Voices From Within: Sultan Jamshid bin Abdullah Al Said atafurahi zaidi kama atarudi Zanzibar. Rais Samia, Rais Mwinyi, sameheni, utabarikiwa sana!

Voices From Within: Sultan Jamshid bin Abdullah Al Said atafurahi zaidi kama atarudi Zanzibar. Rais Samia, Rais Mwinyi, sameheni, utabarikiwa sana!

kaka copy and paste yako uwe unasoma vema kwanza usikurupuke kuja kuwadanganya watanzania. serikali ya uingereza haikumpa pound 1,000 bali pound 100,000. kama si kukurupuka ni woga wa namba ukiwa shule. Sultani wa mchongo hakuhamia Modest hotel kama jina ila gazeti ulilocopy linapasha kuwa alihama toka hotel karibu na Buckingham palace kwenda hotel fulani modest likimaanisha moderate isyo na hadhi kama alikotoka . na kuongezea pesa aliyopewa aliweza kununua semi detached house sasa hiyo pound book uliyosema sina uhakika alifanyia nini.labda kununua kahawa.
Rais Salmin Amoul aliwahi kumsamehe kuwa anaweza kurudi Zanzibar kama Raia wa kawaida na si Sultan sasa mzee Mayala ni msamaha gani wa maridhiano unaomwombea Sultan .
 
Swali la kujiuliza ni kwa nini Oman ilimkataa mara ya kwanza na ikaja kumkubali sasa hivi kwa sababu ya umri.
 
Swali la kujiuliza ni kwa nini Oman ilimkataa mara ya kwanza na ikaja kumkubali sasa hivi kwa sababu ya umri.
Kuuchukua usultan wa Oman, kwani yeye ndio alikuwa boss. Yaani makao makuu ya Oman sultanate yalihamishiwa Zanzibar na Sultan Said Sayid, Sasa wakanogewa, kule akaachwa Sultan mdogo
 
Sultan anakaribishwa tena Zanzibar akikaa hapo muda sio mrefu ataanza kuwasaidia mwishoe wanamrudisha kwenye utawala kisha anafuta sheria zote muhimu kama ukomo wa urais Zanzibar inarudi tena kutawaliwa na Sultani wa Oman
 
Kuuchukua usultan wa Oman, kwani yeye ndio alikuwa boss. Yaani makao makuu ya Oman sultanate yalihamishiwa Zanzibar na Sultan Said Sayid, Sasa wakanogewa, kule akaachwa Sultan mdogo
Dah good knowledge ever. Unaambiwa hata amiwa UK alkuwa akijiita sultan
 
Sultan anakaribishwa tena Zanzibar akikaa hapo muda sio mrefu ataanza kuwasaidia mwishoe wanamrudisha kwenye utawala kisha anafuta sheria zote muhimu kama ukomo wa urais Zanzibar inarudi tena kutawaliwa na Sultani wa Oman
Haaaa haaaa hana fungu alikuwa anadima UK maisha yote kwenye barido . Oman walimgomea kurudi jadi walivyoona kawa mbabu
 
Aje na apewe regulations muhimu, akae kwa kutulia kama PICHA, vipenzi vya usultani, vikamkatikie viuno vyao, na kumsujudu kama MAARAB, ukizingatia kuna weusi tiii kuupita mkaa lakini wanajiona ni weupe pekee kumpita Mwarabu,
ASALAAM.
 
Back
Top Bottom