Safi sana...zikusanye nawe uchukue kitu cha mkoloni wetuNdio boss tena tungefika zaidi ya hapo tulisimama Doma kwa dk zaidi ya 40 na Makambako saa 1 tulifika Tunduma saa 12 kasoro badala ya saa 1 asubuhi.
Bado kuna zingine 100 amezibakiza. Nadhani hicho ndicho kilichomsababisha akaanzisha uzi. Huyu mdudu kwa kweli ni hatari mimi nimeshamuona kwa macho yanguSpeed 140 nayo ya kuianzishia thread?
Hiyo golf ilikuwa stock? Hapo ndo mnafeli
Vigali vya kike hivi..View attachment 1511460Wakuu habari za jioni,
Volkswagen Polo Gti
Niko safarini kwenda Tunduma, niko na jamaa yangu kaniomba kampani tuongozane kwenye msiba wa mkwewe...
Hapana tulikuwa na gari za serikali engine 1HZ kutokea pale mnazi bay kunako marine parks tukaelekea mto Ruvuma sasa kabla hujafika mtoni kuna kitambo kirefu kidogo kuna bonge la swamp kama mashamba ya mpunga vileMkuu Mlikuwa na Land Cruiser mkonga nje yenye 1hz au 14B au 2H kama ni gari za watu binafsi wengi Land Cruiser wanazonunua Msumbiji au Malawi ni zile zenye 2H.
Njia ya Mpapa kwenda Dar Porini mpaka Msumbiji kwenye machimbo kule wengi wanatumia Land Rover 109/110..
Hawataki kukubali kwamba cruiser zilikaa 109 ikapitaHapana tulikuwa na gari za serikali engine 1HZ kutokea pale mnazi bay kunako marine parks tukaelekea mto Ruvuma sasa kabla hujafika mtoni kuna kitambo kirefu kidogo kuna bonge la swamp kama mashamba ya mpunga vile
Sawa, Mkuu 1HZ mpaka inakwama labda iwe imekalia diff. Ila madereva wengi kwenye kutumia 4WD inakuwa changamoto na Land Cruiser ukiwa humo kwenye swamp usiibembeleze sana. Na inatabia ya kuhama au kuzunguka sasa dereva mwingine anataka anyooke kama yupo lami.Hapana tulikuwa na gari za serikali engine 1HZ kutokea pale mnazi bay kunako marine parks tukaelekea mto Ruvuma sasa kabla hujafika mtoni kuna kitambo kirefu kidogo kuna bonge la swamp kama mashamba ya mpunga vile
Dereva wa Cruiser ndio alikalisha gari.Hawataki kukubali kwamba cruiser zilikaa 109 ikapita
Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Injinia mwenye paso lazma uishie 60[emoji28][emoji28]Kwasisi wa speed mwisho 80 je...mim hata unifanyaje sikimbiz gar.hyo 80 yenyew mara moja moja sana mi nacheza sana 60
Mimi niliwawahi ondoka bukoba saa kumi na mbili na nusu asubuhi saa sita usiku niko dar nilitembea almost 1700kms na sikuwa na benz wala sports car nilikuwa na toyota allion. Na niliweka kituo kahama na dodoma gari ilikuwa kuna muda inasumbua ila ilikuwa ikichanganya imechanganya balaa kumbe ilikuwa imeharibika oxygen sensor sema ilisababisha ikawa inakula wese kama v8 yani nilitumia mafuta kama ya lak tano kasoro mpaka nafika dar wakati kwenda nilitumia mafta kama ya lak 2 hivi.Niliwahi toka Dar hadi Makambako na Mercedes Benz . Ilikua ni burudani barabarani.
Mbezi nilitoka saa 1 hivi jioni, saa 11 niko makambako. Na tulilala njiani kama masaa mawili kasoro.
Gari nitazomiliki panapo Majaliwa
1. Mercedes Benz (zile za chini)
2. BMW ×6
3. Range Rover Sport
Lakini nitaanza na Toyota kupata expiriensi[emoji2]
View attachment 1511303
Ulianzia sehemu gani mkuu? Dar -bukoba ni 1400+Mimi niliwawahi ondoka bukoba saa kumi na mbili na nusu asubuhi saa sita usiku niko dar nilitembea almost 1700kms na sikuwa na benz wala sports car nilikuwa na toyota allion. Na niliweka kituo kahama na dodoma gari ilikuwa kuna muda inasumbua ila ilikuwa ikichanganya imechanganya balaa kumbe ilikuwa imeharibika oxygen sensor sema ilisababisha ikawa inakula wese kama v8 yani nilitumia mafuta kama ya lak tano kasoro mpaka nafika dar wakati kwenda nilitumia mafta kama ya lak 2 hivi.
nilianzia bukoba mjini ila according to google map ni zaidi ya hapo hata mimi niliwahi fikiria ni 1500km.Ulianzia sehemu gani mkuu? Dar -bukoba ni 1400+
Mkuu ukitokea hapo dar kwenda bukoba via mwanza-geita-chato-muleba ni 1600+,nilianzia bukoba mjini ila according to google map ni zaidi ya hapo hata mimi niliwahi fikiria ni 1500km.
Nilipita kahama nikapita chato nikapita muleba labda ndiyo sababu nilikuwa ninafuata googlemap wakati naenda same wakati narudi. Wakati naenda nilipofika tinde googlemap ikanipoteza nikajikuta niko tabora mjini ikabidi nilale tabora asubuhi nikarudi mpaka tinde ndiyo nikaunga tenaMkuu ukitokea hapo dar kwenda bukoba via mwanza-geita-chato-muleba ni 1600+,
Dar-kahama-bukoba haiwezi kuwa 1700 ni 1400+ .yaani hiyo ni gear after gear hakuna cha Google map
[emoji3][emoji3][emoji3] pole mkuu! Uwe unasoma vibao njiani vinaweza kuwa msaada!Nilipita kahama nikapita chato nikapita muleba labda ndiyo sababu nilikuwa ninafuata googlemap wakati naenda same wakati narudi. Wakati naenda nilipofika tinde googlemap ikanipoteza nikajikuta niko tabora mjini ikabidi nilale tabora asubuhi nikarudi mpaka tinde ndiyo nikaunga tena
Bwana yani nilijiona mjinga kweli[emoji3][emoji3][emoji3] pole mkuu! Uwe unasoma vibao njiani vinaweza kuwa msaada!
Hapo unajidanganya mkuuMzee baba kuna Toyota zinatembea huyo Vw Golf mchumba tu, uje ujaribu mziki wa Toyota Celica yenye 3s-gte.
Au Toyota yeyote yenye 1Jz-Gte iwe ni Toyota Supra,Mark 2,Cresta au Tourer V. Achana na hizo 1jz-ge au 1jz-fse zilizo kwenye Brevis.