Volkswagen Touareg gari ambayo imetokea kunikonga nyoyo sana of all the German makes

Halafu poyoyo mmoja wa kutoka mabibo mwisho anadiss GDP ya $63,000 kwa mwaka! Hio ni Equivalent kama na 150M za kibongo bongo kwa kila mwananchi mmoja wa Marekani[emoji28][emoji28][emoji28]
Ebana eeh[emoji848]
 
Toyota zinazouzwa ulaya na Marekani hazifananj na hizi zetu.

Usije ukaona zote zimeandikwa toyota ukajua ziko sawa.
Hahahaha jamaa wanahisi zile toyota za bati za makarai kama Vits na Ist ndio zinauzwa Marekani kule 😅😅😅? Kule ni Corrolla iliotengenezwa kwa viwango, Rav 4 za uhakika sana!
 
Zipo kibao kwa sasa hela yako tuu
 
Kwa mbali unaweza sema forester bodi naona kama wameibiana ibiana
 
Gari nzur chief naitumia baada ya kutoka bmw
Ukiichukua sema tukuunge grp letu la VW itakurahisishia kupata mafundi wa uhakika
Shida ya hizi kitu ni ukikosea upate fundi uchwara utaomba poo
Hahahahahah kwahio mkuu haikusumbui kabisa
 
Hongera sana

Good Taste

Basi mi my dream car ni Toyota Fortuner-New Model....zingatia New Model..
Madly in loove
Sijawahi penda Toyota until i saw this car

I Used to love BMW X3 New Model wth sunroof..

Now i have 2 Favorites
 
Itakuwa wanauziana ina maana inanunuliwa na jeshi kisha baada ya muda wanauziana private sema benz ni jeans mzee!
Kuna mishen walikua nazo hizi G wagon 10,wakawa wanaziuza,nikatia mguu pale,mdau wangu wa ndani akanitonya zote zimebebwa na wazee wa kitengo siwez pata na nisitarajie,na bei ilikua mkasi hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…