VPL updates, leo tar. 16.03.2015: Azam vs Ndanda

VPL updates, leo tar. 16.03.2015: Azam vs Ndanda

Dak ya 65, azam 1-0 ndanda.
 
Dak ya 70, azam 1-0 ndanda.
 
Naomba sababu ya kunyimwa ile penalt ndanda
 
Ushabiki wa soka ni homa ya kupanda na kushuka. Masuke na wenzake walikuwa wenye furaha Jumamosi zote mbili zilizopita, nasi tukapata furaha jana huku wale wa upande mwingine wakipandwa na hasira na kujiuliza kwa nini Yanga wapate ushindi kama ule.

Leo sisi na wao bila shaka tuko Ndanda FC ambapo hadi HT hali si shwari kwa upande wetu na wao pia.

Enyi Ndanda FC msituvurugie furaha yetu, angalau sawazisheni basi mioyo yetu utulie.

Kweli mkuu mi jana nilichukia sana eti mmeshinda goli tano, hata bia sikunywa nililala tu nyumbani kwa hasira.
 
Gidion Benson In
Nassoro Kapama 0ut
 
Kweli mkuu mi jana nilichukia sana eti mmeshinda goli tano, hata bia sikunywa nililala tu nyumbani kwa hasira.
Aisee umenichekesha sana, inaonekana hao warhodesia uliwaamini sana.
 
Njano kwa pascal wawa dak ya 78.
 
Sekeseke kwa goli la azam, dua za kutosha kwa wanamtwara wote, wanasimba na wanayanga wote.
 
Mkuu huzuni zinazidiana, kuna huzuni zingine ni fake na zingine ni genuine. Huzuni yenu ya jpili ya tarehe nane huwezi kuilinganisha na huzuni ya wanasimba ya jana.

Na leo endapo Azam wakishinda bado huzuni zetu wote wawili haziwezi kuwa sawa na huzuni yenu ya jpili ya tarehe nane. Hata huzuni yenu ya juzi sio sawa na ile ya jpili ya tarehe nane.

Tena kigoli kimoja cha Okwi kilichotupiwa wavuni nje ya 18 kinauma sana. Siku ile sikuangalia mechi nilikuwa safarini.

Juzi niliona Okwi akitupia bao la mbali kwa Mtibwa, tena dakika za majeruhi, iliniuma sana hadi nilitoa machozi kama ya mbogo bila kutarajia.

Nakubali Mkuu, maumivu yanatofautiana.
 
Dak ya 82, azam 1-0 ndanda.
 
Kipre tchetche 0ut
Amri kiemba In
 
Wakishinda mechi azam watakuwa na point ngapi?
naona kama ubingwa wanautaka tena hawa watu.
 
Kigi makasi anaingia kwa upande wa ndanda.
dak ya 85.
 
Back
Top Bottom