Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Mkabataba ulivuja usingevuja wala usingejua chochoteWanaingia Kingi kwa kusimamia mikataba ya Kijinga kama ingekua na faida kwa Wananchi kwa nini wasingefanya kwa uwazi hiyo Bandari ingekua wanaweza kuuza Kimya kimya kama Twiga wangeuza tuu sasa Bandari ipo wazi ndio maana wameshindwa hao watu sio wazuri kabisa...
Ndugu yangu viongozi kuwa na Upendo kwa wananchi maana yake wasikilize na juheshimu maamuzi ya wananchi ikiwa ni pamoja kuheshimu kura anayopiga mwananchi .Jambo hili viongozi wa CCM hawawezi kamwe .Viongozi wazidishe upendo kwa wananchi na wafanye mambo yenye tija kwa wananchi..pia wananchi hasa Tabaka la chini wasikilizwe kero zao. Kadi hazitarudi...
Wanawake ni wale waliomuzia chama lowasa kwasababu hata hawajui wanataka niniWewe lumumba wahedi ebu kaa pembeni wanaume tuna mengi ya kuzungumza
Imeeeeendaaaa hiyoo MURAAAAAAWanawake ni wale waliomuzia chama lowasa kwasababu hata hawajui wanataka nini
Upo sahihi Mkuu huwa sipingani na ukweli...Mkabataba ulivuja usingevuja wala usingejua chochote
Gas madini mikataba ingevuja mngelia na kugalagala chini wengine mngeingia msitun kabsaa
ichi kitu kinanifurahisha sana, kilichobaki sasahivi ni kuandaa mbinu za kulinda kura 2025. na kuwafundisha madiwani wetu na wabunge kurudisha form kwa wakati.
Hakuna mwana ccm anayeipenda kutoka moyoniCCM ushabiki
CCM maslahi
CCM fuata upepo
Aisee hii ni balaa!! Mbona Lucas mwashamba chawa kiongoz anasema watanzania wanazid kumuelewa Samia na CCM pia 2025 itakua ni kamserereko kwa CCM!!!Vile chadema inaondoka na vijiji huko + kadi za ccm zinavorudishwa kila mahali, mama ana hatihati ya moto mkali kumuwakia 2025, otherwise aanze kubuni cheo kipya cha naibu Rais au naibu makamu wa Rais.
\Kweli, wako kimaslahi zaidiHakuna mwana ccm anayeipenda kutoka moyoni
Imeeeeeeedaaaaaa muraaaaaa,imeeeeeeeendaaaa muraaaaaaaaa\Kweli, wako kimaslahi zaidi
Sasa Mwashambwa nae ni wa kumsikiliza? Chawa PromaxAisee hii ni balaa!! Mbona Lucas mwashamba chawa kiongoz anasema watanzania wanazid kumuelewa Samia na CCM pia 2025 itakua ni kamserereko kwa CCM!!!
Nina mashaka sana huyo Mwashambwa kwao ni kibaigwa.Sasa Mwashambwa nae ni wa kumsikiliza? Chawa Promax
otherwise aanze kubuni cheo kipya cha naibu Rais au naibu makamu wa Rais.[emoji23]Vile chadema inaondoka na vijiji huko + kadi za ccm zinavorudishwa kila mahali, mama ana hatihati ya moto mkali kumuwakia 2025, otherwise aanze kubuni cheo kipya cha naibu Rais au naibu makamu wa Rais.