VPL: Simba v Prisons 28-02-2015

Ewe ibilisi unayeishi katikati ya bahari ya Hindi, endelea kuipa simba itoe droo ama ifungwe mechi ya leo. Ewe Mungu mwenyezi wa mbingu na nchi isaidie timu ya maafande ya Prisons ishinde au hata ipate point 1 leo. AMEN....... !!
 
Kuna kipindi walikuwa na kipindi pia ijumaa.

Mkuu kama ni ijumaa sawa, je ni live au recorded? halafu saa nyingine wahabari hawa sio wa kuwaamini sana, huwa wanapenda sana kuongeza chumvi tena wanapenda kweli migogoro ili wapate cha kutangaza na kuandika.
 
TANZIA🙁imethibitishwa)

Mbunge wa Mbinga na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya C CM Kapteni John Damian Komba amefariki dunia ktk Hospitali ya TMJ, Dar.

Huo ndio mwisho wa binadamu na sasa hana msaada tena, anatutegemea sisi tumuombee asemehewe makosa yake.Kifo ni fundisho kwa sisi tuliobaki kumuelekea Mwenyezimungu kwa kufanya IBADA.Atalipwa kwa mema yake.
 
Inasemekana simba imemchezesha ibrahim hajib kimakosa kwamba ana kadi 5 za njano......sitanii
 
Emmanuel Okwi anaipatia Simbasc36 goli la 4.
 
Hizo zitakuwa za haruc.

Simba inashuka kwenyeUwanja wa Taifa, Dar,leo kucheza na Prisonskatika mchezo wa LigiKuu Bara lakiniitawakosa nyota wakewanne tegemeo.Simba ambayo inasakaushindi baada yamchezo uliopitakupoteza dhidi yaStand United, ipokwenye mazingiramagumu ya kuchukuaubingwa kwani mpakasasa katika michezoyake 15 iliyoshukauwanjani, imefanikiwakushinda nne, sarenane na kupoteza tatu.Wachezaji ambaowanatarajiwakukosekana kwenyemchezo huo ni bekiMganda, Juuko Murshid,washambuliaji IbrahimAjibu na SimonSserunkuma na kiungoAbdi Banda, wotewakikabiliwa na sababutofauti.Kocha wa Simba, GoranKopunovic amesemakukosekana kwawachezaji hao ni pigokubwa kwao kwanimchezo huo ni muhimulakini anashukuruMungu kwa kuwa kunawachezaji tayariwameandaliwa kwa ajiliya kuziba nafasi zaona watahakikishawanatimiza lengo laola kubakiza pointitatu nyumbani iliwaweze kujiweka kwenyenafasi nzuri katikamsimamo wa ligi ambaposasa wapo nafasi yanne wakiwa na pointi20.“Juuko ana maumivu yanyama za paja, Ajibuna Banda wana kaditatu za njano wakatiSimon amerejea kwaokwenye msiba wa mamayake huko Kampala,Uganda.“Nasikitika kwa kuwanitawakosa wachezajihao lakini sina jinsi,nitakachokifanya nikuyaziba mapengo yaona ninaamininitafanikiwa kuibukana ushindi kesho(leo),” alisemaKopunovic.
 
Inasemekana simba imemchezesha ibrahim hajib kimakosa kwamba ana kadi 5 za njano......sitanii
Unamaanisha kuwa hata game za nyuma alizocheza alipangwa kimakosa??
Kama ipo tutasikia, hizi habar zikiwa za kweli basi uongoz utawajibika kwa hili.
 
Singano anaipatia Simba goli la tano.Simba 5-0 Prison
 
85' Simba 5-0 Prisons ( Ibrahim Hajib 3x, Emmanuel Okwi na Ramadhan Singano)
 

Kwa hiyo kocha alisema kwamba ana kadi tatu za njano na bado akampanga, huyo kocha si atakuwa kichaa. Kuna haja ya kuwapa mtihani kila mara hawa watu wa media wanapenda sana kuongeza chumvi.
 
Haya mambo gani sasa? Mbeya mjipange you know hamna timu tena.
Kuna watu watatoka mafichoni, karibuni jukwaani tena...
 
Kwa hiyo kocha alisema kwamba ana kadi tatu za njano na bado akampanga, huyo kocha si atakuwa kichaa. Kuna haja ya kuwapa mtihani kila mara hawa watu wa media wanapenda sana kuongeza chumvi.
Ila kwa viongoz wa timu zetu usishangae......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…