mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ewaaaaa mule mule...Hahahah unapenda kunesa nesa hewani [emoji28][emoji28][emoji28] aisee hio feeling ndio hata mie ninayoipenda sema upate ambalo liko stable with anti roll bars kama za mjerumani! Maana mie napenda kukimbia hasa nikiwa route ndefu gari isepe [emoji28][emoji28][emoji28]!!! Touareg performance inakup hadi 280km/h
Si ndo maana hayo maisha nayaona kwenye movie, wazungu kumpa gari mwanamke ni kitu cha kawaida hata wakiachana kesho.ila mbongo ikitokea akakupa gari usitegemee akupe kadi😂Ujue gari kwa wengine kama ni simu mkuu.. kitu kidogo sana kwenye wenye roho za ki rasi.. mapenzi kujengana hata kama mtaachana.. kama hela ipo una mpa tu ... 😀😀😀
Hahah leo nimepumzika,mtoto wa shemeji haendi shule leo(public holiday).Najua nigga...we si una phonex halafu unaosha gari za shemeji yako[emoji16][emoji16]
Prado mchagaa ndio zilikua na shida ya ma ball joints,Prado za siku hizi umeziona zilivyo?Ewaaaaa mule mule...
Kwenye kunesa nesa Body la Nissan ndio mwenyewe,
Prado sijawahi kuendesha lkn wamiliki naona wanalalamika kuwa ukiwa kwenye mwendo mkali ni utafikiri unasukumwa na kitu kwa nyuma full kuweweseka, na ndio maana wanapiga ngwala sana! Sijui ni hizo suspensions
Product zipo nyingi mkuu , hiyo ya utelezi mawazo yako tuProduct gani zaidi ya service ya utelezi 😅😅😅 maana ndio kitu pekee utapewa tu na kuitwa majina mazuri!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16] muhuni weweHahah leo nimepumzika,mtoto wa shemeji haendi shule leo(public holiday).
Hebu mwambie huyo... wanawake wako full package anaweza hata kukulisha nini utelezi[emoji848]Product zipo nyingi mkuu , hiyo ya utelezi mawazo yako tu
Nimeziona dear...so hizi za sasa zimetulia?Prado mchagaa ndio zilikua na shida ya ma ball joints,Prado za siku hizi umeziona zilivyo?
Hahah mi sijui Kama jomba ni msukuma,najua tu ni wa hapa mjini daslam.
😀😀😀 ukitoka kwa mjapan ukaingia kwa mzungu.. lazima upagawe mzungu yupo serious na kazi zakeMkuu acha kabisa..
Ujue nyie ( wewe na holy) mnalionaga tu hamjawahi kuingia ndani na kulitekenya (kuwasha), ukafungua music [emoji134][emoji134]
Gari lile ni ndege ya ardhini, kitu kimetulia barabarani, sterling laini soft kama ngozi ya Zari
Aah acha nitafute hela asee, yule mzungu anaenjoy asee na huu mchuma[emoji848]
Wanaume wa Kenya Wana msemo wao wa "Sisi tuna mautamu yetu,Kule tunafuataga ma utelezi tu".Hebu mwambie huyo... wanawake wako full package anaweza hata kukulisha nini utelezi[emoji848]
😀😀😀😀😀😀.. wasariti ndio wazuri unapata sababu ya kuwaacha ukiwachokaHahahahah unanifunga mota nisije nikawa chizi mzee 😅 unampa demu funguo kisha anakusaliti baada ya mwezi! Smart911 ana uzoefu wa vibinti vya mjini akina Mahondaw😂😂😂 baada ya kugawa zawadi za maua ya pesa!
Hizi ni superb mkuu.Nimezio dear...so hiyo hizi za sasa zimetulia?
Alafu utelezi ni product ya mwisho kabisa.. kama ni namba ipo mwisho mwisho na kufunga darasa.. kuna product makini zaidi 😀😀Hebu mwambie huyo... wanawake wako full package anaweza hata kukulisha nini utelezi[emoji848]
....ila binafsi sijawahi ona mbio za saloon car honestlyNi kweli, kabisa. Pia wengine tunapenda ma mbio that why sedan inabaki kuwa namba moja.. SUV ni tamu sana
Haa haa haaWanaume wa Kenya Wana msemo wao wa "Sisi tuna mautamu yetu,Kule tunafuataga ma utelezi tu".
Hana utani kabisa[emoji3][emoji3][emoji3] ukitoka kwa mjapan ukaingia kwa mzungu.. lazima upagawe mzungu yupo serious na kazi zake
Ngoja aje[emoji16]Hahah mi sijui Kama jomba ni msukuma,najua tu ni wa hapa mjini daslam.
No pun intended.