Volkswagen Touareg gari ambayo imetokea kunikonga nyoyo sana of all the German makes

Volkswagen Touareg gari ambayo imetokea kunikonga nyoyo sana of all the German makes

Vijana wa ma subaru tunapenda sana hayo mambo kama tumerogwa flani vilee πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Hahahah kweli bana nimeona IST juzi ina ngao kama ndege! Nikashangaa af jamaa anaichochea balaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ anakatisha mataa ya makaburini anaitafuta Mwenge!
Hayo madude ya vijana mie niko tofauti kidogo ndio maana Touareg inanikosha huwezi kuta ina miplastic ya ajabu ajabu!
 
Hahahah kweli bana nimeona IST juzi ina ngao kama ndege! Nikashangaa af jamaa anaichochea balaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ anakatisha mataa ya makaburini anaitafuta Mwenge!
Hayo madude ya vijana mie niko tofauti kidogo ndio maana Touareg inanikosha huwezi kuta ina miplastic ya ajabu ajabu!
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜ƒ vijana wanafanya vile kujipa faraja kwa mengi mkuu. Huwezi mkuta ana Toureg V6 anamwazo hayo.. automatic unakuta mtu ambae yupo smart kichwani na mwilini.. ila shida ni sie pangu pa kavu lazima mtaa ututambue..
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜ƒ vijana wanafanya vile kujipa faraja kwa mengi mkuu. Huwezi mkuta ana Toureg V6 anamwazo hayo.. automatic unakuta mtu ambae yupo smart kichwani na mwilini.. ila shida ni sie pangu pa kavu lazima mtaa ututambue..
Hahahah kuna dogo mmoja alikuja nayo pale Arusha Car wash juzi ya blue kama ile A4, dogo smart kichizi yani! Ukimcheki kabody kama pharell williams katulia na laptop yake kali na wireless headset zake hana habari na mtu! Sasa ingekuwa dereva wa Subaru dah kelele zake tusingekaa
 
Hahahah kuna dogo mmoja alikuja nayo pale Arusha Car wash juzi ya blue kama ile A4, dogo smart kichizi yani! Ukimcheki kabody kama pharell williams katulia na laptop yake kali na wireless headset zake hana habari na mtu! Sasa ingekuwa dereva wa Subaru dah kelele zake tusingekaa
Naona unarusha mawe gizani πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Na ka fungua vyetu huwa tuna weka kwenye viuno, piga ka pensi flani hivi kama mbele... hamtuambii kitu mtu mbad πŸ˜€πŸ˜€...
 
Naona unarusha mawe gizani πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Na ka fungua vyetu huwa tuna weka kwenye viuno, piga ka pensi flani hivi kama mbele... hamtuambii kitu mtu mbad πŸ˜€πŸ˜€...
Hahahah kuning’iniza funguo naonaga kama utoto! Gari ni kitu basic siku hizi sio lazma utafute identity kwa kuning’iniza funguo ku approve kuwa unalo!
 
πŸ˜€πŸ˜€ binafsi mambo yakikaa sawa nitanunua gari ya mzungu,mjapenga atakua kama back up tu
Mjapan hakikisha yupo Uwani kwako maana atakuvusha kipindi cha dhiki πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kuna siku nilishawaambia Mjapan ni kama wife material na mzungu ni slay queen! Sasa kama unaelewa tofauti za hao watu wawili hutapata tabu!
 
Hahahah kuning’iniza funguo naonaga kama utoto! Gari ni kitu basic siku hizi sio lazma utafute identity kwa kuning’iniza funguo ku approve kuwa unalo!
Kuna gari basic mkuu, na kuna magari yasio basic πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€.. G Wagon 2021 sio basics chief.. ila Staret ni basics need kabisa πŸ˜€πŸ˜€
 
Back
Top Bottom