VPL updates, leo tar. 16.03.2015: Azam vs Ndanda

VPL updates, leo tar. 16.03.2015: Azam vs Ndanda

Dak ya 87, azam 1-0 ndanda.
 
Sekeseke kwa goli la azam, dua za kutosha kwa wanamtwara wote, wanasimba na wanayanga wote.

mkolaj simba hapa wanaomba azam apigwe hata 2-1!!mi nataka watoke sare yoyote ile
 
Last edited by a moderator:
Dak ya 90, azam 1-0 ndanda.
 
Mpira umemalizika hapa chamanzi, azam 1-0 ndanda.
 
azam hawana jezi za ugenini wala nyu,mbai,. leo wamevaa za ugenini ilihali wako nyumbani, japo washabiki wamevaa za nyumbani, bila shaka ni maagizo ya kamati ya ufundi
 
Yes, hadi sasa wamecheza mechi kama ifuatavyo: Azam mechi 17 pointi 33, Yanga mechi 16 pointi 31 na Simba mechi 18 pointi 29.
Hapa inabidi Azam mkikutana nao mtoe draw halafu tukikutana nao sisi inabidi tuwafunge ili msimamo ulete heshima kidogo.
 
Atleast watu tutaacha kukariri msimamo wa ligi
 
Ila refarii wa leo amewabeba azam, ndanda imenyimwa penati ambayo hata mtu asiyejua sheria za mpira wa miguu anaweza jua kuwa beki wa azam alimwangusha fowadi wa ndanda.
 
Naona toka Azam wamfukuze yule kocha wao kutoka Ivory coast wamekuwa na trend ya Ushindi japokuwa ni ushindi mwembamba sana.
 
Back
Top Bottom