Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
TFF waichunguze hii mechi.
Nina imani ukweli utapatikana na wahusika wataadabishwa.Bao8 kwa bila alafu tukae kimya?
utakua ni upuuzi.Hii mechi kuna namna tuu.NASEMA HAIWEZEKANI NYAMBAFU!!
Fuatilia historia, Yanga kumfunga Coastal Union nyingi si mara ya kwanza. Coastal huponzwa na jezi yake kama vile mbega alivyoponzwa na uzuri wake.