Voices From Within: Sultan Jamshid bin Abdullah Al Said atafurahi zaidi kama atarudi Zanzibar. Rais Samia, Rais Mwinyi, sameheni, utabarikiwa sana!

Duuuh.... Is this Pascal Mayalla a real human creature or jini? Or system man? Whatever he posts as prediz becomes real... lol.. let's welcome the sultan in the next two weeks...
 
Sauti hii imejibiwa Mapendekezo 10 Muhimu, Ujio Sultan wa Zanzibar, apewe Ving'ora, Kasri, atangaze Utalii,Mshindi wa Kweli Zanzibar 2025 Atangazwe To Heal Zanzibar!。
p
 
Maneno ya busara sana haya。
P
 
Mkuu Pascal Mayalla itakua ulipenyezewa za ndani ukaja kutuandaa kisaikolojia
Mkuu Mpaji, Mpaji Mungu ,nikipenyezewa huwa nasema nimepenyezewa kama hii Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli lakini hizi voices from within,ni sauti za kweli kutoka ndani yangu na mfano mzuri ni huu Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini...
na kubwa kuliko ni HII
P
 
Kama rais wenu ana moyo wa kusamehe kama ni kweli na siyo kusukumwa na kuabudia watasha, basi na muingereza arejee aendelee kufanya vitu vyake. Hawa akina Jamshid ni wakoloni waliouza watu wetu wengi utumwani. Tungekuwa nchi kama za kwao, angefika na kukamatwa na kunyongwa hapo hapo lau alipie madhambi yake. Kweli CCM imeishiwa kiasi hiki. Maybe, huu nao ni uwekezaji wa kikumbaff kama tulivyozoea. Si ajabu Deep Weed walitangulia kumfagilia habithi huyu. Akija asite mguu Bara habithi huyu.
 
Huu ni upuuzi kabisa, yaani Mkoloni aliyewafanya watu watumwa, asamehe arudi kuishi sehemu aliyonyanyasa watu na kuwaona kama mbwa?

We Pasco, una matatizo gani?
Unaandika nyuzi ndeeefu! Nonsense.
 
Kama kawaida ya mtu mweusi. Atashika bunduki ataua mweusi mwenzake atatajwa Marekani.

Saizi mnageuzana wenyewe kwa wenyewe anatajwa Sultani.

Siku zote mtu mweusi ni mtu wa kutafuta wa kumuungushia jumba bovu.
 
Naanza kukufatilia kwa jicho la tatu...wewe kama si mtu wa mfumo basi una kitu kikubwa sana (nguvu za kiroho) ndani yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…