajuaye mtu yoyote kabla ya kifo alizungumza nini na Mungu wake hivyo hakuna ajuaye.
  8. Tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo.
  9. Kwa vile Mungu yuko ndani yetu huongea nasi kwa vision kutokewa, kwa ndoto za maono na kwa kusema na wewe kwa sauti ya ndani, Voices from within, wengi hawajui kuisikiliza sauti Mungu iliyo ndani yake iitwayo consciousness.
  10. Mimi nimeisikia sauti hii kuwa JPM alitubu dhambi zake zote na akasamehewa sasa yuko peponi mbinguni kwa Baba yake yuko na Baba yake.
P
Na anatarajia kugombea uongozi wa maraika!
 
Back
Top Bottom