mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Hahah huo ni uchafu,hakuna SUV hapo.Soko la SUV limeingiliwa sana sahizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahah huo ni uchafu,hakuna SUV hapo.Soko la SUV limeingiliwa sana sahizi
AiseeMotivational speaker Katika ubora wake
Alex Massawe(AM Hotel).Unyama tu, hii kuna mmbongo aliagiza ilivyotoka tu aisee
Hivi mnaongelea wanajeshi ma private wa Tz au wapi wapi hao wanaondesha hizo humvee/G-wagon?No.. hawa private wanasukunaga G wagon sio mara moja nimepishana nazo zina plate nyeusi zile
0km kwa Bei hio utapata hio Gari hapo chini.,mambo ya huyo mjerumani achana nayo.0 km?
Mkuu nimekutana na zile Jeep za jeshi alizopewa mwendazake juzi Kati kabla hajakata Moto.Hilo nakataa sio kwa hii hapa mjomba.
View attachment 1842110
kwangu ni toleo bora toka nilipoanza kuiona hio gari enzi za Bony & Clyde ya jigga
Corolla hell no...[emoji134][emoji134][emoji848]0km kwa Bei hio utapata hio Gari hapo chini.,mambo ya huyo mjerumani achana nayo.
View attachment 1842532
Hakuna Jeep pale,zile ni Gari za kichina.Mkuu nimekutana na zile Jeep za jeshi alizopewa mwendazake juzi Kati kabla hajakata Moto.
Zimenivutia Sana naweza picha zake
Hahah kitu sildi mkuu.Corolla hell no...[emoji134][emoji134][emoji848]
Mbona bei hivoo?
Hata kama ni bikraa[emoji848]
Ila Corolla mbaya jamani mweeh[emoji848][emoji848]Hahah kitu sildi mkuu.
😄😄😄 Na ndio Gari inayoshikiria record ya dunia ya kwa kuuzwa kwa wingi kuliko Gari yoyote Ile duniani.Ila Corolla mbaya jamani mweeh[emoji848][emoji848]
Hivoo??[emoji1][emoji1][emoji1] Na ndio Gari inayoongoza kwa kuuzwa kwa wingi kuliko Gari yoyote Ile duniani.
😂😂😂0km kwa Bei hio utapata hio Gari hapo chini.,mambo ya huyo mjerumani achana nayo.
View attachment 1842532
Tunaendesha Magari ya kijapan basi Tu hakuna namna Ila kama maisha yametulia huwezi kumiliki mjapan hata siku mojaWajapani wenzako wa JF wanajua kama una mawazo kama haya?😁
Kuna siku nimekutana na Volkswagen Tuareg V8 anaendesha mhindi aisee Ile mashine ni Balaaa...Mzee baba huoni au hujala mchicha siku nyingi?😂😂😂!!!
Hicho kiuchafu cha TaTa hapo juu kimekaa kama demu anakupa mbuzi kagoma utafananisha na Touareg na huo usafiri wa hapo chini!
Kwa hio inawezekana hata huko Ulaya(ambako Toyota wameshika nafasi ya 2 kwa mauzo) na huko US ambako Toyota ni 1 ya Top sellers nako Maisha yao inaonekana hayajatulia sio mkuu?Tunaendesha Magari ya kijapan basi Tu hakuna namna Ila kama maisha yametulia huwezi kumiliki mjapan hata siku moja
Nilikuwa sijui hicho kitu aisee....Kwa hio inawezekana hata huko Ulaya(ambako Toyota wameshika nafasi ya 2 kwa mauzo) na huko US ambako Toyota ni 1 ya Top sellers nako Maisha yao inaonekana hayajatulia sio mkuu?
MashineHii gari bana kila nikiiona inanipa hasira sana za kutafta hela wazee ni gari flani ambayo ni sort of a cross over SUV ila design yake imekaa makini sana kwa picha inaonekana ndogo ila in reality its a huge machine. Nimeiweka kwenye wishlist yani ikatokea siku nimepiga mshindo tu imma cop this whip!
View attachment 1841907View attachment 1841908View attachment 1841909
Ukiniambia ni gari gani naiwaza na kuiota kuja kuimiliki basi this is it. Its a dream hasa ile V6! Wenye uzoefu na hii gari karibuni mnipe mchanganuo wa wasifu wake zaidi sababu muda ukifika sitajiuliza mara 2!
Kwa hio inawezekana hata huko Ulaya(ambako Toyota wameshika nafasi ya 2 kwa mauzo) na huko US ambako Toyota ni 1 ya Top sellers nako Maisha yao inaonekana hayajatulia sio mkuu?