Ibofwee
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 1,305
- 2,452
Hizo 4GR kawatishie wenye premio labda, ila kwa golf ni utopolo tu. Ile clip crown iliachwa na golf ikiwa speed 180 uliiona?
Ila kweli mkuu,watu huwa tunaponda toyota kumbe kuna matoleo ambayo ni hatar ila cc hatuyataki kwa kushindwa kuyamudu. Ivi ni kweli golf inaweza kuchnganya haraka kuliko mark x au crown?