Mkuu mimi sijasema siipendi simba
Mimi ni shabiki na mwanachama wa Simba
Ninachokitaka mimi ni extent ya matatizo ifanyiwe kazi
Kitakachotokea sasahivi ni viongozi watajificha kwenye siasa
Next match tunapigwa....
Ft prisons 6-simba 3
Ilikuwa inafanya nini muda wote huo huko Shinyanga??
Mkuu ni wanasiasa tu wanaotatua matatizo kwa kuleta matatizo mengine, tatizo la Simba lililopo haliwezi kutatuliwa kwa Simba kufungwa, siamini kama Simba ikifungwa ndo hela ya kulipa mshahara itapatikana na bado siamini Simba ikifungwa ndo suluhisho litapatikana.
ft prisons 6-simba 3
Mimi nimesema hapa kwenye post zangu za mwanzo ...kina Masuke hawanielewi...wanaona niko negative na timu
Simba kuna matatizo makubwa
Kushinda hivi kwa kubahatisha ndio kichaka cha viongozi kuficha uchi
Na mficha uchi hazai
Habari zisizo thibitishwa : captain Komba amefariki Dunia.
Mimi nimesema hapa kwenye post zangu za mwanzo ...kina Masuke hawanielewi...wanaona niko negative na timu
Simba kuna matatizo makubwa
Kushinda hivi kwa kubahatisha ndio kichaka cha viongozi kuficha uchi
Na mficha uchi hazai
Ninaomba sana simba leo tufungwe...naomba sana tufungwe...ili viongozi wa timu wakubali kukaa chini na kujua tatizo ni nini.
Kushinda leo kutaendeleza mtindo wa viongozi wa simba kuendelea kupiga siasa kuwa mamb yatakuwa sawa.
Leo mimi nashabikia Prisons.
cc Makoye Matale Amavubi grafani11 sembo barafuyamoto
Timu haina Pesa...wachezaji hawajalipwa mishahara....Wameenda kuchenza ndondo kahama ili wapate pesa za mafuta ya gari
Habari zisizo thibitishwa : captain Komba amefariki Dunia.
Kwa hili mkuu mimi sitakaa nikuelewe, unachotaka kusema wewe ni sawa na shule haina walimu na bado wanafunzi wanao uwezo wa kufanya vizuri kwenye mtihani wao kutokana na kujitafutia wenyewe au kuwa na uwezo mkubwa kiakili sasa anatokea mtu awaambie wafanye mtihani vibaya ili tatizo la kutokuwa na walimu litatuliwe.
Tatizo kweli lipo na kama timu inapata nafasi ya kushinda acha ishinde huku wahusika wakitafuta namna ya kutatua hilo tatizo, je vipi kama tatizo lisipoisha mapema na mechi ambazo timu ilikuwa na uwezo wa kushinda na wewe unataka ifungwe kwa hiyo iendelee kufungwa tu hadi mwisho wa ligi?
Na hata mimi najua matatizo hayatatuliwi kwa simba kufungwa.....na sijasema kufungwa ndio kunatatua matatizo
Kufungwa ni kitu kitakachotufanya au kutulazimisha tukae chini tuyaangalie matatizo yote na kuyapatia ufumbuzi
Kuendelea kushinda kwa kubahatisha ni kichaka kitakachofanya hata tusione ulazima na uharaka wa kukaa na kutatua matatizo
ngoja ziendelee kuwa zisizothibitishwa.....kwani zinaweza kuvuruga hali ya hewa.
kumbe kuna tatizo kubwa sana klabuni
Jamani John Komba