Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,403
- 12,775
Usinifokeee tafadhali...nikijiua utashitakiwa kwa kuwa kisababishi.Tangu yale matatizo yakukute akili yako haijakaa sawa kabisa[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usinifokeee tafadhali...nikijiua utashitakiwa kwa kuwa kisababishi.Tangu yale matatizo yakukute akili yako haijakaa sawa kabisa[emoji23]
Ila kweli mkuu, watu huwa tunaponda toyota kumbe kuna matoleo ambayo ni hatar ila cc hatuyataki kwa kushindwa kuyamudu. Ivi ni kweli golf inaweza kuchnganya haraka kuliko mark x au crown?Hawaelewi kwamba Toyota ana version za Sport. Ajaribu vyuma vya TRD aone balaa lake. Toyota ni myama sema mnakutana na gari zake za daily commuters.
Nissan Skyline Gt-r humtendeei haki kumuingiza kwenye hizi ligi za kitoto mkuu
Hawezi mziki wa mark x Vertiga huyo. Mark X ni nyoko! Altezza tu ya 3S-GTE subaru zinakaa!Ila kweli mkuu,watu huwa tunaponda toyota kumbe kuna matoleo ambayo ni hatar ila cc hatuyataki kwa kushindwa kuyamudu. Ivi ni kweli golf inaweza kuchnganya haraka kuliko mark x au crown?
GT-R ni habari ingine.. shida hapa kwetu road zetu na hizo machine haviendani hasa ukitaka kufunguka haswaaGT-R anawacheulisha hata akina Lamborghini. Buggati yenyewe anaifua kwenye sekunde za mwanzo kabla hajachanganya.
Hahahah GT-R njia kati ya Arusha na Babati kuna kipande kimenyooka unapasuka tu.🤣🤣🤣🤣🤣GT-R ni habari ingine.. shida hapa kwetu road zetu na hizo machine haviendani hasa ukitaka kufunguka haswaa
Nilipita hicho kipande siku za karibuni.. kina mashimo mashimo labda kama wame yafukia sasa hivi.. unatembea na gari huku unakodoa macho tuuu... 😀😀😀.. ila kuna kipande flani unaeza tembea hata 320km/hHahahah GT-R njia kati ya Arusha na Babati kuna kipande kimenyooka unapasuka tu.🤣🤣🤣🤣🤣
Tupage updates, umefika wapi SAA hiiMkuu nikitulia nita uedit ngoja nifatilie mchezo kuna mark x imeleta shobo imetulia,,,nadhani muda huu hana hamu.
Watakuwa washakiziba mkuuNilipita hicho kipande siku za karibuni.. kina mashimo mashimo labda kama wame yafukia sasa hivi.. unatembea na gari huku unakodoa macho tuuu... 😀😀😀.. ila kuna kipande flani unaeza tembea hata 320km/h
Sio watu hawayataki hizo Toyota Supra au Matoleo ambayo ni TRD, tatizo bei zipo juu sana. Ndio maana sport car za Subaru watu wanaanza nazo sababu gharama za kununua wanazimudu.Ila kweli mkuu,watu huwa tunaponda toyota kumbe kuna matoleo ambayo ni hatar ila cc hatuyataki kwa kushindwa kuyamudu. Ivi ni kweli golf inaweza kuchnganya haraka kuliko mark x au crown?
Hawezi mziki wa mark x Vertiga huyo. Mark X ni nyoko! Altezza tu ya 3S-GTE subaru zinakaa!