Ebana eeh[emoji848]Halafu poyoyo mmoja wa kutoka mabibo mwisho anadiss GDP ya $63,000 kwa mwaka! Hio ni Equivalent kama na 150M za kibongo bongo kwa kila mwananchi mmoja wa Marekani[emoji28][emoji28][emoji28]
Hahahaha jamaa wanahisi zile toyota za bati za makarai kama Vits na Ist ndio zinauzwa Marekani kule 😅😅😅? Kule ni Corrolla iliotengenezwa kwa viwango, Rav 4 za uhakika sana!Toyota zinazouzwa ulaya na Marekani hazifananj na hizi zetu.
Usije ukaona zote zimeandikwa toyota ukajua ziko sawa.
Asilimia kubwa ni choka mbaya Kwa level za wazunguChoka mbaya ni wamarekani?
Angalia wazungu wanaotokea nchi za Scandinavia alafu uwafananishe na wazungu wahuni wa marekaniKuwa serious mzee!
Hii gari sijui kwanini naionaga ina sura mbaya
Zipo kibao kwa sasa hela yako tuuHii gari bana kila nikiiona inanipa hasira sana za kutafta hela wazee ni gari flani ambayo ni sort of a cross over SUV ila design yake imekaa makini sana kwa picha inaonekana ndogo ila in reality its a huge machine. Nimeiweka kwenye wishlist yani ikatokea siku nimepiga mshindo tu imma cop this whip!
View attachment 1841907View attachment 1841908View attachment 1841909
Ukiniambia ni gari gani naiwaza na kuiota kuja kuimiliki basi this is it. Its a dream hasa ile V6! Wenye uzoefu na hii gari karibuni mnipe mchanganuo wa wasifu wake zaidi sababu muda ukifika sitajiuliza mara 2!
Kwa mbali unaweza sema forester bodi naona kama wameibiana ibianaHii gari bana kila nikiiona inanipa hasira sana za kutafta hela wazee ni gari flani ambayo ni sort of a cross over SUV ila design yake imekaa makini sana kwa picha inaonekana ndogo ila in reality its a huge machine. Nimeiweka kwenye wishlist yani ikatokea siku nimepiga mshindo tu imma cop this whip!
View attachment 1841907View attachment 1841908View attachment 1841909
Ukiniambia ni gari gani naiwaza na kuiota kuja kuimiliki basi this is it. Its a dream hasa ile V6! Wenye uzoefu na hii gari karibuni mnipe mchanganuo wa wasifu wake zaidi sababu muda ukifika sitajiuliza mara 2!
VW ni gari ambazo ni cheap to own and maintain kulinganisha na most of EU brands.
Ukishindwa VW basi hutaweza gari zote za EU.
Na pia ni cheap to buy. Unapata specs kubwa kwa hela ndogo.
Hahahahahah kwahio mkuu haikusumbui kabisaGari nzur chief naitumia baada ya kutoka bmw
Ukiichukua sema tukuunge grp letu la VW itakurahisishia kupata mafundi wa uhakika
Shida ya hizi kitu ni ukikosea upate fundi uchwara utaomba poo
Mmh! Gari ka kibanda Cha chipsi!Hilo nakataa sio kwa hii hapa mjomba.
View attachment 1842110
kwangu ni toleo bora toka nilipoanza kuiona hio gari enzi za Bony & Clyde ya jigga
Ndoto haitaki kuhama kwenye Disco 4/2016 aiseeeYule jamaa yako alieagiza x6 kodi zikapanda iliishiaje ile ngoma [emoji23] hukutupa mrejesho
Jamaa ni bonge la jambazi mixer tapeli mpk alikimbia nchi lkn ndo hivo Tena Kama ni dough anayo.Jamaa ni Don aisee
Kuna mishen walikua nazo hizi G wagon 10,wakawa wanaziuza,nikatia mguu pale,mdau wangu wa ndani akanitonya zote zimebebwa na wazee wa kitengo siwez pata na nisitarajie,na bei ilikua mkasi hatariItakuwa wanauziana ina maana inanunuliwa na jeshi kisha baada ya muda wanauziana private sema benz ni jeans mzee!
Choka mbaya ukimaanisha nini?sijaelewa hapo.Nilikuwa sijui hicho kitu aisee....
Toyota ni top sellers in US? Kwa Magari gani ambayo ameuza Hadi kufikia hivyo,
Ila sishangai Kwa USA kuuza Magari mengi kwasabb hawa jamaa ni choka mbaya Tu Kwa asilimia kubwa
Wanaita LexusNiliona Khloe Kardashian ana harrier tako la nyani nikashangaa[emoji848][emoji848]
Nikasema hadi huu ushudu Khloe anausukuma?