Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
Hapa inabidi Azam mkikutana nao mtoe draw halafu tukikutana nao sisi inabidi tuwafunge ili msimamo ulete heshima kidogo.
Poa tu, Simba mtakuwa mmejihakikishia nafasi ya 2 mnayoitamani sana.
Ubingwa wa Yanga ameushikilia Simba na Yanga ameshikilia nafasi ya pili ya Simba.
Hakuna shaka mwaka huu hamtawaachia Azam kama mwaka jana.