Volkswagen Polo Gti huyu mnyama acha kabisa!

Volkswagen Polo Gti huyu mnyama acha kabisa!

Mzee hii chuma imetulia barabarani yaani imetulia sio kama Ist
Kuna Toyota zina balaa huyo Golf atamzidi kwa luxury Toyota.
Jaribu kufatilia moto Toyota Runx Rsi Trd au Toyota Yaris Trd hizi zote ni sport car. Wa South wamekubali mziki wake ukimuweka na Golf lazima akae.
 
Kuna Toyota zina balaa huyo Golf atamzidi kwa luxury Toyota.
Jaribu kufatilia moto Toyota Runx Rsi Trd au Toyota Yaris Trd hizi zote ni sport car. Wa South wamekubali mziki wake ukimuweka na Golf lazima akae.
Hawaelewi kwamba Toyota ana version za Sport. Ajaribu vyuma vya TRD aone balaa lake. Toyota ni myama sema mnakutana na gari zake za daily commuters.
 
Mkuu soma tena uzi vizuri tatizo sio spedd angalia chuma inavyoamka kuchanganya + imetulia barabarani mzee huyu mnyama balaa
Mkuu habari ya Toyota Supra hata iwe toleo la nyuma hao wakina Golf,BMW au Benz hawafati.

Hiyo Supra wazungu wenyewe wamenyoosha mikono.Bado habari za jini mkata kamba Nissan Skyline Gt-r.
 
Golf imetengenezwa for sport. Ist ni commuter sio sports car. Suspension walizofunga sio za sport ndio maana unaona haijatulia.
Kweli mkuu watu wanalinganisha hizi Toyota za kawaida na Golf sport.

Aje hajaribu Toyota Supra,Celica,Runx RSI au Yaris Trd.
Huko South wana Toyota zao sport zina badge ya Gazzoo Racing (GR) na ni TRD.
 
umesimeka Mkuu, ninaamini mtafika tunduma kabla ya saa kumi
 
Hujakaa kwenye TRD versions za toyota zenye turbo na stiff suspensions kwa ajili ya sports. Utafurahia show!!!

Anza kukaa kwenye chuma zenye codes za GTE na FTE! Utakuja kutoa ushuhuda.
 
Hao wajerumani wanatamani wawe na Supra au Nissan Skyline Gt-r.

Hizo gari zikipita popote duniani watu lazima watoke nje, ila Golf haina attention.
Nissan Skylin Gt-r nailewa sana hii gari.. bado najipiga piga ipo siku naivuta hii.. shida bara bara zetu huyu mnyama humfaidi sana... hapa hapa tuta hapa na hapa shimo mala tochi mala trafic
 
Endeleeni kukimbiakimbia hovyo barabarani, mkifanya mchezo mtakua wageni wa Yesu jioni hii. Maafande tunasema mwendokasi unaua.

PS: mkipigwa tochi tukiwaambia leta leseni sio unatoa tu lileseni lako, weka 10k kwa chini ebo!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yesu hajawaandalia makao leo tafadhali
 
Back
Top Bottom