Volkswagen Touareg gari ambayo imetokea kunikonga nyoyo sana of all the German makes

Volkswagen Touareg gari ambayo imetokea kunikonga nyoyo sana of all the German makes

0km kwa Bei hio utapata hio Gari hapo chini.,mambo ya huyo mjerumani achana nayo.

Screenshot_20210705-185021.jpg
 
Mzee baba huoni au hujala mchicha siku nyingi?😂😂😂!!!

Hicho kiuchafu cha TaTa hapo juu kimekaa kama demu anakupa mbuzi kagoma utafananisha na Touareg na huo usafiri wa hapo chini!
Kuna siku nimekutana na Volkswagen Tuareg V8 anaendesha mhindi aisee Ile mashine ni Balaaa...
Wazungu wako mbali Sana Kwenye technology ya Magari
 
Kwa hio inawezekana hata huko Ulaya(ambako Toyota wameshika nafasi ya 2 kwa mauzo) na huko US ambako Toyota ni 1 ya Top sellers nako Maisha yao inaonekana hayajatulia sio mkuu?
Nilikuwa sijui hicho kitu aisee....
Toyota ni top sellers in US? Kwa Magari gani ambayo ameuza Hadi kufikia hivyo,
Ila sishangai Kwa USA kuuza Magari mengi kwasabb hawa jamaa ni choka mbaya Tu Kwa asilimia kubwa
 
Hii gari bana kila nikiiona inanipa hasira sana za kutafta hela wazee ni gari flani ambayo ni sort of a cross over SUV ila design yake imekaa makini sana kwa picha inaonekana ndogo ila in reality its a huge machine. Nimeiweka kwenye wishlist yani ikatokea siku nimepiga mshindo tu imma cop this whip!

View attachment 1841907View attachment 1841908View attachment 1841909


Ukiniambia ni gari gani naiwaza na kuiota kuja kuimiliki basi this is it. Its a dream hasa ile V6! Wenye uzoefu na hii gari karibuni mnipe mchanganuo wa wasifu wake zaidi sababu muda ukifika sitajiuliza mara 2!
Mashine
 
Back
Top Bottom